Gertrude Mongella: Kitabu cha Mwalimu Nyerere kilifichwa

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,293
24,173
13 October 2021
Chato, Geita
Tanzania

KITABU CHA NYERERE CHAFICHWA / MONGELA AFUNGUKA SABABU ZA KUFICHWA KITABU HICHO



Gertrude Mongella akemea siasa za ubaguzi zinazoendekezwa na jamii iwe kisiasa, kijamii, kijinsia, rika n.k

Ametoa hotuba moja ikigusia mfano kuwa mwanamke ni anasifa zote

  1. Ni binadamu
  2. Raia wa nchi fulani
  3. Haki
  4. Ana akili
  5. Ana vipaji
  6. Mwanamke siyo malaika wala shetani
Na sifa hizo msingi nne binadamu wote wanazo awe mwanamke, mwanamumu, mwanachama wa asasi yoyote n.k

Hivyo ubaguzi wa namna yoyote hautakiwi kwa kufuatana na sifa sita (6) za Binadamu hapo juu.

Mama Gertrude Mongella anakwenda zaidi na kusema mwanamke pia ana sifa ya ziada kwani binadamu tumeumbwa kwa dongo, lakini Mungu alipomuumba mtu-mume kwanza kwa kutumia udongo akamtazama kiumbe huyu akaona kuna kasoro/ mapungufu hivyo badala ya kuchukua udongo kufinganya kiumbe kingine akaona ni vizuri zaidi kuchomoa ubavu kutoka kwa mtu-mume na kutengeneza mtu-mke yaani katika hatua ya juu zaidi isiyo dongo lililofinyangwa hivyo kusahihisha yale aliyoyafikiria akifinyanga dongo.

Hivyo kuna kusudio kubwa la Mungu kumtengeneza mtu-mke katika hatua ya juu zaidi ili mtu-mke aweze kufanya majukumu mengi zaidi.

Hivyo mtu-mke asitiwe unyonge na jamii kuwa kuna masuala hawezi kuyatekeleza kwa manufaa ya jamii pana zaidi. Gertrude Mongella asema kuna njama za jamii na wala siyo za wanaume, ambazo zinatala kuzuia wanawake wasitambulike kama binadamu sawa au raia wenye haki sawa n.k

Mwaka 1944 Julius Nyerere akiwa mwanafunzi chuo kikuu cha Makerere Uganda, aliandika kitabu kuhusu wanawake ambacho kinafichwa fichwa ...

Mifumo hii ya kutenga baadhi ya wanaume kushiriki , wanawake kuwepo ktk nafasi za maamuzi , demokrasia kupewa wanachama wa chama fulani n.k mifumo hiyo ya kuwazuia baadhi ya raia katika jamii inatakiwa kubadilishwa...

Chanzo: Mwanahalisi TV
 
Miongoni mwa mama wa shoka taifa hili kumpata💪

Mwenyezi Mungu ambariki ,ampe afya na uhai mrefu bibi yetu Getrude Mongella aaamin aaaamin aaaamin🙏

#Wanawake Wanaweza

SIEMPRE JMT
 
Komredi Manyerere Jackton ameshawahi kuzungumzia uandishi wa kitabu hicho cha baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere akiwa huko MAKERERE.....akataja ndani yake alielezea KUKANDAMIZWA KWA WANAWAKE KATIKA JAMII YA KIZANAKI.......

SIEMPRE JMT
 
13 October 2021
Chato, Geita
Tanzania

KITABU CHA NYERERE CHAFICHWA / MONGELA AFUNGUKA SABABU ZA KUFICHWA KITABU HICHO



Gertrude Mongella akemea siasa za ubaguzi zinazoendekezwa na jamii iwe kisiasa, kijamii, kijinsia, rika n.k

Ametoa hotuba moja ikigusia mfano kuwa mwanamke ni anasifa zote

  1. Ni binadamu
  2. Raia wa nchi fulani
  3. Haki
  4. Ana akili
  5. Ana vipaji
  6. Mwanamke siyo malaika wala shetani
Na sifa hizo msingi nne binadamu wote wanazo awe mwanamke, mwanamumu, mwanachama wa asasi yoyote n.k

Hivyo ubaguzi wa namna yoyote hautakiwi kwa kufuatana na sifa sita (6) za Binadamu hapo juu.

Mama Gertrude Mongella anakwenda zaidi na kusema mwanamke pia ana sifa ya ziada kwani binadamu tumeumbwa kwa dongo, lakini Mungu alipomuumba mtu-mume kwanza kwa kutumia udongo akamtazama kiumbe huyu akaona kuna kasoro/ mapungufu hivyo badala ya kuchukua udongo kufinganya kiumbe kingine akaona ni vizuri zaidi kuchomoa ubavu kutoka kwa mtu-mume na kutengeneza mtu-mke yaani katika hatua ya juu zaidi isiyo dongo lililofinyangwa hivyo kusahihisha yale aliyoyafikiria akifinyanga dongo.

Hivyo kuna kusudio kubwa la Mungu kumtengeneza mtu-mke katika hatua ya juu zaidi ili mtu-mke aweze kufanya majukumu mengi zaidi.

