johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,445
Rais Samia amesema Rais hafanyi makosa katika kuteua kutoka wafuasi wa vyama vya upinzani.
Rais Samia amesema kuna wakati wakuu wa wilaya pale Kilimanjaro walikuwa wanamsumbua mama Mghwira kwa madai kuwa hayati Magufuli alikosea kumteua.
Rais hakosei, amesisitiza mama Samia.
Uzi huu ni angalizo kwa DC Kasesela asije kujisahau kama Ole sabaya na kuanza kumnyanyapaa mama Queen Sendiga kwa vile tu ametokea upinzani, awe mwangalifu.
Kazi Iendelee!
Rais Samia amesema kuna wakati wakuu wa wilaya pale Kilimanjaro walikuwa wanamsumbua mama Mghwira kwa madai kuwa hayati Magufuli alikosea kumteua.
Rais hakosei, amesisitiza mama Samia.
Uzi huu ni angalizo kwa DC Kasesela asije kujisahau kama Ole sabaya na kuanza kumnyanyapaa mama Queen Sendiga kwa vile tu ametokea upinzani, awe mwangalifu.
Kazi Iendelee!