CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawili

CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawili

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,838
Reaction score
50,542
Kuna jambo limekuwa kama kitendawili kwangu, na sielewi tafsiri yake ni nini!

Kwenye maisha ya kawaida ya watanzania na huku kwenye mitandao ya kijamii, watu hupata wasiwasi na hatima ya mtu anayeikosoa CCM kuliko anayeikosoa CHADEMA.

Imekuwa ni kawaida mtu kuonywa ama watu kuandika maneno yenye kuashiria kuna jambo la hatari linaweza kumtokea mtu anayeikosoa CCM.

Lakini sijawahi kuona watu wakitia shaka kuhusu usalama wa uhai au maisha ya mtu anayeikosoa CHADEMA au viongozi wake.

Kuna wakati wanachama wa CCM au wafuasi wao husema maneno ya vitisho yenye kuonesha wanachadema na viongozi wao wanatakiwa kudhuriwa lakini hakuna mtu yeyote anayeonesha hao wana CCM uhai ama maisha yao yako hatarini.

Hebu wana CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawil. Ni kwa nini nyie mkikosolewa watu waone hao wanaowakosoa wamo hatarini lakini chadema wakikosolewa hakuna mtu anayeonesha hao wakosoaji wa CHADEMA wamo hatarini?
 
Kuna jambo limekuwa kama kitendawili kwangu, na sielewi tafsiri yake ni nini!

Kwenye maisha ya kawaida ya watanzania na huku kwenye mitandao ya kijamii, watu hupata wasiwasi na hatima ya mtu anayeikosoa CCM kuliko anayeikosoa CHADEMA.

Imekuwa ni kawaida mtu kuonywa ama watu kuandika maneno yenye kuashiria kuna jambo la hatari linaweza kumtokea mtu anayeikosoa CCM.

Lakini sijawahi kuona watu wakitia shaka kuhusu usalama wa uhai au maisha ya mtu anayeikosoa CHADEMA au viongozi wake.

Kuna wakati wanachama wa CCM au wafuasi wao husema maneno ya vitisho yenye kuonesha wanachadema na viongozi wao wanatakiwa kudhuriwa lakini hakuna mtu yeyote anayeonesha hao wana CCM uhai ama maisha yao yako hatarini.

Hebu wana CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawil. Ni kwa nini nyie mkikosolewa watu waone hao wanaowakosoa wamo hatarini lakini chadema wakikosolewa hakuna mtu anayeonesha hao wakosoaji wa CHADEMA wamo hatarini?
Simple CCM ndio wanamiliki Polisi.
 
Kuna jambo limekuwa kama kitendawili kwangu, na sielewi tafsiri yake ni nini!

Kwenye maisha ya kawaida ya watanzania na huku kwenye mitandao ya kijamii, watu hupata wasiwasi na hatima ya mtu anayeikosoa CCM kuliko anayeikosoa CHADEMA.

Imekuwa ni kawaida mtu kuonywa ama watu kuandika maneno yenye kuashiria kuna jambo la hatari linaweza kumtokea mtu anayeikosoa CCM.

Lakini sijawahi kuona watu wakitia shaka kuhusu usalama wa uhai au maisha ya mtu anayeikosoa CHADEMA au viongozi wake.

Kuna wakati wanachama wa CCM au wafuasi wao husema maneno ya vitisho yenye kuonesha wanachadema na viongozi wao wanatakiwa kudhuriwa lakini hakuna mtu yeyote anayeonesha hao wana CCM uhai ama maisha yao yako hatarini.

Hebu wana CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawil. Ni kwa nini nyie mkikosolewa watu waone hao wanaowakosoa wamo hatarini lakini chadema wakikosolewa hakuna mtu anayeonesha hao wakosoaji wa CHADEMA wamo hatarini?

Tambua ya kwamba, wale watekaji yaani 'Watu Wasiojulikana' wanapokea Amri kutoka kwa hawa Watu. Hao Watekaji wengi zaidi kama siyo wote Ajira zao za kwanza 'Ma-Referee' wao walikuwa hao Watu. Lile tawi la Vijana la Chama hiki ndio Mlango wa kuingilia kwenye Ajira za hao Watekaji.
 
Kuna jambo limekuwa kama kitendawili kwangu, na sielewi tafsiri yake ni nini!

Kwenye maisha ya kawaida ya watanzania na huku kwenye mitandao ya kijamii, watu hupata wasiwasi na hatima ya mtu anayeikosoa CCM kuliko anayeikosoa CHADEMA.

Imekuwa ni kawaida mtu kuonywa ama watu kuandika maneno yenye kuashiria kuna jambo la hatari linaweza kumtokea mtu anayeikosoa CCM.

