Tukio la kurushiana risasi kati ya Polisi na Mtu asiejulikana: Nasubiri katuni ya Masoud Kipanya

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Hili tukio limetokea katika kipindi ambacho kuna tuhuma fulani fulani kwa mtu/watu fulani hivyo nawaza mengi sana.

Teyari mitandaoni kuna madi kuwa yule mtu alieuwa alikuwa anatamka maneno fulani, maneno yanyoweza kabisa kubadili sura ya hili tukio iwapo ni ya kweli na kuna uthibitisho wa video wa maneno hayo.

All in all,.mimi namsubiri mchora katuni maarufu, bwana Kipanya aje na katuni yake kuhusu hili tukio kwani atatupa mwanga


Kwa wenye akili, Kipanya tunamtazama kama sio mchora katuni tu, bali ni kijitaasisi chenye viwango kikiwa na watu wa idara zote kuanzia wanahabari, makachero, Whistleblowers, n.k.

Naomba niishie hapa nisije kuharibu kwani kuchamba kwingi,.......

All in all, hakuna siri chini ya jua hivyo tutajua tu mbivu na mbichi.
 
Hili tukio limetokea katika kipindi ambacho kuna tuhuma fulani fulani kwa mtu/watu fulani hivyo nawaza mengi sana.

Teyari mitandaoni kuna madi kuwa yule mtu alieuwa alikuwa anatamka maneno fulani, maneno yanyoweza kabisa kubadili sura ya hili tukio iwapo ni ya kweli na kuna uthibitisho wa video wa maneno hayo.

All in all,.mimi namsubiri mchora katuni maarufu, bwana Kipanya aje na katuni yake kuhusu hili tukio kwani atatupa mwanga


Kwa wenye akili, Kipanya tunamtazama kama sio mchora katuni tu, bali ni kijitaasisi chenye viwango kikiwa na watu wa idara zote kuanzia wanahabari, makachero, Whistleblowers, n.k.

Naomba niishie hapa nisije kuharibu kwani kuchamba kwingi,.......

All in all, hakuna siri chini ya jua hivyo tutajua tu mbivu na mbichi.
Umeandika kwa uwoga sana bwashee!
 
Hili tukio limetokea katika kipindi ambacho kuna tuhuma fulani fulani kwa mtu/watu fulani hivyo nawaza mengi sana.

Teyari mitandaoni kuna madi kuwa yule mtu alieuwa alikuwa anatamka maneno fulani, maneno yanyoweza kabisa kubadili sura ya hili tukio iwapo ni ya kweli na kuna uthibitisho wa video wa maneno hayo.

All in all,.mimi namsubiri mchora katuni maarufu, bwana Kipanya aje na katuni yake kuhusu hili tukio kwani atatupa mwanga


Kwa wenye akili, Kipanya tunamtazama kama sio mchora katuni tu, bali ni kijitaasisi chenye viwango kikiwa na watu wa idara zote kuanzia wanahabari, makachero, Whistleblowers, n.k.

Naomba niishie hapa nisije kuharibu kwani kuchamba kwingi,.......

All in all, hakuna siri chini ya jua hivyo tutajua tu mbivu na mbichi.
Kijana kaishafahamika hadi kwao, ni dogo wa 1991
 
Back
Top Bottom