kiwanja

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Chanika Zogoali 4.5m

    Kina msingi wa kisasa Eneo chanika Zogoali unapita kwa Mzeru mbele kidogo Size 19*19m Simu 0712464478
  2. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja cha kisasa kinauzwa: Mhandu, jijini Mwanza

    Kiwanja kinauzwa jijini Mwanza. Wilaya: Nyamagana Kata: Mhandu Mtaa: Kisiwani (Karibu na shule ya sekondari Mhandu) Kiwanja kimepimwa na kina hati kamili ya umiliki. Size: 30 kwa 30 (hatua za miguu za mtu mzima. Kina tripu 4 za mawe. Kimezungushiwa fensi. Umeme na maji vipo. Fensi...
  3. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Kiwanja Arusha maeneo ya Kiserian, Moshono na Chekereni

    Nahitaji Kiwanja Arusha maeneo ya Kiserian, Moshono na Chekereni isiwe porini ukubwa uwe 10x15 au 15x15 bajeti yangu kwa kila kiwanja ni sh mil 2 kushuka chini. Kama unamfahamu aliye nacho njoo DM au nishtue. viwanja hivyo vinatakiwa mpaka wmezi wa 7 viwe vimepatikana.
  4. hnp

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa, kipo Bomba mbili

    Habari wana JF! Kiwanja kina ukubwa wa mita 24 kwa 20 chenye nyumba kubwa iloishia kwenye linta inauzwa,bei ni Milioni 15 (Punguzo unaongea). Nyumba ipo Bomba mbili,unashuka Mombasa(kabla hujafika Gongo la Mboto), Dar Es Salaam . Kwa maelezo zaidi na alie serious kuinunua njoo pm.
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Dodoma maeneo ya Kisasa , Ipagala au Nzuguni

    Salaam wadau. Natafuta Kiwanja Dodoma maeneo ya Kisasa, Ipagala au Nzuguni. Kiwe kimepimwa na kiwe na hati kwa Matumizi ya makazi. aksanteni.
  6. landpointandgeneral

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Dodoma Mkonze

    Sokoni leo na land point tunakiwanja Mkonze ambacho kipo kalibu kabsa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, n.k bei na bei yake ni Milion 8 tu ukubwa wake ni SQM 1456 wasiliana nasi kwa 0753 236 012
  7. kibovu

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kikali chenye watoto classic Dar es Salaam

    Wakuuuu poleni na majukum. Ndugu yenu nimekuwa kikazi mkoani yapata miaka mwaka mmoja leo nimelejea jijini dar es salaam . Ndugu zangu kipindi cha nyuma nimekula bata viwanja vilivyokuwa vinapiga mziki mkubwa watoto classic wanakata uno kama sinza lacherz, 5N mliman city, samaki samaki...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa-Chanika Mwisho, Zogoali 5.5m

    Sifa za kiwanja 20*20m Kina msingi wa kisasa Vyumba vitatu, kimoja master, sitting, dinning na jiko Kinafikika kwa gari Umeme na maji vipo karibu Mazungumzo mengine yapo
  9. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Je, unahitaji kiwanja au nyumba ya kununua jijini Mwanza?

    Hello, kama unahitaji huduma tajwa hapo juu.. kununua kiwanja/viwanja kununua nyumba karibu tukuhudumie ndani ya jiji la Mwanza (igoma, kisesa, nyegezi, n.k) Mawasiliano; 0744033555
  10. Quinton Canosa

    JamiiForums Tanzania Bei halisi ya kiwanja 20x20 kwa Moshono Arusha

    Habari wanajamii forums, Nilikuwa naulizia bei ya kiwanja 20x20 kwa maeneo ya Arusha hasa moshono,maana mdau kaniambia sio chini ya milioni 10,kwa wadau WAZOEFU kiwanja ukubwa huo naweza kukipata kwa bei gani ambayo ni halali kabisa. Ahsanteni.
  11. Dalali Alpha

