Maisha baada ya kufukuzwa kazi

Maisha baada ya kufukuzwa kazi

Siri ni moja tu kipindi unapiga kazi uwe unajiwekea kazi maana ukifuzwa kazi unakuwa mtaan kwa muda mpaka pale ukipata kazi nyingine, au lah ukiwa lbda unaujuzi unaweza kwenda kwa jmaa yako ambaye anafanya kazi ya fan yako unapga daywaka huwez kukosa kuishi mzes baba
 
Siri ni moja tu kipindi unapiga kazi uwe unajiwekea kazi maana ukifuzwa kazi unakuwa mtaan kwa muda mpaka pale ukipata kazi nyingine, au lah ukiwa lbda unaujuzi unaweza kwenda kwa jmaa yako ambaye anafanya kazi ya fan yako unapga daywaka huwez kukosa kuishi mzes baba
Hii ni bonge Moja la point , umetisha kinyama.
 
Tulipoteza wengi tuliodhani marafiki.
Ndugu wengi walitudharau na kutuona sikitu tena.
Tulipoteza heshima tukizokuanazo mitaani hadi Bar.
Lakini kilikua kipindi kizuri cha kujifunza na kutambua umuhimu wa kujiwekea akiba na literally uchumi, na ilitufundisha kuchagua marafiki wa kweli hadi leo tunatamba tu...😋
 
Jiandae kufungiwa vioo na watu wote uliowasaidia.
Jiandae kufungiwa vioo na watumishi wenzio, washikaji mliokuwa mnakunywa nao, kuchoma nyama na kutembea na kupanga mipango pamoja..
Mwisho; simu yako itakuwa na upweke, utaondolewa kila sehemu, hakuna mtu atakupigia miongoni mwa cycle yako ya kazi.
Jikaze mzee
 
Tulipoteza wengi tuliodhani marafiki.
Ndugu wengi walitudharau na kutuona sikitu tena.
Tulipoteza heshima tukizokuanazo mitaani hadi Bar.
Lakini kilikua kipindi kizuri cha kujifunza na kutambua umuhimu wa kujiwekea akiba na literally uchumi, na ilitufundisha kuchagua marafiki wa kweli hadi leo tunatamba tu...😋
Ni kweli kabisa , nikipindi kizuri Cha shule na kutambua watu waaminifu
 
Jiandae kufungiwa vioo na watu wote uliowasaidia.
Jiandae kugungiwa vioo na watumishi wenzio, washikaji mliokuwa mnakunywa nao, kuchoma nyama na kutembea pamoja.
Mwisho; simu yako itakuwa na upweke, utaondolewa kila sehemu, hakuna mtu atakupigia miongoni mwa cycle yako ya kazi. Jikaze mzee
Kweli kabisa .
 
Back
Top Bottom