Unaongoza kipindi vibaya sana, unachefua kabisa, unatoa maelezo huku unajichanganya, yaani unadobanga vibaya sana, yaani imebidi nizime redio.
Yaani unajibu sms moja zaidi ya dakika 3.
Nyie viongozi wa bongo fm msimruhusu huyu jamaa kuongoza kipindi, mpeni muda ajifunze kwanza