kipanya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Force Account: hata Kipanya anajua madudu!

    Sasa hata Kipanya na wananchi wameanza kuielewa Force Account na madudu yake. Serikali ifanye Technical Audit kwa hii miradi kabla haijabomoka yenyewe.
  2. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania Kipanya: Mizigo yenu ni hii hii kama yetu ama ya kwenu iko dry?

    "Hivi wale wanaotumia 'tishu' tu kujisafisha chooni, huwa wanashusha mizigo hii hii tunayoishusha sisi au wenzetu mizigo yao inakuwa dry, odourless and sophisticated?"
  3. J

    JamiiForums Tanzania Kongole Masudi Kipanya kwa Ubunifu, hii ni challenge kwa wasomi

    Nampongeza Masudi Kipanya kwa ubunifu wa kile kigari chake, kuna watu wanajiita wasomi lakini hawajawahi kubuni hata mswaki, watu wengi wenye wivu tabia zao zinafanana yaani badala ya watu kumtia moyo na kumpongeza wanambeza, huku maprofesa wakijikita kukamata wasichana sapu ili wahongwe ngono...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kufanikisha kutengeneza gari, Kipanya ni shujaa

    Kitendo alichokifanya Masoud Kipanya ni cha kishujaa na kinastahili kupewa pongezi. Tunahitaji vijana wengi kuiga alichokifanya kipanya katika bidhaa mbalimbali zinazozalishwa huko ulimwenguni, wabuni kwa brand zao na kutengeneza. Labda nimshauri Kipanya kuwa gari lake asiliweke makumbusho...
  5. aka2030

    JamiiForums Tanzania Hongera Masoud Kipanya ila tunaomba ufafanuzi kidogo kuhusu hii gari yako

    Nikupongeze kwa hatua hii ya kuzindua gari uliyoitengeneza wewe mwenyewe kama ulivyotuaminisha ila naomba basi utusaidie yafuatayo ili utuvutie zaidi kuweza kununua gari yako 1. Je, ukichaji gari ikajaa unaweza kutembea kwa umbali wa kilomita ngapi? 2. Je, vipuri vya gari vikiharibika...
  6. Donnie Charlie

    JamiiForums Tanzania Takwimu na Masoud Kipanya

    Kwa maana hii mtalii akienda Kilimanjaro, Mikumi nk wanahesabika ni zaidi ya mtalii mmoja.
  7. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Kipanya hapa sijakuelewa ujue

    Ana maanisha nini? Na hii brenda ya kijani nayo vipi
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kipanya leo: mikono inayosaidia watu ni mitakatifu kuliko midomo inayosali.

  9. Faana

    JamiiForums Tanzania Kipanya ni Burudani Tosha

  10. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Kipanya na Polisi

    Asante Kipanya kwa kuliweka vyema hili. Hii ndio picha Halisi ya police wa CCM
  11. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya aongeza mke wa nne

    Wengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora. Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Mbuzi wa Kipanya amekata kamba kwahiyo anakula bila kipimo

    Nimeiona mahali katuni ya mbuzi wa Kipanya aliyekata kamba na kwahiyo anakula bila kuzingatia urefu wa kamba, nimecheka sana. Ngoja niitafute nitupie mjionee wenyewe. Maendeleo hayana vyama!
  13. L

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya una akili nyingi

    Huyu jamaa ana akili nyingi sana.IQ yake si ya kawaida.
  14. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha Kipanya leo

    Mibuyu ni miti inayoota huko Dodoma, ile kauli ilisema “Nimesikia huko Dodoma kwa akina Kassim….”. Mbuyu wa kwanza umeshang’olewa. Fuvu linaangalia lakini sasa halina kauli. Kwakifupi tu ninawasalimu kwa Jina la Muungano- Kazi iendelee.
  15. Nas Jr

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Masoud kipanya na Aliyosema leo Samia

    Kuna uhusiano wa alichofanya Samia na huu ujumbe wa Masoud?
  16. elmagnifico

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya huwa anasema mengi kwa picha au maneno machache

    Fact
  17. MGOGOHALISI

    JamiiForums Tanzania Ni lini Masoud Kipanya atapewa PhD ya Heshima kwa kazi anazozifanya?

    Navishangaa vyuo vikuu vya Tanzania hasa vyenye kutoa shahada mbalimbali za zinazohusiana na sanaa kutokuona mchango wa huyu mwamba. Masoud amekua akitoa kazi zenye kufikirisha na kutumia akili kwa miaka mingi sana. Binafsi toka nimfahamu ni zaidi ya miaka ishirini sasa. Natoa wito kwa vyuo...
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo: Kipanya anaelezea jinsi ya kummenyea kipofu karanga

  19. B

    JamiiForums Tanzania Kipanya na Katuni hii, aliona Mbali

    Pigisha hata kura ya maoni ulipo au hata katika ulio nao karibu: Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Kibonzo hapa kina hoja nzito.
  20. USSR

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

    Nimeona mchoro huu nikajiuliza aliwaza nini kabla ya mdau kutoa ufafanuzi wake, Kama iko vivyo mdau alivyosema basi Kipanya ametukosea Sana watanzania, mtu akifa aachwe afe. Kusema Samaia anajifunza ya JPM ni kukosea sana hasa ukisema anajifunza mabaya tu. USSR
Back
Top Bottom