Aaahhh....kweli nilimsahau kabisaMange Kimambi anarudi kudai mali zake za urithi.
sijapata maana please SkyView attachment 1800014
Kuna anae ongelea Ranch ya Taifa kuwa imekufa as if amerudi juzi kutoka Ughaibuni.
Jokate....ametokeza ili apate mume...Na yule bi dada kule anaweza kuwa nani?
Na kweli wahuni sasa ndoano kama zote...atakae win lile toto ni UZUNI KWA MWENDAZAKEJokate....atokeza ili apate mume...
Rostam wanakwambia sasa hivi kuna mataa yanaimulika kisarawe....😂😂😂Na kweli wahuni sasa ndoano kama zote...atakae win lile toto ni UZUNI KWA MWENDAZAKE
washenzzz wale vijana sio wa kushindana nao kabisa...wana maneno makali hata risasi haioni ndaniRostam wanakwambia sasa hivi kuna mataa yanaimulika kisarawe....
Nilipoishiwa kabisa ni pale nilipoenda kuisoma hiyo Luka 9:60...yaani Roma ndo wa kutuona na sisi tushajifia????njiwa hawatagi na kile banda kule porini vipi?
Huyo mdada aliyelala nusu uchi si Katherine Magige huyu?View attachment 1800014
Kuna anae ongelea Ranch ya Taifa kuwa imekufa as if amerudi juzi kutoka Ughaibuni.