kigoma

Kigoma is a town and lake port in north western Tanzania, on the north eastern shores of Lake Tanganyika and close to the border with Burundi and The Democratic Republic of the Congo. It serves as the capital for the surrounding Kigoma Region and has a population of 135,234 (2007 census) and an elevation of 775 m.
The historic trading town of Ujiji is 6 km south-east of Kigoma.

View More On Wikipedia.org
  1. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kigoma: Serikali kupitia mradi wa SEQUIP yatoa Shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule mpya mbili za sekondari

    Serikali Kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) imetoa kiasi cha zaidi ya Shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya ujenzi wa shule mpya mbili za sekondari zitakazorahisisha upatikanaji wa huduma za elimu mkoani Kigoma. Shule hizo ni pamoja na Shule ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Unajenga bandari ya Nyamirembe kwa bil 4 ili itumike kupeleka mizigo Drc huku unajenga Sgr mpaka Kigoma

    Nimeshangaa sana mtia nia mmoja huko Chato anajinasibu juu ya hii plan. Eti mizigo ya kwenda Burundi, Drc na Afrika ya kati ipitie Chato kwenye bandari ya Nyamirembe kupitia Mwanza kwa njia ya treni. Sasa huyu mtia nia mbona hajitambui? Nini maana ya kujenga Sgr mpaka Kigoma? Hizi ni siasa gani?
  3. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Burj Al Kigoma

    Jengo Makini na la Kisasa litajengwa maeneo ya Kasulu.
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania RC Sirro amewaonya wenye nia yakutenda uhalifu mkoa wa Kigoma

    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma IGP(Mst.) Mhe. Balozi Simon Sirro ametoa onyo dhidi ya wenyenia ya kutenda uhalifu mkoani humo na kusisitiza kuwa Jeshi la Polisi lipo imara na halitosita kuchukua hatua dhidi ya yeyote atakayebainika kushiriki vitendo hivyo. Soma, pia: UTEUZI: Balozi Simon Sirro ateuliwa...
  5. technically

    JamiiForums Tanzania Kigoma inaongoza kwa kuwa na wanasiasa matapeli

    Zitto, Masele,Tumbuli nk ongezea Why always kigoma?
  6. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Kigoma imebarikiwa kuongozwa na IGP & Balozi (Mstaafu)

    Hakika wana-Kigoma tunajisikia fahari sana kupata bahati ya Kiongozi Makini na mwenye uzoefu wa kutosha katika medani za usalama na Diplomasia (Kimataifa). NB: Kigoma hatuna deni. Lucas Mwashambwa Pascal Mayalla
  7. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Kigoma Airport yang'ara duniani

    Uwanja wa Ndege Kigoma umetajwa kama Uwanja Bora kabisa duniani kwa miundombinu Rafiki kwa watu wenye mahitaji Maalum. KIGOMA HATUNA DENI
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kipya Cha CEMENT kigoma chaanza kuuza cement kwa Tanzania na nje ya nchi congo,burud

    Mnahabar kiwanda cha cement aina ya qilin kigoma kimeanza kuuza cement Yale nje ya nchi nandani ya Nchi Sasa kuipa wakat ngumu dangote ukanda wa ziwa,magharibi
  9. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake muwe na huruma aisee, imagine jamaa anatoka na mwanamke mkoani Kigoma vijijini ndani ndani anaenda nae mjini Dar es salaam

    Wanawake muwe na huruma aisee, imagine jamaa anatoka na mwanamke mkoani Kigoma vijijini ndani ndani anaenda nae mjini Dar es salaam, anapambana kufa kupona familia ile ishibe na bills zote zilipwe, then mwanamke baada ya kutakata, kupendeza na kuwa mrembo wahuni wanaanza kumvizia, na yeye alivyo...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wagombea 174 wamechukua fomu za ubunge Kigoma

    Chama cha Minduzi CCM mkoani Kigoma Kupitia kwa Katibu Mwenezi Deogratius Nsokolo,kimetoa orodha ya wagombea waliojitokeza kugombea ubunge na udiwani kupitia chama hicho, siku moja baada ya kufunga zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ili kuanza mchakato mwingine wa kutafuta wagombea watatu...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dorothy Semu: ACT tunashiriki uchaguzi mkuu 2025 na tutashinda kwa kishindo

    https://www.youtube.com/live/Eoix7OkgELE Updates Tunataka kuona Polisi, usalama wa taifa, jeshi wakitimiza majukumu yao, na sio kutumika kama mbeleko ya kuibeba CCM ili wapate ushindi. Katika uchaguzi wa serikali za mitaa tunao ushahidi wa kutosha askari polisi alikutwa na rundo la kura...
  12. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 MNEC Kigoma, Nsokolo afunguka kuhusu wasanii na watu maarufu kugombea nafasi CCM

    Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Kigoma Deogratius Nsokolo akizungumza kuhusu suala la wasanii na watu maarufu kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kupitia Chama hicho.
  13. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 'Operesheni Majimaji' ya ACT Wazalendo kufika Kigoma

    Naibu katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo akiwa pamoja na timu ya wanachama wa ACT jana kuelekea Kigoma ziara ya Operesheni majimaji iliyozinduliwa jumapili Juni 29,2025 Operesheni majimaji imepangwa kufanyika nchi nzima ikiwa ni kuanzia Julai 1 hadi Julai 15, 2025 ikilenga kuwaamsha...
  14. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe simuoni akitoboa Kigoma na itakuwa ndio mwisho kabisa wa siasa zake. Kamanda Silo lazima alipe fadhili.

    Kamanda Silo lazima alipe fadhili kwa alioe .teua na hapo ndio pagumu kwa Zitto Kabwe. Simuoni akitoboa Kigoma na itakuwa ndio mwisho kabisa wa siasa zake, atakuwa na optional moja tu, ya kuwa kama Mrema. Hata wale wenzake wa ACT sioni Jimbo la wao kushinda labda kule Pemba.
  15. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Kigoma yawaasa vijana kujitosa mbio za ubunge na udiwani

    Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Kigoma, kimesema zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea Ubunge na Udiwani zitaanza kutolewa Juni 28, 2025, huku wenye umri kuanzia miaka 21 na kuendelea wakitakiwa kujitokeza na kuchukua fomu za kugombea nafasi hizo muhimu, kwa kuwa ni haki yao.
  16. A

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa KIigoma ni wilaya gani yenye baridi kwa mwaka mzima

    Wenyeji wa KIGOMA naombeni kufahamishwa maeneo yenye hali ya hewa ya ubaridi kwa mwaka mzima Ili nikaishi huko Lengo langu ni kuwekeza kwenye kilimo kuanzia heka 100 na zaidi,eneo liwe Lina ardhi yenye rutuba kwa kilimo Cha parachichi,ufugaji n k Pia maeneo yanayouzwa mashamba na sifa zake za...
  17. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Wafahamu wanaotajwa kuwania Ubunge Jimbo la Kakonko mkoa wa Kigoma kwa mwaka 2025 kupitia CCM

    Orodha ya makada wanaotajwa kuwania Ubunge Jimbo la Kakonko katika mkoa Kigoma ni ndefu sana. Jimbo hili kuanzia mwaka 2020 - 2025 lilikuwa likiongozwa na Mhe Aloyce Kamamba kutoka kata ya Gwarama. Mbali na Mbunge aliyeko madarakani na kutokana na shauku ya kila kada kutaka kuongoza Jimbo hili...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Balozi Simon Sirro ateuliwa kuwa RC wa Kigoma, Kenan Kihongosi kuwa RC wa Arusha. TRC yapata Mkurugenzi Mpya

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na mabadiliko ya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi waliohamishwa na walioteuliwa ni kama ifuatavyo: A: Uhamisho...
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kuna Chama kipo Kigoma tu alafu kimekuja na slogan ya Oktoba Linda Kura. CCM wamewapelekea IGP Mstaafu kuwa Mkuu wa Mkoa. Aibu yao!!

    Wakati Chadema inapambana na kampeni No Reforms No Election kwa faida ya Taifa na Wananchi wote, kuna wanasiasa wachache kwa tamaa ya fedha waliingia kwenye mitego ya CCM ili kuhujumu kampeni hii. Walichosahau hawa wanasiasa maslahi/ madalali ni kuwa CCM ni kama vampire ambaye damu kwake ni...
  20. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Florence Samizi Ashiriki Mapokezi ya Mwenyekiti Kawaida Kigoma

    DKT. FLORENCE SAMIZI ASHIRIKI MAPOKEZI YA MWENYEKITI KAWAIDA KIGOMA Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoa wa Kigoma, Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameshiriki mapokezi na ziara ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ambaye amepokelewa...
Back
Top Bottom