Salam,
Nafikiri sio wote tunaweza kufanana namna ya kuona,lakini wapo tutakao kubaliana kama nchi,tunapita mahali pa tension ya aina yake.
Maeneo mengi ya maisha yameguswa kwa namna yake.Dini,siasa,uchumi,afya saikolojia,mpaka kwenye social media,tension inayotokana na kipindi ambacho...