Baada ya serikali kupunguza bei ya kuunganishiwa umeme kuwa Tsh 27,000 Mkoa wa Kilimanjaro ofisi ya Tanesco mkoa yakabiliwa na upungufu " Surveyor"

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,819
21,425
Baada ya Serikali kupunguza kulipia umeme Hadi 27,000 tanesco kwenye baadhi ya mikoa ,limeibuka tatizo la kukoseka kwa watumishi wanaojulikana kama ' surveyor, mfano kule Kilimanjaro ofisi ya tanesco mkoa ,kuna surveyor wawili, anaohudumia ofisi ya mkoa . Hii imechangia kuongezeka kwa rushwa na ukiritimba mkubwa ili kupata umeme wa Tsh 27,000. Cha kushangaza graduates wamejaa mitaani Ila surveyor wa tanesco ni wawili mkoa mzima. Tunaomba waziri mwenye dhamana na wizara ya nishati, atembelee ofisi ya tanesco mkoa wa Kilimanjaro ajionee maajabu.
 
Baada ya Serikali kupunguza kulipia umeme Hadi 27,000 tanesco kwenye baadhi ya mikoa ,limeibuka tatizo la kukoseka kwa watumishi wanaojulikana kama ' surveyor, mfano kule Kilimanjaro ofisi ya tanesco mkoa ,kuna surveyor wawili, anaohudumia ofisi ya mkoa . Hii imechangia kuongezeka kwa rushwa na ukiritimba mkubwa ili kupata umeme wa Tsh 27,000. Cha kushangaza graduates wamejaa mitaani Ila surveyor wa tanesco ni wawili mkoa mzima. Tunaomba waziri mwenye dhamana na wizara ya nishati, atembelee ofisi ya tanesco mkoa wa Kilimanjaro ajionee maajabu.
Mkuu waweza kukuta surveyors wapo Ila wameamua kutengeneza uhaba wa huduma ili rushwa itembee.

Dawa sio kumkumbuka marehemu, dawa ni kuwaripoti tu wapuuzi sana. Tanesco ingehamishiwa wizara ya ulinzi isimamiwe na wajeda watupu.

Yani waweke Mkurugenzi injinia mjeda, mpaka makuli wa kuweka nguzo wachukuliwe JKT tatizo lingeisha Ila wamejaa watu pale wanarithishana shirika tu unakuta bibi na wajukuu zake wote wapo Tanesco kama ilivyo bandari na NSSF
 
Mkuu waweza kukuta surveyors wapo Ila wameamua kutengeneza uhaba wa huduma ili rushwa itembee.

Dawa sio kumkumbuka marehemu, dawa ni kuwaripoti tu wapuuzi sana. Tanesco ingehamishiwa wizara ya ulinzi isimamiwe na wajeda watupu.

Yani waweke Mkurugenzi injinia mjeda, mpaka makuli wa kuweka nguzo wachukuliwe JKT tatizo lingeisha Ila wamejaa watu pale wanarithishana shirika tu unakuta bibi na wajukuu zake wote wapo Tanesco kama ilivyo bandari na NSSF
Mimi hiyo naona haita saidia. Dawa kuwe na shirika zaidi ya moja la kusambaza umeme.
 
Mimi hiyo naona haita saidia. Dawa kuwe na shirika zaidi ya moja la kusambaza umeme.
Tatizo ni miundombinu how will they share? Unakuta kampuni moja inasupply kwa umakini lakini watatumia miundombinu gani ili iwe independent?

Maana kama watatumia miundombinu ya Tanesco umeme utakuwa ghali zaidi sababu ya kulipa mrabaha at the same time ni ngumu kupitisha umeme kwenye line moja kutoka kampuni mbili tofauti unless nao wajenge miundombinu yao jambo ambalo ni next to impossible.
 
Baada ya Serikali kupunguza kulipia umeme Hadi 27,000 tanesco kwenye baadhi ya mikoa ,limeibuka tatizo la kukoseka kwa watumishi wanaojulikana kama ' surveyor, mfano kule Kilimanjaro ofisi ya tanesco mkoa ,kuna surveyor wawili, anaohudumia ofisi ya mkoa . Hii imechangia kuongezeka kwa rushwa na ukiritimba mkubwa ili kupata umeme wa Tsh 27,000. Cha kushangaza graduates wamejaa mitaani Ila surveyor wa tanesco ni wawili mkoa mzima. Tunaomba waziri mwenye dhamana na wizara ya nishati, atembelee ofisi ya tanesco mkoa wa Kilimanjaro ajionee maajabu.
Tafadhali tumepokea taarifa kwa hatua zaidi, je unapata changamoto gani? Wilaya na namba ya simu tufanyie kazi taarifa zako

TANESCO huduma kwa wateja

MAKAO MAKUU
 
Tafadhali tumepokea taarifa kwa hatua zaidi, je unapata changamoto gani? Wilaya na namba ya simu tufanyie kazi taarifa zako

TANESCO huduma kwa wateja

MAKAO MAKUU
0689877735, Rushwa imekidhiri, surveyor ni wawili tu wilaya nzima, ukiritimba mkubwa, kitengo Cha surveyor kimekuwa miungu watu, meneja hahihusishi na kitengo hicho .
 
