Kibaha is a city, with a population of 128,488 (2012 census), located in eastern Tanzania. It is the capital of Pwani Region. It is located in Kibaha District, one of the six districts of Pwani Region.
Route mpya ya Mbezi hadi Kidimu Mkombozi Kibaha imeanza. Hatimae Latra wameikumbuka Kibaha na kuanzisha route mpya inayotoka Mbezi Luis hadi Kidimu Mkombozi kupitia Loliondo imeshaanza. Wakazi wa Kibaha kwa sasa watapata unafuu wa usafiri kuelekea mjini, pia mji utaendelea kukua kwa kasi. Latra...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Wakuu Mimi Nipo kibaha mjini kikazi anaejua viwanja vya Bata maeneo haya ambapo Kuna watoto wakali ni sehemu Gani wazee nataka niibuke Leo nikale Bata mpaka kuku waone wivu tupunguze machungu kidogo
Kwa research waliyoifanya June mwaka 2025, wamesema 36% yamagari yanayotumia iko kipande ni maroli ya mizigo.
Pia, wastani wa magari elfu 29 yanapita kila siku hii njia, na kati yake 9,700+ ni maroli ambayo ni karibia 36%.
Hayo yote yamesemwa na TANROADS Coast Regional Manager, Engineer...
Kiwanja kina ukubwa robo eka.
Kipo kibaha visiga.
Umbali Mita 300 kutoka morogoro road.
Unatembea kwa miguu kidogo unaingia ndani.
Bei milioni 9.
0678908743
Ofa ya Viwanja Kibaha Kwa Mathias Kidenge B
Vipo vya umbali wa km 4-kutoka kituo cha Mathias Lami
Vipo vya Km km 6-Kutoka lami
Nipazuri sana na huduma zote za kijamii zimefika
Bei Ukubwa kuanzia:
*million 2 ukubwa 16×13
*Milion 2.5 ukubwa 15×16
*Milion 3 ukubwa 15x19
*Milion...
Nyumba ipo kibaha visiga madafu.
Nyumba Ina vyumba 5 vya kulala,viwili master bedroom.
Nyumba Ina mabanda makubwa ya kuku,ya mbuzi na ng'ombe.
Ina nyumba ya wafanyakazi.
Kuna kisima kikubwa Cha maji,na maji dawasco pia yapo.
Ukubwa wa eneo eka Moja.
Kuna fence.
Ina hati ya wizara(title deed)...
Ni takribani mwezi mmoja sasa maeneo mengi ya Kibaha MailiMoja kuna changamoto kubwa ya maji na majibu ya Mamlaka ya Maji yamekuwa ya kuungaunga.
Awali walitoa taarifa kuwa maji yatakoseka kwa siku chache takribani tatu hadi nne kutokana na maboresho ya mitambo yam aji, lakini ilipita wiki...
Vijana wa Mji wa Kibaha Mkoani Pwani wamesema watatimiza haki yao ya kupiga kura kwa kujitokeza kwenye Vituo vya kupigia kura Oktoba 29 mwaka huu.
Aidha, wameeleza kuwa Vyama vya upinzani haviwezi kushika madaraka kwa vina migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na tamaa ya kushika dola.
Hamjambo tafadhali? Msaada tafadhali.
1. Shule ya Kibaha Sekondari (boys, ile special) ipo mtaa gani, kata gani na tarafa gani?!!!
2. Chuo Cha st. John, tawi la st marks (pale buguruni malapa) kipo mtaa gani, kata gani na tarafa gani wakuu?!!!
Mgombea Ubunge wa jimbo la Kibaha vijijini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Abuu Jumaa amesema, mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni Rais aliyeletwa na Mwenyezi Mungu akieleza kuwa hilo linathibitishwa na namna alivyofanya...
Ahadi ya mgombea ubunge jimbo la Kibamba @angellah_kairuki kuhusu kurekebisha miundombinu ya jimbo hilo, baadhi ya barabara zikijengwa kwa kiwango cha lami
2.5 ACRE PROPERTY ON THE MAIN ROAD IN KIBAHA FOR SALE
facing Morogoro Rd in Kibaha kwa Mathias.
measures 10921sqm.
suitable for commercial or industrial development.
clean title deed.
SELLING PRICE TZS 1.7 BILLION NEGOTIABLE
For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A...
Wakuu nipo safarini napita njia hii morogoro road kutoka kibaha mpaka Ruvu darajani hapaeleweki na hili sio leo imekuwa sugu wenye mamlaka mtuambie shida ni nini?
Hata mkituambia ni wingi wa malori bado siwezi kuamini kama ni kweli Trafic kila baada ya hatua kumi wanafanya nini wananchi...
Muda mrefu sasa tunatumia maji machafu, tulijua labda ni changamoto ya muda mfupi tu. Sasa tunaona imeshakuwa mazoea.
DAWASA Kibaha, ndio kusema mumeamua rasmi kutuuzia wananchi maji machafu?
Hivi haya maji ndio maji ya kutuuzia Watanganyika kweli?
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Habari za muda huu wana JF,
Hii wiki nimetua mjini Dar Salaam kulikua na plot niliacha muda mrefu inashugulikiwa hati. Na kuna mtu kutoka halmashauri nilikuwa nawasiliana nae akaniambia hati ilishatoka kitambo, maana mchakato ulianza since 2022 huko.
Nikasema kwa kuwa nipo mjini acha nipate...
VIWANJA VINAUZWA
Kibaha Kwa Mathiasi Nyumbu Jeshini 20x20 Milion 7
Kibaha Maili Moja Mwanalugali 20x20 Ml 7
Kiluvya Kwa Komba 20x20 MLN 16
Kibamba Kibwegere Kwa Kinega 20x20
Milion 7
Kiluvya Madukani Vya Km 3-5 Milion 8
Karibuni Wadau wa Ujenzi
0775 179905
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.