Lakini sijawahi kuona watu wakitia shaka kuhusu usalama wa uhai au maisha ya mtu anayeikosoa CHADEMA au viongozi wake.

Kuna wakati wanachama wa CCM au wafuasi wao husema maneno ya vitisho yenye kuonesha wanachadema na viongozi wao wanatakiwa kudhuriwa lakini hakuna mtu yeyote anayeonesha hao wana CCM uhai ama maisha yao yako hatarini.

Hebu wana CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawil. Ni kwa nini nyie mkikosolewa watu waone hao wanaowakosoa wamo hatarini lakini chadema wakikosolewa hakuna mtu anayeonesha hao wakosoaji wa CHADEMA wamo hatarini?
🤔💭👍🤝🙏
 
Tambua ya kwamba, wale watekaji yaani 'Watu Wasiojulikana' wanapokea Amri kutoka kwa hawa Watu. Hao Watekaji wengi zaidi kama siyo wote Ajira zao za kwanza 'Ma-Referee' wao walikuwa hao Watu. Lile tawi la Vijana la Chama hiki ndio Mlango wa kuingilia kwenye Ajira za hao Watekaji.
Basi hii ni hatari... Jee akija mtu toka chama kingine na akawa kiongozi hali itakuwaje au atafanya nini ili kurekebisha Hali ya mambo?
 
Hebu wana CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawil. Ni kwa nini nyie mkikosolewa watu waone hao wanaowakosoa wamo hatarini lakini chadema wakikosolewa hakuna mtu anayeonesha hao wakosoaji wa CHADEMA wamo hatarini?
CCM ni wajinga tu na existence yao inategemea uwepo wa Polisi, TISS, Mahakama n.k
 
Kuna jambo limekuwa kama kitendawili kwangu, na sielewi tafsiri yake ni nini!

Kwenye maisha ya kawaida ya watanzania na huku kwenye mitandao ya kijamii, watu hupata wasiwasi na hatima ya mtu anayeikosoa CCM kuliko anayeikosoa CHADEMA.

Imekuwa ni kawaida mtu kuonywa ama watu kuandika maneno yenye kuashiria kuna jambo la hatari linaweza kumtokea mtu anayeikosoa CCM.

Lakini sijawahi kuona watu wakitia shaka kuhusu usalama wa uhai au maisha ya mtu anayeikosoa CHADEMA au viongozi wake.

Kuna wakati wanachama wa CCM au wafuasi wao husema maneno ya vitisho yenye kuonesha wanachadema na viongozi wao wanatakiwa kudhuriwa lakini hakuna mtu yeyote anayeonesha hao wana CCM uhai ama maisha yao yako hatarini.

Hebu wana CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawil. Ni kwa nini nyie mkikosolewa watu waone hao wanaowakosoa wamo hatarini lakini chadema wakikosolewa hakuna mtu anayeonesha hao wakosoaji wa CHADEMA wamo hatarini?
Unasema???!!!
 
Basi hii ni hatari... Jee akija mtu toka chama kingine na akawa kiongozi hali itakuwaje au atafanya nini ili kurekebisha Hali ya mambo?

Ndio maana sisi Wapenda Haki daima tumekuwa tukionya Sana kuhusu huu utaratibu mbaya Sana na wa hatari kubwa uliopo hivi sasa wa uendeshaji mbaya wa nchi hii ambao unatengeneza Mazingira hatarishi kwa Usalama wa Watu karibia wote waliopo katika Nchi hii.

Wakiingia Watawala wengine watakaokuwa Waadilifu na ambao hawatakubaliana na Uovu huu uliopo, basi Watawala hao wapya watalazimika kuendesha Operesheni Kali zaidi ya 'Safisha safisha' katika Nchi hii ili kuirudisha nchi katika reli yake.

Nafikiri umeshawahi kusikia mara nyingi sana kwamba Rais wa Rwanda Bw. Paul Kagame amekuwa akiwatumia Majasusi wake kwenda katika Nchi zingine mbalimbali zilizopo hapa duniani ili kwenda kuwaondoa na kuwaangamiza kabisa baadhi ya Watu fulani fulani ambao ni raia wa nchi hiyo ya Rwanda waliokimbia na kwenda kuishi katika Nchi za nje. Sababu za Rais huyo kufanya hivyo Ndio hizi unazoziona hapa nchini zikiendelea kufanyika.
Watawala wa Nchi hii watambue kwamba vitendo viovu vya Udhalimu na uhalifu huwa vina kawaida ya kujenga roho za Visasi vya kutaka kufanya Malipizi katika mioyo ya wale Watu wanaofanyiwa udhalimu huo.
 
Back
Top Bottom