Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
President Uhuru Kenyatta is shown the conceptual model of the KNRR hospital on Tuesday, August 31. PSCU
President Uhuru Kenyatta on Tuesday, August 31, presided over the groundbreaking ceremony of the construction of the Kenya National Research and Referral Hospital (KNRRH) at the Kabete Army...
Tunakwenda kwa mwendo huu huu....
Kenya's sisal export earnings rose by 10.96 percent to Sh2.45 billion in the first half of this year compared to a similar period in 2020, buoyed by rebounding prices in key export markets.
Data by the Agriculture and Food Authority (AFA) shows export volumes...
Yaani tanzagiza huwa full vituko. hivi mbona hawa mabalozi wote hawawezi ishi hapo fishing village?? sasa ina maana baada ya kuwasilisha Hati zao, walirudi moja kwa moja hadi Nairobi.
cc MK254 Nairoberry KENPAULITE Tony254 Kafrican
The Ministry of Health launched the country's largest oxygen plant on Monday, August 30.
Stationed at the Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH), the oxygen plant will have a capacity to produce over 2,000 litres of oxygen per minute.
Speaking at the launch, Health Cabinet Secretary Mutahi...
Sh13.7 million private jet trip to Kenya
FRIDAY AUGUST 27 2021
Tourism Secretary Najib Balala (left) with guests at the Maasai Mara. PHOTO | POOL
The super-wealthy are seeking new travel experiences in Maasai Mara, Laikipia and Samburu, following an Emirates private jet deal, a trend that is...
Mombasa.
Wakati bado kukiwa na taharuki kutokana na tukio la mauaji ya watu watano wakiwemo askari polisi watatu lilitokea jirani na Ubalozi wa Ufaransa jijini Dar es Salaam, nchini Kenya vyombo vya usalama vinamshikilia raia wa Tanzania kwa tuhuma za ugaidi.
Mtanzania huyo ambaye mamlaka...
Kreni ya Kujengea jengo la ghorofa kwa ajili ya wanafunzi limeanguka na kuua watu 8. Wawili wakiwa raia wa kigeni na 6 wakiwa wakenya. Mkasa huo umetokea leo, ambapo wakati ujenzi ukiwa unaendelea, mara ghafla bin vuu, kreni ikaanza kuanguka huku ikiwa na mzigo na kuwaangukia watu waliokuwa...
Kenya’s political landscape uncertain ahead of 2022 elections
August 26, 2021 at 8:07 am
Ruto, Uhuru, Raila
With major constitutional changes suspended for now, and swirling new alliances taking shape, Kenya’s political scene is shrouded in uncertainty as the country eyes crucial elections...
Mama Samia ameamua kunyoosha kwa kwenda mbele, hataki hayo maisha ya uwoga uwoga, kazi zifanyike.......
Kenya and Tanzania have set December as the target time when the two neighbouring countries will have resolved most of the non-tariff barriers affecting cross-border trade.
The decision came...
Kenya imeponea shambulio lengine la kigaidi baada ya kikosi cha Anti-Terror ATPU kushika washukiwa wawili kabla ya kuingia kivukio vha Ferry pale likoni , Washukiwa hao wawili walikua ndani ya gari aina ya probox numbari ya usajili KCE 695U.
Tukio hilo la kushika hao washukiwa lilikua la...
Kunatisha lakini, ila binadamu walioko huko wanahitaji majani chai yetu, kikubwa sisi tutie ndani mkwanja......
====================================
The Taliban takeover of Afghanistan is yet to hit the export of tea to that country as most of the commodity is still accessing Kabul through the...
Wakuu nawasarimu..naomba ushauli wenu...nataka kuanza biashara ya asari kutoa tanzania kupeleka kenya,nasikia inalipa sana.sasa humu kuna watu wazoefu wa hizi biashara naomba mnishauli.
Thursday August 19 2021
Na Daniel Mjema
Vuguvugu la madai ya Katiba mpya limeanza kushika kasi, lakini katikati ya vuguvugu hilo kumejitokeza kundi ambalo linajaribu kuuaminisha umma kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeihitaji isipokuwa ni wanasiasa.
Kundi hilo limeamua kuvaa miwani myeusi...
Askofu Climate Wiseman mwenye asili ya Kenya amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuuza mafuta anayodai yanatibu COVID19
Askofu huyo anayeishi Uingereza anakabiliwa na Mashtaka ya udanganyifu na kufanya Biashara isiyo na usawa (fairness)
Hakimu wa Mahakama ya Lavender Hill ameshindwa kutoa...
Kenya imeshinda medali nyingi za Olympiki kushinda nchi yoyote ile hapa Afrika. Sisi ni watu wa kujituma. Lazyland tazameni wazee wa kuchapa kazi jinsi kazi inavyostahili kufanywa.
Michezo hii ya riadha ya dunia ya vijana wenye umri chini ya 20 itafanyika hapa Nairobi wiki ijayo. Kenya ndio nchi ya kwanza kuhost mashindano haya Afrika. Kenya pia ilikuwa nchi ya kwanza kuhost under 18 world athletics championships miaka michache iliyopita.
Hapa chini team kutoka Poland...
Imeripotiwa katika makala za Russia Today(RT) kuwa vijana wa #Kenya wanaamini kutembea na aliyewazidi umri kunatibu UKIMWI
Kwa kuwa sio wote wanaokubali kutembea nao, vijana huwabaka waliowazidi umri hasa wazee ambao wanakulikana kama 'Shushu'
Wazee hao wameanza kujifunza kupigana ili...
So sad though. Police wa Kenya wanamaliza wakenya kuliko Corona yenyewe. Vijana wawili ndugu wa kuzaliwa
(Embu brothers) Emmanuel Mutura 19 na Benson Njiru 23 years waliofikwa na umauti wakiwa mikononi mwa polisi hatimae wamepumzishwa kwenye nyumba Yao ya Milele.
Vijana Hawa walifikwa na...
MONUSCO Force Intervention Brigade FIB imekua DRC kwa miaka 8 sasa ikijaribu kuleta amani eneo la DRC, wakati ilipoanza ilikua adui mkubwa ni M23 (kama sijakosea) ambao walimumunyika na kupotea ndani ya raia wa kawaida kisha baadae wakaanzisha vita vya guerilla, Sahii M23 hawatajiki tena lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.