Clouds media na utapeli wa mchongo wa clouds kupitia kipindi cha 360

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,492
92,982
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.

Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata mchongo.

Ni kwamba wanawaaminisha watu wajinga na wavivu wa kufikiri kwamba clouds kila siku itakuwa inatowa shilling million moja kwa mtu mmoja mwenye bahati atakayeshiriki huo utapeli wa pata mchongo kwa kutuma sms ambayo itakugharimu shilling 1000/=

Sasa twende kwenye fact na evidence, kama watu 10,000 tu wakishiriki utapeli huu, clouds wanaingiza million 10 na kutowa millioni moja kumpa mmoja ya hawa kina Abunuwasi na kumuonesha kwenye media ili mazuzu mzidi kuvutika huku wao wanabaki na million 9 za wajinga.

Hii ni sample ya hesabu ndogo tu lakini ikifanyika research ya kweli unaweza kukuta utapeli huu unashirikisha maelfu ya wajinga kwa sababu Watanzania wengi wapo frasturated.

Sasa hivi tujiulize huu ni mchongo au ni utapeli?

Joseph Kusaga you're better than this, kukusanya bukubuku hizi za watu wasiojielewa kwa maslahi ya Clouds Media siyo sawa hata kidogo.
 
Unajua maana ya utapeli..?

Hiyo ni bahati nasibu na watu wanacheza kwa ridhaa yao wenyewe..

Acha wivu negative
Huu ni utapeli tu kama utapeli mwingine.

Kwa nini wasitowe washindi 10 kila siku? Kwa nini wakusanye pesa nyingi kiasi hiki kiharamia halafu urudishe kiduchu?
 
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.

Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata mchongo.

Ni kwamba wanawaaminisha watu wajinga na wavivu wa kufikiri kwamba clouds kila siku itakuwa inatowa shilling million moja kwa mtu mmoja mwenye bahati atakayeshiriki huo utapeli wa pata mchongo kwa kutuma sms ambayo itakugharimu shilling 1000/=

Sasa twende kwenye fact na evidence, kama watu 10,000 tu wakishiriki utapeli huu, clouds wanaingiza million 10 na kutowa millioni moja kumpa mmoja ya hawa kina Abunuwasi na kumuonesha kwenye media ili mazuzu mzidi kuvutika huku wao wanabaki na million 9 za wajinga.

Hii ni sample ya hesabu ndogo tu lakini ikifanyika research ya kweli unaweza kukuta utapeli huu unashirikisha maelfu ya wajinga kwa sababu Watanzania wengi wapo frasturated.

Sasa hivi tujiulize huu ni mchongo au ni utapeli?

Joseph Kusaga you're better than this, kukusanya bukubuku hizi za watu wasiojielewa kwa maslahi ya Clouds Media siyo sawa hata kidogo.
acha waliwe
 
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.

Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata mchongo.

Ni kwamba wanawaaminisha watu wajinga na wavivu wa kufikiri kwamba clouds kila siku itakuwa inatowa shilling million moja kwa mtu mmoja mwenye bahati atakayeshiriki huo utapeli wa pata mchongo kwa kutuma sms ambayo itakugharimu shilling 1000/=

Sasa twende kwenye fact na evidence, kama watu 10,000 tu wakishiriki utapeli huu, clouds wanaingiza million 10 na kutowa millioni moja kumpa mmoja ya hawa kina Abunuwasi na kumuonesha kwenye media ili mazuzu mzidi kuvutika huku wao wanabaki na million 9 za wajinga.

Hii ni sample ya hesabu ndogo tu lakini ikifanyika research ya kweli unaweza kukuta utapeli huu unashirikisha maelfu ya wajinga kwa sababu Watanzania wengi wapo frasturated.

Sasa hivi tujiulize huu ni mchongo au ni utapeli?

Joseph Kusaga you're better than this, kukusanya bukubuku hizi za watu wasiojielewa kwa maslahi ya Clouds Media siyo sawa hata kidogo.
Povu lote hili unaweza kukuta kazi yako ni kubet. Wabongo bwana

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.

Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata mchongo.

Ni kwamba wanawaaminisha watu wajinga na wavivu wa kufikiri kwamba clouds kila siku itakuwa inatowa shilling million moja kwa mtu mmoja mwenye bahati atakayeshiriki huo utapeli wa pata mchongo kwa kutuma sms ambayo itakugharimu shilling 1000/=

Sasa twende kwenye fact na evidence, kama watu 10,000 tu wakishiriki utapeli huu, clouds wanaingiza million 10 na kutowa millioni moja kumpa mmoja ya hawa kina Abunuwasi na kumuonesha kwenye media ili mazuzu mzidi kuvutika huku wao wanabaki na million 9 za wajinga.

Hii ni sample ya hesabu ndogo tu lakini ikifanyika research ya kweli unaweza kukuta utapeli huu unashirikisha maelfu ya wajinga kwa sababu Watanzania wengi wapo frasturated.

Sasa hivi tujiulize huu ni mchongo au ni utapeli?

Joseph Kusaga you're better than this, kukusanya bukubuku hizi za watu wasiojielewa kwa maslahi ya Clouds Media siyo sawa hata kidogo.
Hio michezo kina mama na dada wengi ndio wahanga
 
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.

Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata mchongo.

Ni kwamba wanawaaminisha watu wajinga na wavivu wa kufikiri kwamba clouds kila siku itakuwa inatowa shilling million moja kwa mtu mmoja mwenye bahati atakayeshiriki huo utapeli wa pata mchongo kwa kutuma sms ambayo itakugharimu shilling 1000/=

Sasa twende kwenye fact na evidence, kama watu 10,000 tu wakishiriki utapeli huu, clouds wanaingiza million 10 na kutowa millioni moja kumpa mmoja ya hawa kina Abunuwasi na kumuonesha kwenye media ili mazuzu mzidi kuvutika huku wao wanabaki na million 9 za wajinga.

Hii ni sample ya hesabu ndogo tu lakini ikifanyika research ya kweli unaweza kukuta utapeli huu unashirikisha maelfu ya wajinga kwa sababu Watanzania wengi wapo frasturated.

Sasa hivi tujiulize huu ni mchongo au ni utapeli?

Joseph Kusaga you're better than this, kukusanya bukubuku hizi za watu wasiojielewa kwa maslahi ya Clouds Media siyo sawa hata kidogo.

Kwa kumtaja huyo mwishoni, umeonyesha ni wivu kwake. Na inaonyesha una mfahamu vizuri tu, ungemwambia uso kwa uso kama sio wivu wa biashara za wengine.

ACHA WIVU kwa mtu.
 
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.

Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata mchongo.

Ni kwamba wanawaaminisha watu wajinga na wavivu wa kufikiri kwamba clouds kila siku itakuwa inatowa shilling million moja kwa mtu mmoja mwenye bahati atakayeshiriki huo utapeli wa pata mchongo kwa kutuma sms ambayo itakugharimu shilling 1000/=

Sasa twende kwenye fact na evidence, kama watu 10,000 tu wakishiriki utapeli huu, clouds wanaingiza million 10 na kutowa millioni moja kumpa mmoja ya hawa kina Abunuwasi na kumuonesha kwenye media ili mazuzu mzidi kuvutika huku wao wanabaki na million 9 za wajinga.

Hii ni sample ya hesabu ndogo tu lakini ikifanyika research ya kweli unaweza kukuta utapeli huu unashirikisha maelfu ya wajinga kwa sababu Watanzania wengi wapo frasturated.

Sasa hivi tujiulize huu ni mchongo au ni utapeli?

Joseph Kusaga you're better than this, kukusanya bukubuku hizi za watu wasiojielewa kwa maslahi ya Clouds Media siyo sawa hata kidogo.
kwa hiyo ulitaka wakipata zote watoe kwa washindi au
acha wivu wa kijinga mkuuu
 
Back
Top Bottom