kike

The word kike () is an ethnic slur for a Jew.

View More On Wikipedia.org
  1. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli walimu wa kike ni wazuri katika ndoa?

    TUJIKUMBUSHE; TUJADILI. Kuna miaka fulani walimu wa kike walivuma na kumwagiwa sifa nzuri katika uwanja wa ndoa. Watu wengi waliooa walimu, na walioshuhudia ndoa za walimu walisema kuwa mwanaume aliyeoa au atakayeoa mwalimu hasa mwalimu wa shule ya msingi atapiga hatua kubwa ya kimaendeleo...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Aliyeomba yohana mbatizaji akatwe kichwa ni mwanamke: Wanaoshangilia utekaji wengi wao viongozi wa kike, Aliyemuuza adam ni mwanamke

    Linapokuja suala la ukatili, viongozi wa kike wameonesha roho mbaya za waziwazi kabisa! Michango ya wabunge inatia simanzi! Kushangilia utekaji na mauaji ni ishara ya juu kabisa ya uchawi! Kama kuteka ni suruhisho hatuna budi kuwa na mahakama na magereza. Viti maalum vimeonesha waziwazi siyo...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mwarabu mmoja Amtemea mate Mwanajeshi wa kike huko Tel Aviv Israel

    Raia mmoja wa Israel mwenye asili ya kiarabu leo akiwa kwenye usafiri wa Umma wakati anashuka alimtemea mate Mwanajeshi wa jeshi la Israel IDF kisha kukimbia tukio hilo lilinaswa na kamera za cctv zilizomo kwenye basi hilo. Juhudi za kumtafuta zinaendelea baada ya wataalamu wa Forensic-lab...
  4. Nusratt

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa Kike simuelewi jamani!

    Naombeni ushauri au neno lolote. Hapa ninapoishi (Ubungo) nimepata mgeni wa kike. Dada huyu alikuwa ni rafiki yangu wa huko nyuma kabla sijaachana na ile kazi ya haramu niliyokuwa naifanya kule Mori na Dodoma. Sasa huyu mgeni kwanza nimeshangaa kapajuaje hapa ninapoishi na licha ya hivo pia...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mlinzi anahitajika wa kike au kiume

    Anahitajika mfanyakazi kazi ya ulinzi awe wa kike au wa kiume. Eneo la kazi ni Iringa mjini , mshahara 150.000. Shift ni usiku. Mawasiliano 0699626644
  6. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata Taulo za Kike Polisi hawawezi kununua? What a shame!

    Yaani ukiona wanavyoumiza Watu, ukienda kituoni wanavyokujibu Vibaya, wakipita kwenye yale magari wanavyodhani wako mbinguni, KUMBE hata Taulo za Kike hawawezi kununua! What a shame! Mnadhulumiwa hadi pesa za Pedi but kucha kuchwa mko na CHADEMA Tu kuwateka, kuwatesa na kuwaua...
  7. TheMaster

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Makonda kuwa na tabia ya kumdhalilisha mbunge Gambo mara kwa mara mbele ya hadhira ni utoto

    Kitendo cha Makonda kuwa na tabia ya kumdhalilisha mbunge wa Arusha mara kwa mara mbele ya hadhira ni utoto na tabia za kike. Watoto ndo wanatabia za kusemana hadharani ili mmoja aonekane bora kuliko mwenzake Wanawake ndio wanatabia ya kuchambana mbele za watu ili kuaibishana Makonda ni mara...
  8. haszu

    JamiiForums Tanzania Ukijifungia kwenye uzio wa " Vitu vya kike" " Mambo ya kike" Utakosa raha duniani.

    Mimi nanunua ubuyu nakula, Nanunua chips yai nakula Ice cream nakula kwa kunyonya bila shida. Haviondoi uanaume. Mambo ya sijui ndizi ule kwa kukatakata mana ukila kiurefu ni mambo yakike, nawaachia wale wasio jijua km ni jinsia gani. Watu wasiojiamini na uanaume wao ndio wana jishtukia
  9. T

    JamiiForums Tanzania Donald Trump ametangaza kuwa huenda akaondoa ongezeko la ushuru wa forodha uliowekwa dhidi ya China

    Rais wa Marekani, Donald Trump, siku ya Alhamisi alitoa ishara ya uwezekano wa kumalizika kwa ongezeko la ushuru wa forodha kati ya Marekani na China, ongezeko ambalo limeyumbisha masoko ya fedha duniani. Pia alieleza kuwa makubaliano kuhusu hatma ya jukwaa la mitandao ya kijamii la TikTok...
  10. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) Yakabidhi Sanitary Pads 350 kwa Wanafunzi wa Kike

    Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Wanu Hafidh Ameir (Mb) leo tarehe 18 Aprili, 2025 imekabidhi Taulo za Kike (Sanitary Pads) 350 kwa Wasichana walio katika mazingira magumu nyakati za hedhi husababisha changamoto kubwa kwa wasichana kuhudhuria masomo...
  11. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Wazazi ni chanzo cha kuharibikiwa kwa watoto sanasana watoto wa kike

    Watoto wakike hasa wakisha pevuka wanaishi katika changamoto nyingi sana maana wanakumbana na Vista wishing vingi sana,changamoto hizi huongezeka pale inapotokea mtoto wa kike hapati attention ya kutosha kutoka kwa wazazi wake. Mfano Kuna mtoto ana umri wa miaka 16 yupo kidato cha nne tangu...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Katibu Kata CCM Nyalikungu wilaya ya Maswa aache tabia zake za kuwatukana viongozi wenzake wa kike.

    Tabia ya Katibu Kata wa CCM Kata ya Nyalikungu,wilaya ya Maswa,Charles Kahema anatakiwa ashughulikiwe na uongozi wa CCM wilaya kwa tabia zake za kuwatukana matusi na kuwadhalilisha viongozi wenzake wa Kata hasa wa jinsi ya kike. Aprili 14,2025 alifikishwa katika kituo cha polisi wilaya ya Maswa...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Uitaji wa Vifaa vya saloon ya kike mbeya

    Habari Wana jf naitaji mtu au Duka wanalo uza vifaa vya saloon ya kike mbeya kwa bei nafuu kabisa, asante
  14. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Inaumiza kuona Dada yako / mdogo wako wa kike anazalishwa na mwanaume kopo

    Huwa inaumiza sana kwenye familia kuona dada yako au mdogo wako wakike anazalishwa na mwanaume wa ovyo / kopo ambaye kwa kumtazama tu unajua hana uwezo wa kwenda kumuhudumia huyo mwanamke yaani ndg yako zaidi wanatengeneza mzigo wa majukumu kwa wengine . .
  15. 2

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kike

    Sifa zangu 1) Spiritual lakini siamini katika dini za watu weupe 2) Culture ya maisha yangu ni Vegan 3) Umri wangu ni 35 4) Ni mweupe, Mtanzania 5) Nimejiajiri Sifa za ninayemtaka 1) Awe mweusi wa asili 2) Awe mrefu na sio mfupi 3) Akiwa na utamaduni wa Vegan au Vegetarian itapendeza 4)...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Najuta kufanya mapenzi na rafiki yangu wa kike

    Ni rafiki yangu wa faida kwa miaka mingi, tumevuka milima na mabonde, alipopata mchumba akaniambia tukafuata mahali tukafanya send-off akaolewa huko, na mimi nilipooa alishiriki kwa hatua zote. Akigombana na mme wake nawatuliza. Nikiwa na shida na hela ananisaidia hata nisipolipa haina shida...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Namibia yawa taifa la kwanza Afrika kuwa na Serikali ya mfumo jike

    Rais wa Namibia, makamu wa Rais na mawaziri wa wizara nyeti zikiwemo za fedha, mambo ya nje, mambo ya ndani, usalama na uhamiaji wote ni wanawake!
  18. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Mchina wa boat za Azam anayejinengua kwa miondoko ya Kike analeta tafsiri gani? Je anaburudisha au anakosea?

    Mchina wa boat za Azam anayejinengua kwa miondoko ya Kike analeta tafsiri gani? Je anaburudisha ama anakosea? Tazama Video👇
  19. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kama una dogo wa kike au kiume 18-25yrs, mpasie hii asome

    Yale ambayo baba yake alikuwa analalamika kuhusu mama yake 70%+ ni ukweli, wala alikuwa hamuonei mama yake. Mapenzi ni shirikisho la mifumo hisia yenye kuidanganya nafsi yako kuwa hisia uliyonayo ina nguvu kuliko akili yako thus inakupatia faraja na matumaini bandia. Tungi na shisha ni...
  20. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta mfanyakazi wa saloon ya kike

    Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu. Nahitaji mtu wa saloon ya kike, awe wa kike au wa kiume, kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti. Awe anaishi Dar Nipigie kwa simu 0674626208...
Back
Top Bottom