Hivyo mtu-mke asitiwe unyonge na jamii kuwa kuna masuala hawezi kuyatekeleza kwa manufaa ya jamii pana zaidi. Gertrude Mongella asema kuna njama za jamii na wala siyo za wanaume, ambazo zinatala kuzuia wanawake wasitambulike kama binadamu sawa au raia wenye haki sawa n.k

Mwaka 1944 Julius Nyerere akiwa mwanafunzi chuo kikuu cha Makerere Uganda, aliandika kitabu kuhusu wanawake ambacho kinafichwa fichwa ...

Mifumo hii ya kutenga baadhi ya wanaume kushiriki , wanawake kuwepo ktk nafasi za maamuzi , demokrasia kupewa wanachama wa chama fulani n.k mifumo hiyo ya kuwazuia baadhi ya raia katika jamii inatakiwa kubadilishwa...

Chanzo: Mwanahalisi TV



I (Julius Nyerere) wrote an essay in 1944 called The Freedom of Women. I must be honest and say I was influenced by John Stuart Mill, who had written about the subjugation of women. My father had 22 wives and I knew how hard they had to work and what they went through as women. Here in this essay I was moving towards the idea of freedom theoretically. But I was still in the mindset of improving the lives and welfare of Africans: I went to Tabora to start teaching. Source: The heart of Africa

Nyerere,J.K. Uhuru wa Wanawake, Dar es Salaam: Mwalimu Nyerere Foundation, 2009 (1944) Women's Freedom : Women are eagles not chickens by Julius Nyerere, Mwalimu Nyerere Foundation (ISBN: 9789970252527)
1634500166384.png
 
Ruvuma Development Association (early 1960's - 1969)

African History Club Episode 19--Julius Nyerere and Socialism in Tanzania Part 2



Source : The Black Star News

Ruvuma Development Association (early 1960s-1969)​


Ntimbanyajo Millinga set up The Ruvuma Development Association an organisation in early 1960's in Tanzania to support the creation and development of self-organising communities later o known as 'Ujamaa' (Collective Self-help) Villages. Dispite being short-lived, this project was an iconic example of creative villagisation, and became admired both nationally and internationally. Julius Nyerere, first President of Tanzania, was one of its most prominent supporters. READ MORE Source : Ruvuma Development Association (early 1960s-1969) | University of Edinburgh Archive and Manuscript Collections
 
Je mwalimu Julius Nyerere ni mwanzilishi wa vijiji vya ujamaa au ni wananchi wa Ruvuma Ruvuma Development Associatio (1960's - 1969) wakiongozwa Ntimbanyajo Millinga Ruvuma Development Association (early 1960s-1969) | University of Edinburgh Archive and Manuscript Collections ndiyo walioanzisha wazo lao lakini TANU wakalichukua kivingine mwaka 1973 bila kuangalia wananchi wanataka nini ktk vijiji vyao na hivyo CCM kushindwa kufanikiwa...kuvifanya vijiji vijitegemee kiuchumi kupitia shughuli za kilimo n.k ..

Nyerere alifikiria mbali kuanzisha vijiji vya ujamaa - Habarileo

15 Oct 2015 — Anataka mawazo ya mwalimu ya kuanzishwa kwa vijiji vya ujamaa yaendelee ... ya vijana na wakati huo ilikuwa kabla ya operesheni... mwaka 1974...
 
Je mwalimu Julius Nyerere ni mwanzilishi wa vijiji vya ujamaa au ni wananchi wa Ruvuma Ruvuma Development Associatio (1960's - 1969) wakiongozwa Ntimbanyajo Millinga Ruvuma Development Association (early 1960s-1969) | University of Edinburgh Archive and Manuscript Collections ndiyo walioanzisha wazo lao lakini TANU wakalichukua kivingine mwaka 1973 bila kuangalia wananchi wanataka nini ktk vijiji vyao na hivyo CCM kushindwa kufanikiwa...kuvifanya vijiji vijitegemee kiuchumi kupitia shughuli za kilimo n.k ..

Nyerere alifikiria mbali kuanzisha vijiji vya ujamaa - Habarileo

15 Oct 2015 — Anataka mawazo ya mwalimu ya kuanzishwa kwa vijiji vya ujamaa yaendelee ... ya vijana na wakati huo ilikuwa kabla ya operesheni... mwaka 1974...
Mkuu 'bagamoyo', bado nimechanganyikiwa na maudhui ya mada hii, lakini nashukuru kwa uliyoyaweka hapa. Mengi sikuwahi kuyasikia au kuyasoma mahali pengine popote.
Bado kichwa cha mada kinazungusha akili, licha ya nyongeza hizi ulizoziweka kama vipande vipande.
 
Mkuu 'bagamoyo', bado nimechanganyikiwa na maudhui ya mada hii, lakini nashukuru kwa uliyoyaweka hapa. Mengi sikuwahi kuyasikia au kuyasoma mahali pengine popote.
Bado kichwa cha mada kinazungusha akili, licha ya nyongeza hizi ulizoziweka kama vipande vipande.

Legacy kubwa ya mtu kama kina Julius Nyerere, Nelson Mandela au Ernesto Che Guevara huwa ndivyo zilivyo kutokana na kuhusika na mambo mbalimbali makubwa yenye mguso nje hata ya mipaka ya nchi zao za asili.
 
Back
Top Bottom