Kesi ya Samia ICC imefikia wapi ?

Kesi ya Samia ICC imefikia wapi ?

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
11,091
Reaction score
13,671
Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi?
Wako wapi akina Polepole?

Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana?
Tanzania inaenda wapi?

Tunangoja kujua hatima ya unyama na ukatili na ushenzi huu.
 

Attachments

  • 1779291568671.png
    1779291568671.png
    1.3 MB · Views: 6
Gentleman,
calm down plz with your nonsense articles 🐒
Yeah. You too need to not only calm down but wise up. If you are a chawa, whatever that doesn't idolise and lionise Samuya is garbage. Nobody can change you. That is the nature of parasitic creatures.
 
Tunasubiri muswada uliowasilishwa huko State utakapopitishwa Ndio utaona washirika wa marekani wakijiinua sasa! Kuna watu wanaenda kula sanctions kama kina girishoni na wambura soon
Mabeberu hawa hawa wanaoshambulia Iran wamekuwa kimbilio lenu?..
 
Yeah. You too need to not only calm down but wise up. If you are a chawa, whatever that doesn't idolise and lionise Samuya is garbage. Nobody can change you. That is the nature of parasitic creatures.
ICC has nothing to do with nonsense allegations 🐒
 
Ni swala la muda lazima aende kulipia udhalimu alioufanya tarehe 29 na 30 Oktoba
Mlivyoingiza watu wakaja kupifa raia na polisi risasi ili msingizie serikali mlifikiri watu ni wajinga na wavuta bangi kama nyinyi? There is no hurry,mtafika mahakamani tu.
 
ICC has nothing to do with nonsense allegations 🐒
Yeah. For daydreamers and chawas, the ICC has nothing to do with 'nonsensical' allegations. Again, the truth is wherever there is smoke, there also is fire. You just wait and deceive yourself. It is hard for chawas and goons to see it coming. What a fool's paradise!
 
Mlivyoingiza watu wakaja kupifa raia na polisi risasi ili msingizie serikali mlifikiri watu ni wajinga na wavuta bangi kama nyinyi? There is no hurry,mtafika mahakamani tu.
Ni kweli. Kwa machawa, walioandamana, walioua na waliouawa ni mamluki. Samuya alisema watanzania wasingefanya hivyo. Tatizo ni kwamba waliozikwa wote ni watanzania. Serikali haikuonyesha hata maiti au mhalifu yeyote mamluki kama iilvyodai. Ni mataahira na wapumbavu wanaoweza kuamini kuwa serikali haikuhusika katika mauaji haya ya kikizimkazi.
 
Yeah. For daydreamers and chawas, the ICC has nothing to do with 'nonsensical' allegations. Again, the truth is wherever there is smoke, there also is fire. You just wait and deceive yourself. It is hard for chawas and goons to see it coming. What a fool's paradise!
gentleman,
icc can not be instructed or forced by Tanzania political bandits to do what they want.

do not waste your time for nothing 🐒
 
gentleman,
icc can not be instructed or forced by Tanzania political bandits to do what they want.

do not waste your time for nothing 🐒
Yeah. If what you are claiming adds up, why are you wasting your time trying to idiotically convince me to abandon my stance?
 
Back
Top Bottom