kigoma

Kigoma is a town and lake port in north western Tanzania, on the north eastern shores of Lake Tanganyika and close to the border with Burundi and The Democratic Republic of the Congo. It serves as the capital for the surrounding Kigoma Region and has a population of 135,234 (2007 census) and an elevation of 775 m.
The historic trading town of Ujiji is 6 km south-east of Kigoma.

View More On Wikipedia.org
  1. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Wafahamu wanaotajwa kuwania Ubunge Jimbo la Kakonko mkoa wa Kigoma kwa mwaka 2025 kupitia CCM

    Orodha ya makada wanaotajwa kuwania Ubunge Jimbo la Kakonko katika mkoa Kigoma ni ndefu sana. Jimbo hili kuanzia mwaka 2020 - 2025 lilikuwa likiongozwa na Mhe Aloyce Kamamba kutoka kata ya Gwarama. Mbali na Mbunge aliyeko madarakani na kutokana na shauku ya kila kada kutaka kuongoza Jimbo hili...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Balozi Simon Sirro ateuliwa kuwa RC wa Kigoma, Kenan Kihongosi kuwa RC wa Arusha. TRC yapata Mkurugenzi Mpya

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na mabadiliko ya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi waliohamishwa na walioteuliwa ni kama ifuatavyo: A: Uhamisho...
  3. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kuna Chama kipo Kigoma tu alafu kimekuja na slogan ya Oktoba Linda Kura. CCM wamewapelekea IGP Mstaafu kuwa Mkuu wa Mkoa. Aibu yao!!

    Wakati Chadema inapambana na kampeni No Reforms No Election kwa faida ya Taifa na Wananchi wote, kuna wanasiasa wachache kwa tamaa ya fedha waliingia kwenye mitego ya CCM ili kuhujumu kampeni hii. Walichosahau hawa wanasiasa maslahi/ madalali ni kuwa CCM ni kama vampire ambaye damu kwake ni...
  4. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Florence Samizi Ashiriki Mapokezi ya Mwenyekiti Kawaida Kigoma

    DKT. FLORENCE SAMIZI ASHIRIKI MAPOKEZI YA MWENYEKITI KAWAIDA KIGOMA Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoa wa Kigoma, Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameshiriki mapokezi na ziara ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ambaye amepokelewa...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigoma Ujiji hawajauelewa vema mfumo wa PEPMIS

    Serikali ilianzisha mfumo wa ESS UTUMISHI Kwa ajili ya kurahisisha utendaji serikali. Katika kipengele cha kupima utendaji wa mtumishi (PEPMIS), Wakuu wa idara Halmashauri ya Kigoma Ujiji hawajui chochote, hili limepelekea watumishi wa ngazi za chini alama zao kusoma 0% na huku mtumishi yeye...
  6. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania MSD yaanza usambazaji wa vyandarua mkoani Kigoma

    Baada ya kuanza zoezi la usambazaji wa vyandarua Mkoani Kigoma MSD leo imeendelea na usambazaji wa vyandarua hivyo huku leo hii ikikamilisha kusambaza kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma. Zoezi hilo linatarajia kuhamia Wilaya ya Kibondo na Kakonko. Hata...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baba Levo ajitosa Ubunge Kigoma, anajiweza kweli kuchuana na Zitto Kabwe?

    Aloooo, kweli uchawa unaenda kuharibu nchi, na kimasihara anaweza 'kumshinda' Zitto🤣🤣 kama jinsi wagombea 'walivyoshinda' viti 2020! Wana Kigoma tutawashangaa sana kura zikienda kwa chawa, itabudi tuingie kwenye rekodi ya Guiness ya kuwa wapumbavu wa Dunia! === Msanii na Mtangazaji maarufu...
  8. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wabunge wenye majimbo Mwambao wa Ziwa Tanganyika, wafanya ziara Bandarini Karema kukagua ujenzi wa meli nne za Mizigo

    Dkt Boniface Nobeji, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TPA. David Kihenzile, Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi MABORESHO na ujenzi wa miundombinu ya kisasa inayofanywa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imevutia wawekezaji katika Bandari ya Karema iliyopo...
  9. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hawa kama sio vijana wa shinyanga basi ni kigoma

    Unakuta kijiji kizima kina mtindo mmoja wa nguo haswa siku za sikukuu ndio utajionea maajabu
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Jeshi la Polisi lawakamata Wakimbizi 25 na kuwafikisha Mahakamani kwa tuhuma za kufanya vurugu

    Baada ya tukio lililotokea Aprili 29, 2025 ikielezwa kuna baadhi ya Wakimbizi walisababisha taharuki katika Kambi ya Nyarugusu Mkoani Kigoma kiasi cha kusababisha Jeshi la Polisi kuingilia na kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia, ufafanuzi umetolewa kuhusu tukio hilo Kama hukusoma kuhusu...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli watu wa kigoma wanaoongoza kusafiri kwao wakiwa wamebeba mikate mikubwa? Sababu ni zipi hasa?

