kipanya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gordian Anduru

    JamiiForums Tanzania Aliyeilewa katuni hii ya KIPANYA

  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha Kipanya leo ni kigumu kuelewa

  3. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa Kipanya juu ya mapambano ya kupata Katiba Mpya

    Msanii Kipanya ameamua kujikita kwenye kuwapigania kimawazo Watanzania. Leo hii ameibuka na mustakabali wa mapambano ya kuhitaji katiba mpya baada ya kiongozi wa mpambano huo kufunguliwa mashitaka mahakamani. Tazameni hiyo picha hapa chini ili kwa wenye uelewa zaidi wa habari picha mtupashe zaidi.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tukio la kurushiana risasi kati ya Polisi na Mtu asiejulikana: Nasubiri katuni ya Masoud Kipanya

    Hili tukio limetokea katika kipindi ambacho kuna tuhuma fulani fulani kwa mtu/watu fulani hivyo nawaza mengi sana. Teyari mitandaoni kuna madi kuwa yule mtu alieuwa alikuwa anatamka maneno fulani, maneno yanyoweza kabisa kubadili sura ya hili tukio iwapo ni ya kweli na kuna uthibitisho wa video...
  5. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya na taswira ya viongozi wetu wabadhirifu

    Yule msanii nguri ameendelea kuonyesha uzareeendo wake kwa watanzania . Wametuwekea picha inayo waonyesha viongozi wetu wa serikali jjnsi wanavyo jipatia mapato haramu na kuishi maisha ya kifahari. Tazameni wenyewe hiyo picha ndiyo tutaelewana.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Tafakari na Kipanya: Mchungaji anaacha mifugo ijiongoze yenyewe

  7. E

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha leo: Kipanya anamuuliza msure wake maana ya nchi kuwa fragmented.

  8. Superbug

    JamiiForums Tanzania Kati ya Maulidi Kitenge na Masoud Kipanya nani zaidi kwenye yafuatayo...

    1. Ukwasi 2. Ubontaun 3. Busara 4. Eposure 5. English Kali 6. Kampani pr na washkaji Maulid Kitenge Masoud Kipanya
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kipanya apewe tenda ya kuchora matumizi sahihi ya vifaa hivi

    Nimezaliwa Kwamtogole, choo cha passport size. Leo nikienda Uwanja wa Taifa na Mloganzila ninakutana na makitu haya.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Aliyeelewa kibonzo cha Kipanya atusaidie

    Uelewa wangu mdogo unaniambia ujinga ndiyo unatuongoza, ndiyo umeshika remote control.
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya anamuuliza Mohamed Said: Abdul Sykes ni nani? Tazama sehemu ya kwanza mpaka ya nne

  12. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha Kipanya kinaelezea utendaji kazi wa Polisi Tanzania

    Wazee wa kupiga twende
  13. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha Kipanya: Baada ya msiba kuna ambao wanaibuka na kufungua midomo?

    Kuna anae ongelea Ranch ya Taifa kuwa imekufa as if amerudi juzi kutoka Ughaibuni.
  14. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha Kipanya: Watawala wanaiogopa Katiba Mpya

  15. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

    Joseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa...
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Masudi Kipanya na Mohamed Said: Kinaga Ubaga

  17. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Moja ya hatua muhimu za kujikinga na Covid ni kunawa mikono, Kipanya anaonyesha hali halisi ya mwananchi wa kawaida

  18. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Masudi Kipanya na Mohamed Said kinaga ubaga

  19. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Mimi Masudi Kipanya na safari yetu ya miaka 100

    KUTOKA DHUHR HADI ALASIRI NA MASUDI ''MTU SPECIAL'' KIPANYA Leo ilikuwa siku makhsusi yaani special sana kwangu kwa kuwa katika chumba kimoja na Masudi Kipanya na vijana wake ''sharp'' wa Clouds Plus. Hiki kwa hakika si chumba kwa maana ya chumba kama tulivyozoea bali ni Maktaba ya Elite...
  20. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Aliyemuelewa Kipanya atujuze

    Maana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka. Anataka kutueleza nini KP?
Back
Top Bottom