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Goba Centre

    Kiwanja kizuri sana, Kipo karibu na barabara Kubwa ya lami. Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking) Bei - Tshs Milioni 15 [ Maongezi yapo] Uhalali wa Umiliki wa kiwanja; Leseni ya maudhiano ya serikali ya mtaa...
  12. Thom Munkondya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

    *HABARI NJEMA KUHUSU VIWANJA VYA KIMBIJI VILIVYOPIMWA NA KUUZWA KWA MILION 1.5* Baada ya mwitikio mkubwa kuliko idadi ya viwanja vilivyokuwa vinauzwa kigamboni kimbiji mtaa wa golani nyuma ya kiwanda cha cement (nyati). Mmiliki wa eneo Mr.kilala amekubali kuongeza block jingine la viwanja 15...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinahitajika, Kigamboni kibada, bajeti 4m

    Kiwanja kinahitajika maeneo ya kigamboni kibada. Bajeti 4M Kiwe maeneo hayo ya kibada Simu 0716411720
  14. diamond d

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kipo Buyuni Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa Kipo maeneo ya Njia nne, Buyuni Dar es Salaam, Kimepimwa, Kina Hati, Kipo maeneo ya Hadhi nzuri kabisa, Umeme, Maji, Barabara, Maduka, Shule ✓✓✓ Kina ukubwa wa Sqm 1010m², BEI KWA SQ M² ni Tsh 22,000/= Bei ni Sh 22m Tuwasiliane Piga 0762027102/ PIA APARTMENT TATU ZIMEFIKIA...
  15. O

    JamiiForums Tanzania Ushauri kununua kiwanja Kaole, Bagamoyo

    Habari zenu wadau.Kuna kiwanja nataka kukinunua Bagamoyo Kaole naombeni ushauri wenu.Sqm 1000 sh million 12 ni karibu na beach (500metres from the beach). Plan yangu ni baadae kujenga vi apartments hata vinne vidogo kwa ajili ya watalii wanaokuja kuvipangisha.Lakini pia nina option ya Kiromo...
  16. Battor

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa mwanza 4300sqm

    Kiwanja kikubwa kinauzwa Mwanza chenye ukubwa wa zaidi ya square meter 4300. Pia kina nyumba na miti mingi ya matunda na miti pori. Kipo buzuruga Mwanza sehemu nzuri kwa kuwekeza real estate, hotel ama hata kuweka makazi. Price imeshuka kutoka 400m hadi 250m tsh Karibu. Google map
  17. kibovu

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kikali cha bata Tabora

    Habari wadau, Leo niko tabora mboka manyema kikazi Naombeni mnijulishe kiwanja chenye watoto wakali kinachojaza hapa Tabora. Natanguliza shukrani zangu za dhati
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kikiwa kidogo inabidi uwe mbunifu

    Niliwahi kumtembelea rafiki yangu, alipewa sehemu ya kujenga nyumba na wazazi wake, eneo halikua kubwa sana lakini ni katikati ya mji. Alijenga ghorofa na juu aliweka vyumba viwili vya kulala. Ngazi za kwenda vyumbani zilikua za design hii hapa kwenye picha. Choo na bafu vilikua chini pamoja...
  19. Merci

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa kipo Mambwepande

    Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 kwa 40 kilichopo Mabwe Pande DSM kinauzwa bei TZS 7M na umeme upo karibu na kiwanja. Napatikana kwa 0736770052.
  20. C

    JamiiForums Tanzania Viwanja Vinauzwa Dodoma

    Habari zenu ndugu Nauza viwanja viwili vipo dodoma cha kwanza kipo mahungu eneo la mnada mpya njia ya kwenda singida kimepimwa kina full document ukubwa wake ni km nusu heka (viwnja vya zaman hawakua wanaandika squere m) Bei ni milion 6 mazungumzo yapo kidogo Cha pili ni kiwanja cha kawida...
Back
Top Bottom