IBARA YA 16:
(1)Wanaume na wanawake waliotimiza umri wa utu uzima, bila kujali uasili, uraia au dini wana haki ya kuoa na kuolewa na kuanzisha familia, wanapaswa kuwa na haki sawa katik ndoa.wakati ndoa inaendele au ikivunjika.
(2)Ndoa itafungwa tu pale wanandoa watakapokuwa wamekubali kwa hiari...