Habarini natafuta kiwanja Dar es Salaam maeneo ya Kibamba, Goba kiwe kizuri si ndani sana wala mbali sana.
Bajeti milioni 5.
Kwa mwenye nacho aniambie.
Kina ukubwa wa 2500 square meters
Kimepimwa
Kinafikika
Huduma za maji na umeme zipo. Bei elekezi 200mil.
Kwa habari zaidi kuhusu kiwanja hiki wasiliana nami kwa simu +255627660225
Wandugu natafuta kiwanja Maeneo ya Kimara, Salasala, Tegeta, Goba, Makongo juu, Madale.
Kiwanja kiwe na ukubwa wa zaidi ya sqm1000.
Mwenye nacho ani DM tuongee bei.
Wandugu,
Ninatafuta kiwanja maeneo ya Madale, Bunju, Goba , Kimara sema budget yangu ni 5m Tanzania shilling. Mwenye nacho ani PM.
Ukubwa kuanzia 800sqm kwenda juu.
Kiwanja kipo Chanika mwisho njia ya Mvuti (Kwa Bwaje)
Ukubwa wa kiwanja ni 20 * 40 (sqm 800)
Umeme na maji vipo karibu.
Bei ni Millioni 4 mazungumzo yapo.
Kiwanja hakina dalali ni cha kwangu na document zote muhimu zipo.
Mwenye kuhitaji tuwasiliane PM tuyajenge.
Wakuu poleni na maumivu ya january,
Ndugu zangu sina mengi ijumaaa nimeagizwa kikazi mwanza na ofsi na sijawahi kula bata Mwanza nawaomba mnipe ramani ya kiwanja kizuri kilichochangamka chenye watoto classic ambacho ntakula bia huku nimebambia mtoto classic wa jiji la mwanza
Shukrani.
Habari wadau,
Binafsi nimeamua mwaka huu nami nimiliki eneo maana naona umri unazidi kuyoyoma sitaki kuja kuwa historia huko mbeleni.
Mada ya huu uzi ni hivi nimeenda kuangalia kiwanja tuanze na kisichipomwa ni kuwa kinauzwa millioni 3 lakini mwenyewe anapokea hata 2M na nyingine kidogo kidogo...
Sifa za kiwanja
Chanika mwisho-Zogo Ali
Ukubwa 19m*19m
Kina msingi imara, vyumba vitatu, kimoja master, sitting, dinning, public toilet, jiko
Kina njia za gari pande mbili
Umeme upo karibu
Simu 0745321705
Salam kwenu wakuu.
Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area.
Lina vyumba vitatu.
Masterroom 1
Vyumba vya kawaida -2
Sitting room
Dinning room
Kitchen na store yake.
Public toilet.
Maji ya bomba yapo hapo hapo,bomba limepita mbele ya Kiwanja.
Kumezungukwa na...
Salam kwenu wakuu.
UPDATES;
Shukrani kwa wote mliochangia na hata waliosoma tu,JF iliwezesha kufahamiana miongoni mwetu na jambo langu limepata ufumbuzi!!
Mbarikiwe!!
Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area.
Lina vyumba vitatu.
Masterroom 1
Vyumba vya kawaida...
Tsh. 180 MILLION NEG, KIFURU HALI YA HEWA, NJIA YA KUELEKEA MBEZI LOUS SUITABLE FOR, school, hospital, yard 🎁2 Acre SIZE🗞️Surveyed Area with beacon☎️0767264754/0739441351
Wakuu habari zenu, nawasalimu, pia niki wapongeza kwa kumaliza matumizi ya mshahara bila maumivu.
Ok naomba kujuzwa, je inawezekana kuangalia barcode au mawe ya viwanja vilivyopimwa kwa kutumia App au formula yoyote ile kwa simu janja.
Naomba msaada wenu juu ya hili.
NDG. LUKUVI, SIO LAZIMA KISHERIA JINA LA MKE NA MME KUWA KWENYE HATI YA KIWANJA.
Na Bashir Yakub, WAKILI
+255 714 047 241.
Lazima tunapotoa kauli tuwe tunatofautisha matamanio yetu, na kile sheria inachosema. Tuangalie haya 6 kuhusu kauli ya ndg Lukuvi.
1. Mpaka sasa hakuna sheria...
Serikali imesema sheria inaruhusu hati ya kumiliki viwanja kuandikwa majina ya familia ikiwemo mume, mke pamoja na watoto hatua ambayo itasaidia kuondoa migogoro ya mirathi.
Akizungumza leo Jumamosi Desemba 19, mkoani Kilimanjaro. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliamu Lukuvi...
Eneo Lilipo: Kigamboni Magogoni
Aina ya eneo: Eneo la makazi
Ukubwa wa kiwanja: 1350
sq meters
Mazingira ya eneo: Eneo tulivu lenye makazi ya watu
Umbali kutoka ferry km 5 na umbali kutoka barabara ya lami ni mita 150
Huduma za kijamii: Umeme na Maji vyote vipo
Nyaraka: Full Documents...
Habari wadau!
Nauza kiwanja changu mwembe mdogo kigambo mbele kidogo na ya Dege umbali kutaka Ferry nikama km 25 kufika kwenye kiwanja.
1.UKUBWA hatua 70 kwa 70
2.MUONEKANO Kiwanja kiko tambalale akuna milima wala mabonde kimenyooka
3.DOCUMENTS Hati za serekali...
Habari wataalam,
Kuna sehemu nimeomba mkopo ila katika kipengele cha dhamana (Collateral) nina hati ya kiwanja kupitia serikali ya kijiji, wahusika wamenambia ili waikubali niipeleke kwa mwanasheria ili iwe legal doccument.
Sasa nnachotaka kujua hii hati yangu nikiipeleka kwa mwanasheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.