kidogo

The Old Kerosene Store is located at Bathers Beach in Fremantle, Western Australia, adjacent to the ruins of the original Fremantle Long Jetty. It is a single-storey limestone building and forms part of the historic Arthur Head Reserve precinct.

View More On Wikipedia.org
  1. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Usiogope! Unaweza Kujenga na Kumiliki Kiwanda Kidogo cha Kusafisha Mafuta Ghafi Tanga (Oil Refinery Tanga)

    Ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta (Oil Refinery) mkoani Tanga si ndoto tena, bali ni fursa halisi ya uwekezaji wa kimkakati inayo kusubiri. Uwepo wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki EACOP kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga ndio kichocheo kikuu kitakachopunguza gharama za...
  2. Maleven

    JamiiForums Tanzania Mwanaume unatakiwa kua na kifua kikubwa, na tumbo na kiuno kidogo

    kwa kichwa cha habari hicho, vijana wadogo watawaza physically na watu wazima watawaza Abstractly . Vyote vina mantik
  3. SuperHb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KUNA KIMFUKO KIDOGO CHA KARATASI NIMEKIKITA KWENYE MKOBA WA MKE WANGU

    Habari zenu? Kuna kitu kimenipa mashaka,,nilikuwa napanga vitu ndani, ghafla MKOBA WA MKE WANGU ukawa umedondoka,,Kuna KIMFUKO Cha nailoni kulikuwa kimefungwa fundo kilitoka kwenye MKOBA wake,, kiukweli kimenipa Wasiwasi,,,nilikifungua ndani yake Kuna kama unga unga hivi wa kahawia, kiukweli...
  4. bosy

    JamiiForums Tanzania Chonga furniture ya ndoto yako na KIJIJI DESIGN na ulipe kidogo kidogo

    Sasa unaweza kuchonga furniture ya ndoto yako na ulipie kidogo kidogo kupitia group letu la M KOBA. Tunapatikana Arusha, Unga Ltd, Milano INN KWa maelezo zaidi au unataka kujiunga na program ya kulipa kidogo kidogo wasiliana nasi: 0652 278 840 Tunatuma: Dar, Moshi, Babati, Mirerani, Singida...
  5. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa usingizi nikaona nijisomee kidogo na kuwaza

    Kwa Nini SoMo la bible knowledge liwe kiingereza na dini ya kiislamu liwe kiswahili!? Kwa nni yote yasiwe kiswahili ili kuweka usawa!? Ukiangalia hili SoMo sio gumu sana ila kwa sababu ya lugha linakuwa gumu na kuzuia watoto wengi wa kikristo kulisoma mashuleni huku lile la kiislamu kutokana na...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania TUNAO FUNGA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI NA KWARESMA, TAFADHALINI SANA TUWE WASTAARABU KIDOGO NA VINYWA VYETU.

    Ni kweli miongoni mwa sharti moja wapo muhimu sana katika kufunga ni kujinyima na kujizuia kula na kunywa chochote kwa kipindi cha muda fulani, huku kile tulichojinyima na kukizoea kukutumia tunawasitiri nacho wahitaji wasio jiweza. Ila ndugu zangu midomo na vinywa vya baadhi ya tunao funga...
  7. D

    JamiiForums Tanzania TIGANA LUKINJA WA TVE: Mbona kama "mfumo" unamuweka mbali huyu genius wa soccer?? Anaweza akaipeleka Tanzania mbali kidogo..

    Huyu jamaa yupo poa sana, na kama ana changamoto basi ni za kibinadamu tu, ninahisi anaweza akalisogeza mbele kidogo soccer la Tanzania..
  8. Wagumu Tunadumu

    JamiiForums Tanzania Tucheke kidogo na haya maisha ya ukimani.

    …mji wa saba nchini Brazil 🇧🇷, Manaus, ulipoishia, kuupisha msitu wa Amazon… Wenzenu wanaheshimu misitu yao… Sio Ukimani, mnaojenga ovyo ovyo tu… Siku moja nipo Mikumi, nikasema wacha nipige misele kidogo… Nikaenda nafuatilia makazi ya watu… Bila kujua, nikajikuta tayari nipo mbugani…...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Arumeru-Arusha: Mvua kidogo tu umeme umekata, what's this?