    Wadau hamjamboni nyote? Je ni kweli watu wa kigoma wanaoongoza kusafiri kwao wakiwa wamebeba mikate mikubwa? Sababu ni zipi hasa? Ni tetesi tunaomba uthibitisho
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kigoma Tumesahaulika? Mwananchi alia kukosa msaada wa Serikali kwa Wahanga

    Nashindwa kuelewa Kigoma tuna bahati mbaya gani kwa sababu Tanzania nzima serikali imewasaidia wahanga wote lakini Kigoma hatujasaidiwa, tunaomba tu Serikali itusaidie na sisi" - Mwananchi.
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka mingi watu wengi tulidhani Mikka Mwamba ni jamaa fulani jeusi la Kigoma kumbe jamaa ni chapa ya Trump kabisa

    Wakongwe tulimjua tangu awali ila hadi sasa watu wengi ukiwaambia kwamba mwamba ni mzungu wana bisha kabisa
  14. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Serikali inaendelea na ukarabati wa meli ya mafuta ya MT Sangara mkoani Kigoma kwa gharama ya Dola za Marekani milioni 3.60

    Serikali inaendelea na ukarabati wa meli ya mafuta ya MT Sangara mkoani Kigoma kwa gharama ya Dola za Marekani milioni 3.60 ambao umefikia asilimia 98. Mradi huu utakapokamilika utawezesha kubeba shehena ya mafuta kiasi cha lita 410,000.
  15. L

    JamiiForums Tanzania Mtu mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Kigoma kwa tuhuma za mauaji ya Martin Runaku Mpemba aleyekuwa Diwani wa CCM

    Ndugu zangu Watanzania, Tanzania ni Kubwa sana kama hutafutwi na Jeshi la Polisi na wewe ni mtu Mwema. Lakini kama ukiingia kwenye 18 za jeshi la polisi kwa vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa sheria pamoja na kufanya jinai . Huwezi ukaukimbia Mkono wa Serikali. Hakuna mahali utakimbilia na...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia awagusa watoto wenye mahitaji maalum kwa msaada wa vyakula Kigoma

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewagusa watoto katika vito vya kulea watoto wenye mahitaji maalum na wanaoishi katika Mazingira magumu Mkoani Kigoma kwa kugawa Sadaka ya vyakula ikiwemo mbuzi, mchele, mafuta ya kupikia, unga, sabuni za kuogea na kufulia pamoja...
  17. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kigoma: CCM yawatembeza mabalozi mia sita wa serikali za mitaa kukagua miradi ya maendeleo

    Karibu mabalozi mia sita wa Chama cha Mapinduzi CCM katika manispaa ya kigoma Ujiji wametembelea miradi mikubwa inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita katika mji wa Kigoma ili kujionea maendeleo ya miradi hiyo. Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Kigoma Cde. Christopher Palangyo...
  18. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 DAS Mtewele awataka wananchi wa Kasulu kuvitunza vyanzo vya maji

    Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Theresia Mtewele, amewataka Wananchi wa Wilaya hiyo kutunza mazingira ya vyanzo vya Maji ili kuendelea kupata Maji safi na salama. Mtewele amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa kinara wa kuhakikisha miradi mbalimbali ya Maji inatekelezwa...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Vijana Zaidi ya 30 wa Kikundi cha Urithi Wetu waanza safari kutoka Kigoma hadi Kizimkazi, Zanzibar, kuhamasisha upandaji miti

    Vijana zaidi ya 30 wa kikundi cha Urithi Wetu PTP2 wameanza safari ya kipekee kutoka Kigoma hadi Kizimkazi, Zanzibar, kwa lengo la kuhamasisha upandaji miti na kudumisha urithi wa kipekee wa Tanzania. Wakiwa chini ya uongozi wa Mwalimu Philip John Ally, Mkurugenzi wa shirika la kijamii APHI...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Serikali imetoa trilioni moja kutekeleza mradi wa SGR LOT NO 6 ya kutoka Tabora - Kigoma mpaka Msongati nchini Burundi

    Zaidi ya shilingi trilioni moja imetolewa na Serikali kutekeleza mradi wa reli ya kisasa SGR LOT NO 6 ya kutoka Tabora kwenda mkoani Kigoma mpaka Msongati nchini Burundi mradi ambao kwa sasa uko katika hatua za awali ukiwa umefika asilimia 7. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani kigoma...
Back
Top Bottom