Tumepokea.taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
Mnachelewa sana kuchukua hatua
Mwaka jana kipindi kama hichi kuna nyumba Moshi (H) walituma maombi ila mpaka leo surveyor hawajaenda ila kuna nyumba zinajengwa kabla hata hazijamalizika wanafungiwa umeme na unakuta wanatumia hata zaidi ya nguzo tatu.
Hata kama ni rushwa ila mwaka mzima bila response ya huduma it's so shameful
 
Mnachelewa sana kuchukua hatua
Mwaka jana kipindi kama hichi kuna nyumba Moshi (H) walituma maombi ila mpaka leo surveyor hawajaenda ila kuna nyumba zinajengwa kabla hata hazijamalizika wanafungiwa umeme na unakuta wanatumia hata zaidi ya nguzo tatu.
Hata kama ni rushwa ila mwaka mzima bila response ya huduma it's so shameful
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Tumepokea.taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
Mimi nilikwenda kufuatilia huduma ya kuunganishiwa kwa bei ya elfu 27 pamoja na nguzo kutolewa bure kwa kadri ilivyoelekezwa na Waziri.
Inaonekana kwenye hili ama hamjajipanga au mmelileta kisiasa. Nasema hivyo kwa sababu ilielezwa kuwa gharama tajwa zitanufaisha wahitaji ambao wapo ndani ya mita 30 pekee na si vinginevyo.
Kwanini sauala hili msitoe ufafanuzi ili lieleweke kwa wengi?.
 
Tanesco makao makuu mnapaswa kutoa ufafanuzi wa kina kwa uwazi kabisa... hilo swala la elfu27... bado lina utata... kwa ss wateja na ofisi za Tanesco wilayani mfano Lushoto... kuna hiyo changamoto haswa pale unapohitaji nguzo iwe moja, mbili au tatu..... Tunaomba tamko rasmi lenye details au wekeni pia kwenye website nyenu.
 
Hata TANESCO Himo ni watu wasiojali. Naambiwa umeme mabungo unapelekewa wastaafu tu wa kitongoji Cha KILINDINI wengine NO!
 
Baada ya Serikali kupunguza kulipia umeme Hadi 27,000 tanesco kwenye baadhi ya mikoa ,limeibuka tatizo la kukoseka kwa watumishi wanaojulikana kama ' surveyor, mfano kule Kilimanjaro ofisi ya tanesco mkoa ,kuna surveyor wawili, anaohudumia ofisi ya mkoa . Hii imechangia kuongezeka kwa rushwa na ukiritimba mkubwa ili kupata umeme wa Tsh 27,000. Cha kushangaza graduates wamejaa mitaani Ila surveyor wa tanesco ni wawili mkoa mzima. Tunaomba waziri mwenye dhamana na wizara ya nishati, atembelee ofisi ya tanesco mkoa wa Kilimanjaro ajionee maajabu.
Watumishi wa serikali ni wakuwaonea huruma tu!!kila sekta hawatoshi, pesa nyingi za nchi hii zinaliwa na wana siasa tu!!halafu kwa hali hiyo ataibuka mwanasiasa nakuja kutoa tamko kuwa anataka ndani ya wiki moja wote wanaohitaji huduma ya survey, wawe tayari ili wakalipie!!bila huangalia rasilimali watu wa kufanya kazi hiyo!!ndio maana sasa jeshi la polisi sasa limekuja na sera ya ulinzi jamii kwa nchi nzima kwani hawawezi kuwa na askari kila sehemu.
 
Tanesco makao makuu mnapaswa kutoa ufafanuzi wa kina kwa uwazi kabisa... hilo swala la elfu27... bado lina utata... kwa ss wateja na ofisi za Tanesco wilayani mfano Lushoto... kuna hiyo changamoto haswa pale unapohitaji nguzo iwe moja, mbili au tatu..... Tunaomba tamko rasmi lenye details au wekeni pia kwenye website nyenu.
Hahaaaa!!hiyo 27, 000 ni kwa wale tu ambao hawahitaji nguzo ili kufikiwa na umeme.yaani nguzo unayotaka kuchukulia umeme iwe ndani ya mita 30, hivyo wanakuja kukuvutia tu waya.ila kama una kuna nguzo inayohitajika bei ni zile zile za zamani zilivyokuwa.tatizo la wana siasa wanapotoa matamko huwa hawataki yawe wazi ili mwisho wa siku mtendaji ndio aonekane ana matatizo kwa anaowahudumia.
 
Back
Top Bottom