Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 355
- 702
Miaka kadhaa wakati nikiwa kijana kuna mambo ambayo kwa kweli yalinitatiza sana , rafiki yangu mmoja ambaye ni rafikk zangu sana alikuwa na kitabu nilikipenda sana kile kitabu
Nikamwomba kitabu hicho, kile kitabu nilisoma na kukimaliza kwa kweli kilinifanya kufikiri sana juu ya maisha yangu.
Kitabu kilikuwa cha kingeleza lakini mwandishi alitumia maisha ya kawaida sana na mifano ya jamii jinsi maisha ya ujana yanawez kuwa baraka au laana kwa kijana
Kitabu kile kilibadirisha maisha yangu kwa sehemu kubwa sana kwani kipindi kile nilikuwa na maisha ambayo kwa kweli hayakumpendeza Mungu
Mara baada ya kutafakari maisha yangu kwa kupitia mafundisho ya kile kitabu nilijikuta kidogo kidogo naachana na tabia zangu kwa sababu maneno ya kitabu kile yalikuwa yana kuja katika maisha yangu
Kitabu kile kilikuwa na uchanguzi unaofanvya kama kijana na matokeo yake. Kila nichokuwa nafanya nilikuwa naona ninachagua aina ya maisha ya watoto wangu
Chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna, neno ili lilitumika sana na wakati huo sikuwa najua nineno kutoka kwenye biblia kwa sababu nilikuwa mkristo wa jumapil
Kitabu kile kilibadilisha maisha yangu kabsa, hadi leo hata sikumbuka jina la kitabu ile yale yaliyoandikwa nayakumbuka sana.
Kwa sababu niliamua kuchagua aina ya maisha ambayo nilitamani siku moja watoto wangu waisha maisha ambayo mimi nilichagua.
Lengo la somo hili sio nikwambi kile kilichoandikwa kwenye kitabu hapana. Ni mambo ambayo Mungu alinifundisha kupitia miaka kadhaa ya kufanya kazi za huduma ya vijana pamoja na maisha ambayo nilipitia
Kitabu kinauwezo wakubadili maisha yako kabsa kama utaamua kuishi yale yaliyoko kwenye kitabu.
Kitabu kilibadirisha maisha yangu hadi leo napenda kusoma vitabu kwa sababu najua ndani ya kitabu kuna kiti ambacho kinaweza kunisaidis kwa namna moja au nyingine
Mungu amenipa kibali cha kuandika kitabu kwa jina, naomba kutumia nafasi hii kadri Mungu atakavyonisaidia kuandika angalau sura kadhaa nitaziweka hapa
Nikamwomba kitabu hicho, kile kitabu nilisoma na kukimaliza kwa kweli kilinifanya kufikiri sana juu ya maisha yangu.
Kitabu kilikuwa cha kingeleza lakini mwandishi alitumia maisha ya kawaida sana na mifano ya jamii jinsi maisha ya ujana yanawez kuwa baraka au laana kwa kijana
Kitabu kile kilibadirisha maisha yangu kwa sehemu kubwa sana kwani kipindi kile nilikuwa na maisha ambayo kwa kweli hayakumpendeza Mungu
Mara baada ya kutafakari maisha yangu kwa kupitia mafundisho ya kile kitabu nilijikuta kidogo kidogo naachana na tabia zangu kwa sababu maneno ya kitabu kile yalikuwa yana kuja katika maisha yangu
Kitabu kile kilikuwa na uchanguzi unaofanvya kama kijana na matokeo yake. Kila nichokuwa nafanya nilikuwa naona ninachagua aina ya maisha ya watoto wangu
Chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna, neno ili lilitumika sana na wakati huo sikuwa najua nineno kutoka kwenye biblia kwa sababu nilikuwa mkristo wa jumapil
Kitabu kile kilibadilisha maisha yangu kabsa, hadi leo hata sikumbuka jina la kitabu ile yale yaliyoandikwa nayakumbuka sana.
Kwa sababu niliamua kuchagua aina ya maisha ambayo nilitamani siku moja watoto wangu waisha maisha ambayo mimi nilichagua.
Lengo la somo hili sio nikwambi kile kilichoandikwa kwenye kitabu hapana. Ni mambo ambayo Mungu alinifundisha kupitia miaka kadhaa ya kufanya kazi za huduma ya vijana pamoja na maisha ambayo nilipitia
Kitabu kinauwezo wakubadili maisha yako kabsa kama utaamua kuishi yale yaliyoko kwenye kitabu.
Kitabu kilibadirisha maisha yangu hadi leo napenda kusoma vitabu kwa sababu najua ndani ya kitabu kuna kiti ambacho kinaweza kunisaidis kwa namna moja au nyingine
Mungu amenipa kibali cha kuandika kitabu kwa jina, naomba kutumia nafasi hii kadri Mungu atakavyonisaidia kuandika angalau sura kadhaa nitaziweka hapa