Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau Zitto Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi cha njaa au cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JPM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wameona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema...
Kuna watu hapa Zitto ndiyo lulu na encyclopaedia yao. Akisema jambo hata la uzusihi watalipamia kama walizaliwa nalo. Alitoa uzushi wa trilioni 1.5 bila ushahid, mpaka leo bado bado wanaimba uzusihi huo hata baada ya kuwa imekuwa proved kuwa ulikuwa ni uwongo.

Kwa hiyo zito anajua ana wafuiasi watakaokubali lolote atakalosema, na sasa anawaambia kuwa ataipigia debe serikali kusudi wafuasi wake nao waingie kupiga debe
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
Kiongozi mkuu wa Chadema ndo mtu watanzania walio wengi humtazama kama ndo anaepigania haki na uhuru wa watanzania, kwasabb pesa ya kumfanya aishi vzri anao. Chief Hangaya hatakuja kupata umaarufu asipo muachia huyu mtu bila masharti,.....yani siasa za nchi nikama zime simama, hao wakina zitto, LIPUMBA, MBATIA nk watu hawana time nao.
 
Juzi tu chama chake kimefanya mkutano wa ndani kikapewa ulinzi na jeshi la polisi, hata simshangai kwa hiyo kauli yake, anajua naye ni sehemu ya watawala kwa hivyo uozo wowote wa utawala uliopo naye na chama chake watakuwa ni sehemu ya uozo huo.

Ameropoka hivyo kwasababu Rais alihudhuria uzinduzi wa Maalim Seif Foundation; ACT na CCM sasa ni vyama rafiki naona hata Zitto hana habari tena na Katiba Mpya ni mwendo wa kuropoka tu, ngoja hii honeymoon yake na watawala iishe akili zitamrudia naona anaringa amempata rafiki kama ilivyokuwa kwa Kikwete.

Wanamdanganya wanaenzi fikra za Seif wakati akiwa hai hawakuzifuata, huku wanamsifu alikuwa anapenda majadiliano wakati hata kukaa nae mezani walimgomea baada ya kumuibia ushindi wake mpaka akaanza kuzurura duniani kote kuitafuta haki yake asiipate.

Zitto anajidanganya kwa kuamini kwake siasa ni mchezo fulani usio na adui au rafiki wa kudumu, anasahau kwa kuamini kwake msemo huo wakati ambao madai mengi ya msingi yanakiukwa kama utawala bora na haki za binadamu kunamuondolea heshima na kutoaminika kwenye jamii ambako kutamgharimu kwenye siasa kwa muda mrefu ujao, yeye anawaza leo tu, ndio maana anakuwa kiongozi wa chama tegemezi.
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
Beatrice iwe wakola! Asante Beatrice!
 
Juzi tu chama chake kimefanya mkutano wa ndani kikapewa ulinzi na jeshi la polisi, hata simshangai kwa hiyo kauli yake, anajua naye ni sehemu ya watawala kwa hivyo uozo wowote wa utawala uliopo naye na chama chake watakuwa ni sehemu ya uozo huo.

Zitto anajidanganya kwa kuamini kwake siasa ni mchezo fulani usio na adui au rafiki wa kudumu, anasahau kwa kuamini kwake msemo huo wakati ambao madai mengi ya msingi yanakiukwa kama utawala bora na haki za binadamu kunamuondolea heshima na kutoaminika kwenye jamii ambako kutamgharimu kwa muda mrefu ujao, yeye anawaza leo tu.
Zito njaa inamsumbua sana. Zitto ni opportunistic, power monger, agrresive of attainng [power, tribalistic, mdini and the like!
 
Wanasiasa wote ni wachumia matumbo tu , hakuna wa kukutetea ,
Chamsingi ni kufanya kazi kwa bidii na kwa kutumia maarifa aliyokupa mungu ili uweze kujikwamua kimaisha wewe na familia yako
Mwanasiasa akikwambia toka nje kuna giza, jiongeze mwenyewe uende ukahakikishe kweli kuna giza au anakurububi ili uendelee kubaki!.
 
Wakati ule tulikuwa tukimsikia akitia neno zitapotolewa takwimu za serikali na taarifa mbali mbali zikiwemo za makusanyo ya mapato ya serikali, bot , takwimu, n.k

Siku hizi hatumsikii akitia neno kabisa au ndio kusema siku hizi mambo yameimarika taarifa zimekuwa za kuaminika tofauti na wakati ule?
 
Wakati ule tulikuwa tukimsikia akitia neno zitapotolewa takwimu za serikali na taarifa mbali mbali zikiwemo za makusanyo ya mapato ya serikali, bot , takwimu, n.k

Siku hizi hatumsikii akitia neno kabisa au ndio kusema siku hizi mambo yameimarika taarifa zimekuwa za kuaminika tofauti na wakati ule?
Chama chake kimeolewa na CCM kule Zanzibar kwahiyo mrija unamfikia vizuri tu siku hizi mdomo wake upo busy kunyonya ndio maana haongei
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
Huwa nashangaa mno nikiwa naona Watanzania wakimkubali sana wakati binafsi ndiye Mwanasiasa mbovu, mnafiki na msaliti kuwahi kutokea Tanzania.
 
Back
Top Bottom