Anita Kajembe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2021
- 215
- 485
Mpaka Wote Wachanjwe Johnson And JohnsonWanaswagwa tu. Ndemi anapotaka waende ndo huko huko wanakwenda.
great thinker
Wanaswagwa tu. Ndemi anapotaka waende ndo huko huko wanakwenda.
Wala si chanjo. Ila kila anachosema Rais wao wanafuata tu. Hata tozo sasa ni kimya japo walilalamika. With time tozo waliyoilalamikia wataizoea tu.Kama ulishawahi kuwa Ndemi utanielewa. Hii imenifikirisha kipindi tukienda likizo kwa Babu ,basi tulikuwa tunaswaga Ng'ombe. Hata wabishe mwisho wa siku wanatii amri ya Ndemi.Mpaka Wote Wachanjwe Johnson And Johnson
Kiongozi yeyote kwenye kitu chochote,Ng'ombe ni waongonzwa wowote ambao mwisho wa siku wanakubaliana na matakwa ya Ndemi. Hata kama anawapeleka kuzimu .Bado sijaelewa, mchungaji nj nani na ng'ombe ni nani
Ng'wangaluka,Ng'wamisha mhola ahene ?Ng’wangaruka mayu
Gwajima anawaswaga mbinguni wanakondoo wake
Hadi wafike mbinguni cheki wanapaa hao na yeye kakaa nyumaMpaka Wote Wachanjwe Johnson And Johnson
kwakweli ndiyo maana hata kina pambalu na myika wamepoteza mwelekeo sasaWala si chanjo. Ila kila anachosema Rais wao wanafuata tu. Hata tozo sasa ni kimya japo walilalamika. With time tozo waliyoilalamikia wataizoea tu.Kama ulishawahi kuwa Ndemi utanielewa. Hii imenifikirisha kipindi tukienda likizo kwa Babu ,basi tulikuwa tunaswaga Ng'ombe. Hata wabishe mwisho wa siku wanatii amri ya Ndemi.
Slaa yuko wapi sasaWatz ni watu wepesi sana kuwatawala
Nakumbuka kuna kipindi dokta slaa alimtishia dokta Kikwete kuwa nchi haitatawalika Ila Kikwete aliishia kucheka tu maana alijua reaction ya nyumbu inavyokuaga
Gwajima na waumini wakeBado sijaelewa, mchungaji nj nani na ng'ombe ni nani
Anagawa Kummer huko ughaibuniSlaa yuko wapi sasa