LICHA ya kuwapo kwa maofisa wa Serikali wenye dhamana ya kulinda ustawi wa watoto kikatiba, kisheria na kisera, idadi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi mkoani Shinyanga inaendelea kuwa kubwa.
Uchunguzi wa Nipashe uliofanyika kwa takriban miezi mitatu umebaini kuwa watoto...