    Kuanzia saa 11 unusu jioni hii imepita mvua kidogo tu Arumeru-Arusha umeme umekata, jamani hii miundombinu imejengwa na nini? Hii ni aibu! Kwa hiyo gizani mtindo moja
  10. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Leo tutoke Out kidogo

    Hellow Leo hatupiki leo tunatoka out kidogo kusafisha macho Kwanza nilianzia kanisani kubugujika kidogo baada ya hapo nikawa nawaza kichwa kizito so niende sehemu ya karibu na hapa nikaona ni cape town sehemu yangu pendwa Nikawa natuliza akili mm situmii pombe kabisa nikaagiza moctail...
  11. Jobless_Billionaire

    JamiiForums Tanzania Freestyler Cado Kitengo yuko vizuri, ila arekebishe vitu kidogo

    Kwemaaaaaaaaa... Sauti ni kubwa japo nina swaumu Kwa wapenzi wa hip hop, upande wa freestyles nadhani wengi wenu jina la Cado Kitengo, Cado nondo, Mzee wa Midamu au Mzee wa AYEEEEEE... nadhani hili jina sio geni kwa wengi wenu. Nilianza kumfahamu rasmi nadhani ni 2017 kama sikosei katika...
  12. THE BEEKEEPER

    JamiiForums Tanzania Tupeni simulizi kidogo kuhusu hiki kitabu

  13. hp4510

    JamiiForums Tanzania PICHA: TBL Naomba Ufafanuzi Kidogo

    TBL naomba Ufafanuzi wa hizi bia mbili hapo kwenye picha Moja imejaa mpaka juu na nyingine haijajaaa Na hata Lebo na vizibo ni tofauti Swali ni je kuna fake na original Kati ya hizi bia?
  14. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali: Nitumie njia gani kumsaidia Mtoto wangu ambaye ni mzito kidogo kuelewa Shuleni (Slow learner)?

    Mtoto wangu sio Mjinga ila ana changamoto tu ya kuwa 'Slow' kwenye kuelewa Masomo yake jambo ambalo kidogo linaleta changamoto kwenye Ufaulu wake na kwasasa inamfanya ajisikie vibaya pia kwani anajiona kuwa tofauti na wenzake Msaada nifanyeje hapa jamani ili kumsaidia mwanangu (yupo Shule ya...
  15. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake punguzeni kidogo kutumia sura bandia, mnatumia sana chujio (filtering)

    Wiki mbili zilizopita nilihudhuria semina fulani ya masuala ya Kitalaamu (Profession). Basi nikapata fursa ya kuonana na watalaamu wenzangu ambao baadhi tulikuwa nao kwenye magroup ya WhatsApp Kitu nilichokiona wanawake wengi wao zile sura za kwenye WhatsApp profile hazikuwa halisi. Wengi...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini kada ya ualimu inapewa mshahara kidogo?

    Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada, hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
  17. X

    JamiiForums Tanzania Usaliti wanaopitia Ukraine na Ulaya kutoka kwa Marekani, kihistoria ni kawaida ya Marekani. Sio taifa la kuliamini kwa 100% Tujikumbushe kidogo

    Jinsi ambavyo ghafla Marekani imembadilikia Ukraine na kutafuta suluhu na Russia hii inatukumbusha matukio matatu makubwa jinsi Marekani anavyoweza kubadilika kama kinyonga na kutokuunga mkono. Kabla ya WW2 Marekani ilikuwa ikiunga mkono Ujerumani. Wakati wa WW2, Marekani iliunga mkono USSR...
  18. Peter Dafi

    JamiiForums Tanzania Twaha Mwaipaya acha nikusaidie kidogo

    TWAHA MWAIPAYA ACHA NIKUSAIDIE KIDOGO. Na. Peter Dafi. Bukene, Nzega, Tabora. Ulipokuwa Wilaya ya Igunga Mkoa wa Tabora Ulisema Pesa za Kufa na Kuzikana za Jeshi la Polisi Zimeliwa na CCM. Huo ni Uwongo na Acha Nikujuze kuwa Hakuna Mkono wa CCM au Mwana CCM umeshika Pesa za Jeshi la Police...
  19. ngara23

    JamiiForums Tanzania Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

    Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya 1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize, Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe. Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike. Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata...
  20. majam19

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana jifunze kutambua nyakati 4 muhimu katka mahusiano

    Leo nimeona valentine isiwe kinyonge sana Kwa sisi vijana nmekuja na kitu kinaitwa timing Kijana jua neno timing ambalo uhusiano wake na time Timing ya jambo Fulani ili ulifanikishe ni lazma ulifanye ndani mda sahihi hapa namaanisha (time) Kwahyo majaribu kuhusianisha maneno haya jinsi...
Back
Top Bottom