Zakamwamoba
Senior Member
- Jul 28, 2016
- 177
- 609
Wakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
Labda kwa biashara, ila kwa makazi utakosa freedom, utakosa sehemy ya kupanda miti ya kivuli kwakuwa nyumba ya kawaida angalau uwe na 12x20 msqWakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
Inawezekana kama ukipata plan nzuri! You need good designerWakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
Good try but dinning ya mita mbili ni ndogo sana. Nyumba ndogo huwa haziwekwi dinning.nikiwa kwa kitanda peni na karatasi uwa havikosekani karibu yangu, na hii ndo wazo langu la haraka baada ya kuona hili bandiko. mchoro rahisi lkn wenye faragha kulingana na ukubwa wa kiwanja ambacho ni 11x15m. note: sijazingatia location ya kiwanja sbb sikijui
View attachment 1846543
Wee jamaa ni mkali wa hizi kazi.nikiwa kwa kitanda peni na karatasi uwa havikosekani karibu yangu, na hii ndo wazo langu la haraka baada ya kuona hili bandiko. mchoro rahisi lkn wenye faragha kulingana na ukubwa wa kiwanja ambacho ni 11x15m. note: sijazingatia location ya kiwanja sbb sikijui
View attachment 1846543
kweli mkuu, lkn bado kuna uwezekano mkubwa wa kudesign vzr na kuongeza dinning au akaopt kuitoa kabisa kama ulivyosema.Good try but dinning ya mita mbili ni ndogo sana. Nyumba ndogo huwa haziwekwi dinning.
nashukuru mkuuWee jamaa ni mkali wa hizi kazi.
Unaondoa tu hio partition ya hicho ulichoita dining inabaki big living space for multi use.kweli mkuu, lkn bado kuna uwezekano mkubwa wa kudesign vzr na kuongeza dinning au akaopt kuitoa kabisa kama ulivyosema.
This is okay....ondoa partition kati ya sitting na dining baaasi.nikiwa kwa kitanda peni na karatasi uwa havikosekani karibu yangu, na hii ndo wazo langu la haraka baada ya kuona hili bandiko. mchoro rahisi lkn wenye faragha kulingana na ukubwa wa kiwanja ambacho ni 11x15m. note: sijazingatia location ya kiwanja sbb sikijui
View attachment 1846543
Wakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
Vyumba kuwa vidogo sio kweli, ila wazo la ghorofa ni zuri piaLabda ujenge ghorofa. Other wise tu vyumba tutakuwa tudogo kama banda la njiwa.