😂😂😂View attachment 1872798
Nimezaliwa Kwamtogole, choo cha passport size. Leo nikienda Uwanja wa Taifa na Mloganzila ninakutana na makitu haya.
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂View attachment 1872798
Nimezaliwa Kwamtogole, choo cha passport size. Leo nikienda Uwanja wa Taifa na Mloganzila ninakutana na makitu haya.
Wewe hukunyi?Picha imenichefua
😂😂😂😂😂😂😂😂mashikoloHaha unanikumbusha ,kuna mjomba wangu alichambia Sabuni ya Maji ilikuwa kwenye kidumu lita5,
Sasa pale toilet hakuona maji zaidi ya tissue paper,
Pembeni akaona hilo dumu Sabuni ya maji yakusafisha choo,wacha achambe
Ilikuaje baada ya hapo?Haha unanikumbusha ,kuna mjomba wangu alichambia Sabuni ya Maji ilikuwa kwenye kidumu lita5,
Sasa pale toilet hakuona maji zaidi ya tissue paper,
Pembeni akaona hilo dumu Sabuni ya maji yakusafisha choo,wacha achambe
View attachment 1872798
Nimezaliwa Kwamtogole, choo cha passport size. Leo nikienda Uwanja wa Taifa na Mloganzila ninakutana na makitu haya.
Yanaitwa urinalHayo makitu unayatumiaje Sky Eclat?