kiwanja

  1. B

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa-Chanika Mwisho, Zogoali 5.5m

    Sifa za kiwanja 20*20m Kina msingi wa kisasa Vyumba vitatu, kimoja master, sitting, dinning na jiko Kinafikika kwa gari Umeme na maji vipo karibu Mazungumzo mengine yapo
  2. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Je, unahitaji kiwanja au nyumba ya kununua jijini Mwanza?

    Hello, kama unahitaji huduma tajwa hapo juu.. kununua kiwanja/viwanja kununua nyumba karibu tukuhudumie ndani ya jiji la Mwanza (igoma, kisesa, nyegezi, n.k) Mawasiliano; 0744033555
  3. Quinton Canosa

    Bei halisi ya kiwanja 20x20 kwa Moshono Arusha

    Habari wanajamii forums, Nilikuwa naulizia bei ya kiwanja 20x20 kwa maeneo ya Arusha hasa moshono,maana mdau kaniambia sio chini ya milioni 10,kwa wadau WAZOEFU kiwanja ukubwa huo naweza kukipata kwa bei gani ambayo ni halali kabisa. Ahsanteni.
  4. Dalali Alpha

    Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Goba Centre

    Kiwanja kizuri sana, Kipo karibu na barabara Kubwa ya lami. Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking) Bei - Tshs Milioni 15 [ Maongezi yapo] Uhalali wa Umiliki wa kiwanja; Leseni ya maudhiano ya serikali ya mtaa...
  5. Thom Munkondya

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

    *HABARI NJEMA KUHUSU VIWANJA VYA KIMBIJI VILIVYOPIMWA NA KUUZWA KWA MILION 1.5* Baada ya mwitikio mkubwa kuliko idadi ya viwanja vilivyokuwa vinauzwa kigamboni kimbiji mtaa wa golani nyuma ya kiwanda cha cement (nyati). Mmiliki wa eneo Mr.kilala amekubali kuongeza block jingine la viwanja 15...
  6. B

    Kiwanja kinahitajika, Kigamboni kibada, bajeti 4m

    Kiwanja kinahitajika maeneo ya kigamboni kibada. Bajeti 4M Kiwe maeneo hayo ya kibada Simu 0716411720
  7. diamond d

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kipo Buyuni Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa Kipo maeneo ya Njia nne, Buyuni Dar es Salaam, Kimepimwa, Kina Hati, Kipo maeneo ya Hadhi nzuri kabisa, Umeme, Maji, Barabara, Maduka, Shule ✓✓✓ Kina ukubwa wa Sqm 1010m², BEI KWA SQ M² ni Tsh 22,000/= Bei ni Sh 22m Tuwasiliane Piga 0762027102/ PIA APARTMENT TATU ZIMEFIKIA...
  8. O

    Ushauri kununua kiwanja Kaole, Bagamoyo

    Habari zenu wadau.Kuna kiwanja nataka kukinunua Bagamoyo Kaole naombeni ushauri wenu.Sqm 1000 sh million 12 ni karibu na beach (500metres from the beach). Plan yangu ni baadae kujenga vi apartments hata vinne vidogo kwa ajili ya watalii wanaokuja kuvipangisha.Lakini pia nina option ya Kiromo...
  9. Battor

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa mwanza 4300sqm

    Kiwanja kikubwa kinauzwa Mwanza chenye ukubwa wa zaidi ya square meter 4300. Pia kina nyumba na miti mingi ya matunda na miti pori. Kipo buzuruga Mwanza sehemu nzuri kwa kuwekeza real estate, hotel ama hata kuweka makazi. Price imeshuka kutoka 400m hadi 250m tsh Karibu. Google map
  10. kibovu

    Kiwanja kikali cha bata Tabora

    Habari wadau, Leo niko tabora mboka manyema kikazi Naombeni mnijulishe kiwanja chenye watoto wakali kinachojaza hapa Tabora. Natanguliza shukrani zangu za dhati
  11. Sky Eclat

