kibaha

Kibaha is a city, with a population of 128,488 (2012 census), located in eastern Tanzania. It is the capital of Pwani Region. It is located in Kibaha District, one of the six districts of Pwani Region.

View More On Wikipedia.org
  1. Q

    JamiiForums Tanzania Nauza eneo lililo chimbwa mchanga.. ukubwa heka moja misugusugu kibaha

    Eneo lipo nyuma ya kiwanda cha Lake steel misugusugu.. limechimbwa mchanga Ni Zuri Kwa ufugaji.. au kulisawazisha Na kuweza kukata viwanja.. karibun
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Nina uza eneo lililo chimbwa mchanga.. ukubwa WA hekari moja. Misugusugu kibaha. Pwanu

    Eneo Ni heka moja.. nyuma ya kiwanda cha Lake steel misugusugu kibaha. Lina hati Kwa majina yangu.. bei Ni tsh million Tano maongezi yapo. 0759960687.. karibuni
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Watuhumiwa 10 wa uhalifu wakamatwa Kibaha Pwani

    Jeshi la Polisi Tanzania lipo kwa mujibu wa sheria mama yaani Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 147. Moja ya majukumu yake kwa mujibu wa sheria mbalimbali ikiwemo Sheria ya Polisi na Polisi Wasaidizi sura ya 322 kifungu cha 5 (1) ni Kulinda maisha ya watu na mali zao pamoja na...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi: Tumewakamata Watu 10 Kibaha wakiwa wanaandaa njama za Uhalifu

    Jeshi la Polisi Tanzania lipo kwa mujibu wa sheria mama yaani Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 147. Moja ya majukumu yake kwa mujibu wa sheria mbalimbali ikiwemo Sheria ya Polisi na Polisi Wasaidizi sura ya 322 kifungu cha 5 (1) ni Kulinda maisha ya watu na mali zao pamoja na...
  5. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Wakuu mwezi Gani mzuri Kwa ujenzi Kibaha

    Nilikua nauliza mwezi Gani mzuri Kwa ujenzi kibaha ambapo Hali ya hewa huwa imetulia naombeni wenye uzoefu mnijuze
  6. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Cha 3M kibaha

    Naweza pata kiwanja Kwa shilingi 3M? Nakihitaji ASAP
  7. A

    JamiiForums Tanzania Wadau, nikiwa na milion 60 mbezi mwisho au kibaha baada ya mbezi naweza jenga nyumba yenye chumba n seble yenye vyumba nane,kiwanja bei pembeni

    Wadau, nikiwa na milion 60 mbezi mwisho au kibaha baada ya mbezi naweza jenga nyumba yenye chumba n seble yenye vyumba nane,kiwanja bei pembeni. Nisaidieni mawazo wakuu
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Kibaha Yapandisha Gharama za Vibali vya Sherehe Kuanzia Agosti 6

    Manispaa ya Kibaha imetangaza rasmi mabadiliko ya gharama za vibali kwa shughuli zote za sherehe na burudani zinazofanyika kwenye kumbi, ambapo kuanzia Agosti 6, 2025, wamiliki wa kumbi na waandaaji wa matukio watalazimika kulipia huduma mbalimbali kwa viwango vipya. Kwa mujibu wa tangazo...
  9. uberimae fidei

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mfipa

    Kiwanja kina ukubwa squire meter 400. Kipo Kibaha kwa Mfipa Milioni tatu na nusu. Km 2 kutoka Morogoro road
  10. uberimae fidei

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Eneo linauzwa kibaha visiga

    Eneo Lina ukubwa eka 1 Kibaha visiga madafu. Km 4 kutoka morogoro road. Milioni 9 Huduma zote za kijamii zipo karibu,umeme na maji.
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Kibaha, viongozi mkoa, wilaya wadaiwa kuchakachua majina ya walioteuliwa udiwani

    Hali si shwari katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha, baada ya watiania wa udiwani zaidi ya 10 kutoka hadharani na kuwalalamikia baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa mkoa wa Pwani na wilaya ya Kibaha, kuchakachua majina ya waliopitishwa na Kamati Kuu ya CCM ili kupigiwa kura na...
  12. radhiya

    JamiiForums Tanzania Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
  13. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu serikali inafanya sijui kama wanatumia akili kama hili la maegesho ya Magali makubwa Kibaha Misugusugu

    Yaani wamehamisha watu Kwa kuwalipa mabilioni huku wakijua kabisa magari makubwa hayatokua mengi sababu Kuna bandari kavu ya Kwala iliyopo Vigwaza Sasa najiuliza wakijenga huu mradi wa hayo maegesho watapaki kina nani maana magari yote yatakuwa yanaondokea Kwala Hili bado sijajua vizuri...
  14. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Kwa nini ni makosa Mzumbe, Ilboru, Kibaha, etc kuitwa shule ya vipaji maalumu?

    Wale ni makosa kuitwa vipaji maalumu KWA sababu wanafunzi ukipaji wao unapimwa KWA kizio kimoja cha kipaji ambacho ni Academic education. Hivi ni kuua vipaji vyao vingine KWA kushinda unawafanyisha mazoezi ya kupata A. Hata sisi wa kayumba tukipewa hayo mazingira Bora tunapata A. Hii...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Responded Mrejesho: Kero huduma ya majisafi Kibaha Pangani

    Habari JF Naomba mtafute ile post tulituma kupitia jukwaa la malalamiko / fichua uovu Hatimaye tunawashukuru DAWASA wameanza mchakato wa huduma ya maji Kibaha-Pangani Pia soma ~ Mradi wa Maji Kibaha-Pangani wenye thamani ya Tsh. Bilioni 9.8. uliosainiwa Mwaka 2023 waanza kutekelezwa
  16. radhiya

    JamiiForums Tanzania Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
  17. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Haraka kwa Mlio Kibaha tafadhali

    Nafika leo natoka Arusha ila nataka nije kulala Kibaha kwa siku 5. Nahitaji mwenye kufahamu Lodge nzuri safi standard kwa bei ya tsh 20,000 mpaka 30,000. Na nyingine ya 30,000 mpaka 50,000. Dereva wangu anataka yake isizidi tsh 30,000. Mi nataka isizidi 50,000. Iwe sehemu yenye parking ndani na...
  18. radhiya

    JamiiForums Tanzania Looking for a plot Industrial Plot at Kigamboni Kisarawe 2 and Kibaha

    Attention to Property Owners! On behalf of our client, we are looking for an Industrial Plot with following criterias: The use of the plot area should be industrial. Location: Kigamboni Kisarawe 2 and Kibaha only. Plot size: 20 acre's. Plot should be on main road or maximum of 500m inside from...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Msaada kufika hospital ya KIBAHA ya serikali

    Habari za Asubuhi Naomba anayefahamu namna ya kufika KIBAHA hospital. Ni hospital ya serikali na kwa maelezo machache pia Ina madaktari wazuri wa macho. Binafsi natokea Tabata Kinyerezi na mpaka muda huu nimeshaanza safari now nipo Malamba Mawili so Maelekezo yaanzie Mbezi Stand Naomba...
  20. musicarlito

    JamiiForums Tanzania Namtafuta Stephen Sheiza wa Kibaha

    Wasalaam Namtafuta rafiki yangu anaitwa Stephen Sheiza...mara ya mwisho kuwa pamoja ni baada ya kumaliza A level MOA Temboni Anaefahamu wapo alipo anijuze...kwao ni Kibaha ila sifahamu ni Kibaha maeneo gani Asanteni
Back
Top Bottom