Ukweli usiopenda kusema, pasipo kifo cha magufuli hakuna mzanzibari angetawala Tanganyika, hata ilimbidi awaue kwanza.

Ukweli usiopenda kusema, pasipo kifo cha magufuli hakuna mzanzibari angetawala Tanganyika, hata ilimbidi awaue kwanza.

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
6,167
Reaction score
11,374
Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina.

GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji yaliyofanywa na VYOMBO VYA ulinzi siku ya mauaji,

GHAFLA naiona hotuba ya chande huyu kwakweli Rangi yake ya uso inanichanganya sana namwisi ni sawa na magabachori ILA Nafasi inagoma.

Hitimisho la tafakari yangu ni kuwa pasipo kifo cha magufuli kwa siasa za BARA hakuna mzanzibari angesema nywanywa au nywinywi eti atutawale kamwe, na ili afanikiwe alitakiwa kutuulia watoto wetu kama alivyofanya.

JE 2030 itakuwaje?
 
Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina.

GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji yaliyofanywa na VYOMBO VYA ulinzi siku ya mauaji,

GHAFLA naiona hotuba ya chande huyu kwakweli Rangi yake ya uso inanichanganya sana namwisi ni sawa na magabachori ILA Nafasi inagoma.

Hitimisho la tafakari yangu ni kuwa pasipo kifo cha magufuli kwa siasa za BARA hakuna mzanzibari angesema nywanywa au nywinywi eti atutawale kamwe, na ili afanikiwe alitakiwa kutuulia watoto wetu kama alivyofanya.

JE 2030 itakuwaje?
Kwa ukatili na figisu zake huyo mama, labda aamue kutoka mwenyewe tu
 
Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina.

GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji yaliyofanywa na VYOMBO VYA ulinzi siku ya mauaji,

GHAFLA naiona hotuba ya chande huyu kwakweli Rangi yake ya uso inanichanganya sana namwisi ni sawa na magabachori ILA Nafasi inagoma.

Hitimisho la tafakari yangu ni kuwa pasipo kifo cha magufuli kwa siasa za BARA hakuna mzanzibari angesema nywanywa au nywinywi eti atutawale kamwe, na ili afanikiwe alitakiwa kutuulia watoto wetu kama alivyofanya.

JE 2030 itakuwaje?
Kuna alimuelewa punga huyu ambaye pia ni nyumbu la lissu?!!!
 
Ila Dr Samia Suluhu Hassan, a.k.a The Mother of Modern Tanzania, anawapeleka puta nyumbu si mchezo. Huwa nafurahi sana😄😄😄
 
Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina.

GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji yaliyofanywa na VYOMBO VYA ulinzi siku ya mauaji,

GHAFLA naiona hotuba ya chande huyu kwakweli Rangi yake ya uso inanichanganya sana namwisi ni sawa na magabachori ILA Nafasi inagoma.

Hitimisho la tafakari yangu ni kuwa pasipo kifo cha magufuli kwa siasa za BARA hakuna mzanzibari angesema nywanywa au nywinywi eti atutawale kamwe, na ili afanikiwe alitakiwa kutuulia watoto wetu kama alivyofanya.

JE 2030 itakuwaje?
Sema fazafaka wa Kizimkazi kamwe asingekuwa Rais. Hayo mengine ni debatable. Kama ilitokea Mwinyi, Senior akawa Rais, ipo chance (albeit small) ya kutokea Mzanzibar mwingine kuwa Rais!
 
Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina.

GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji yaliyofanywa na VYOMBO VYA ulinzi siku ya mauaji,

GHAFLA naiona hotuba ya chande huyu kwakweli Rangi yake ya uso inanichanganya sana namwisi ni sawa na magabachori ILA Nafasi inagoma.

Hitimisho la tafakari yangu ni kuwa pasipo kifo cha magufuli kwa siasa za BARA hakuna mzanzibari angesema nywanywa au nywinywi eti atutawale kamwe, na ili afanikiwe alitakiwa kutuulia watoto wetu kama alivyofanya.

JE 2030 itakuwaje?

Mimi namwona kikwete akiwatangazia wana CCM kumteuwa Mama kuwa mgombea pekee wa Uraisi kwa Tanganyika iliyopewa jina Tanzania , na Mtanganyika wa MKURANGA alieuwa watu Zanzibar 2020 kuwa mgombea tena wa uraisi Zanzibar.

Umati wa Watanganyika ukalipuka kwa furaha na vigelegele huku wakiimba nyimbo kuunga mkono uteuzi
 
Back
Top Bottom