    Kiwanja kikiwa kidogo inabidi uwe mbunifu

    Niliwahi kumtembelea rafiki yangu, alipewa sehemu ya kujenga nyumba na wazazi wake, eneo halikua kubwa sana lakini ni katikati ya mji. Alijenga ghorofa na juu aliweka vyumba viwili vya kulala. Ngazi za kwenda vyumbani zilikua za design hii hapa kwenye picha. Choo na bafu vilikua chini pamoja...
  12. Merci

    Kiwanja kinauzwa kipo Mambwepande

    Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 kwa 40 kilichopo Mabwe Pande DSM kinauzwa bei TZS 7M na umeme upo karibu na kiwanja. Napatikana kwa 0736770052.
  13. C

    Viwanja Vinauzwa Dodoma

    Habari zenu ndugu Nauza viwanja viwili vipo dodoma cha kwanza kipo mahungu eneo la mnada mpya njia ya kwenda singida kimepimwa kina full document ukubwa wake ni km nusu heka (viwnja vya zaman hawakua wanaandika squere m) Bei ni milion 6 mazungumzo yapo kidogo Cha pili ni kiwanja cha kawida...
  14. S

    Natafuta kiwanja shamba budget yangu milioni 3 na nusu

    Kichwa cha habari hapo juu chahusika. Nina 3.5 m cash kwa ajili ya Kiwanja kipatikane maeneo jirani na dsm km vile vikindu nk. Njoo na bei na sifa za Kiwanja chako. Mi ninataka kikubwa kiasi chake.
  15. Mung Chris

    Nahitaji Kiwanja Dodoma

    Nahitaji kiwanja Dodoma sifa za kiwanja na offer ni kama ifuatavyo: 1. Kiwanja kisiwe umbali wa Meter 600 kutoka barabara ya lami. 2. Kiwanja kisiwe sehem yenye mafuriko ya msimu wa mnvua. 3. Kiwanja kiwe sehem ambapo Hiace zinafika yani zifike lami ambapo mtu atashuka na kwenda mita 600...
  16. yuda75

    Natafuta kiwanja Dar es Salaam

    Habarini natafuta kiwanja Dar es Salaam maeneo ya Kibamba, Goba kiwe kizuri si ndani sana wala mbali sana. Bajeti milioni 5. Kwa mwenye nacho aniambie.
  17. ViwanjaTanzania

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Juu unatazama bahari ya Hindi

    Kina ukubwa wa 2500 square meters Kimepimwa Kinafikika Huduma za maji na umeme zipo. Bei elekezi 200mil. Kwa habari zaidi kuhusu kiwanja hiki wasiliana nami kwa simu +255627660225
  18. R

    Natafuta kiwanja Dar es Salaam

    Wandugu natafuta kiwanja Maeneo ya Kimara, Salasala, Tegeta, Goba, Makongo juu, Madale. Kiwanja kiwe na ukubwa wa zaidi ya sqm1000. Mwenye nacho ani DM tuongee bei.
  19. R

    Natafuta kiwanja nina 5M Dar es salaam

    Wandugu, Ninatafuta kiwanja maeneo ya Madale, Bunju, Goba , Kimara sema budget yangu ni 5m Tanzania shilling. Mwenye nacho ani PM. Ukubwa kuanzia 800sqm kwenda juu.
  20. S

    Plot4Sale Fursa ya kiwanja Chanika

    Kiwanja kipo Chanika mwisho njia ya Mvuti (Kwa Bwaje) Ukubwa wa kiwanja ni 20 * 40 (sqm 800) Umeme na maji vipo karibu. Bei ni Millioni 4 mazungumzo yapo. Kiwanja hakina dalali ni cha kwangu na document zote muhimu zipo. Mwenye kuhitaji tuwasiliane PM tuyajenge.
Back
Top Bottom