kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Bowie

    Makamu wa Rais Kenya William Ruto Azuiliwa Kusafiri Kwenda Uganda

    Makamu Rais wa Kenya William Ruto amezuiliwa kusafiri kwenda Uganda kwa ziara binafsi Ruto na ujumbe wake ulizuiliwa katika uwanja wa ndege Wilson Airport leo. Haijulikani mpaka sasa sababu ya kuzuuliwa kwake.
  2. Mashashola

    Kenya has 4 times more dollar millionaires than Tanzania

    Kenya also leads East and Central Africa in the number of dollar millionaires
  3. C

    Huyu kocha ataivusha kweli Simba Queens huko Kenya?

    Kanda ya Unaf washatoa mshindi anayeenda champions league ya wanawake africa , wana simba tuna matarajio makubwa simba ashinde zone ya cecafa huko nairobi next month na kukata ticket ila jana wameonyesha kiwango duni, matter of fact wameonyesha kiwango duni tangu siku ile wanacheza na twiga...
  4. eliakeem

    Kenya is Among of 25 Dangerous Countries on Earth

    The country is trying and pushing hard to get out of the list of most dangerous countries on the earth. But nothing tangible has been achieved. Look the article below. 👇🏽👇🏽👇🏽 ====== 25 Most Dangerous Countries in the World Habib Ur Rehman In this article, we take a look at the 25...
  5. Tony254

    Jamii ya Shona imepata uraia wa Kenya baada ya miaka 60 ya kuishi bila Uraia hapa Kenya

    Jamii hii ya Shona ilikuja Kenya mwaka wa 1959 kama missionaries yaani watu wanaoeneza injili. Sasa wameishi Kenya bila uraia kwa miaka 62 na hivi leo wamepata uraia kamili na hata kupata vitambulisho. Hii inafuatia Jamii la Wamakonde kutokea Msumbiji waliopata uraia huo miaka michache...
  6. T

    BBC: Kenya imeingia makubaliano na UK kuwapatia madaktari wake ajira

    Nimesikiliza dira ya dunia kwenye matangazo ya leo wanasema Kenya na uingereza wameingia makubaliano ambapo kupitia hayo makubaliano, madaktari wasiokua na ajira watapatiwa ajira hizo nchini uingereza. Naomba viongozi wetu waige ubunifu wa aina hii. Tusibakie na ubunifu wa kudhibiti wapinzani...
  7. K

    Kichochoro cha kupitisha Dhahabu Musoma kwenda Kenya kifuatiliwe

    Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro...
  8. Analogia Malenga

    Kenya yaazimia kuwachanja watu wote ifikapo Desemba 2022

    Kenya inatarajia kuwa imewapa chanjo watu milioni 26 ifikapo mwaka 2022, hadi sasa ni watu milioni 1.04 waliopata dozi ya kwanza ya Astrazeneca Waliopata dozi ya pili ni 633,000 huku kutokana na uhaba watu 416,000 wameishia kupata dozi moja Watu hao wanaweza kuchomwa chanjo ya pfizer kitu...
  9. Tony254

    Kenya ni hatari kwa kupiga pesa. Hata Wazungu wanatutambua

    Hii nchi ndogo ya Kenya inaogopwa hata na Wazungu. Wakenya kwa kutafuta pesa ni hatari sana. Sasa wanafunzi lazy wa Marekani ambao hawataki kufanya homework huwa wanatuma homework huku Kenya ili vijana wa Kenya wawasaidie kufanya homework yao. Hata mitihani pia Wakenya wanafanya kwa niaba ya...
  10. MK254

    Meli ya kisasa ya kivita iliyotengenezewa Urusi yatia nanga Kenya kwa mazoezi ya pamoja na KDF....sema nyoko uone

    Wanajeshi kutokea mataifa kadhaa (USA, India, UK n.k.) kuhusika kwenye haya mazoezi ya pamoja.....mwendo wa kutunisha misuli kuonyesha ubabe au kwa kifupi nani baba lao.....jifanye kama unajikuna tuone. Brahmos cruise missile INS Talwar ship lands at the coast in Mombasa on Tuesday, July 27...
  11. K

    Kenya: Rais na Makamu wanakinzana wanavumiliana, Tanzania Rais ni Bunge, Mahakama na Serikali

    Tutazidi kusindikiza kwenye uchumi na kutengeneza wanafiki wa Taifa kupitia mfumo wa serikali tulioasisi awamu ya Tano. Yupo kiongozi wa Dini amediriki kutamka adharani kwamba tunakosa viongozi wenye maono, naomba niseme siyo wenye maono tu Bali wenye nguvu yakupanbana kwa hoja. Kenya awapo...
  12. Tony254

    ISUZU Has assembled 100,000 vehicles in Kenya since 1977

    Isuzu’s plan to produce 11,000 vehicles yearly FRIDAY JULY 23 2021 Isuzu East Africa CEO Rita Kavashe. FILE PHOTO | NMG By VICTOR JUMA More by this Author SUMMARY Isuzu East Africa is this month celebrating the production of 100,000 vehicles at its Nairobi assembly plant since 1977. The...
  13. MK254

    Miji minne sasa - Multibillion Projects Being Launched in Nakuru Ahead of City Status

    Nakuru town is set to undergo major changes ahead of its elevation to city status. President Uhuru Kenyatta will tour the county next month in order to deliver the city status charter- hence sealing its bid to become the country's fourth city. Nakuru county government has initiated a number...
  14. Mr Q

    "Sakramkritorevibieji" alisikika Kabudi mwishoni mwa hotuba yake nchini Kenya

    Tafadhali sana hilo neno haliandikwi wala kutamkwa hivyo ila linasikika nna hiyo (kama kabudi alivyo litamka) wakati fulani akitoa hotuba nchini kenya wakati akiwa waziri wa mambo ya ncho n.k Na alilitamka wakati akihitimisha kwa kusema forgive me for my "sakramkritorevibieji" words and perhaps...
  15. MK254

    Kenya baba lao....Africa’s UN Security Council members to meet in Kenya for strategy planning

    Diplomats from Africa’s three representatives and that of the Caribbean at the UN Security Council are gathering in Nairobi to work on a common agenda as the continent faces three crucial crises. The diplomats from hosts Kenya, Tunisia, Niger and the Saint Vincent and Grenadines, often known...
  16. Geza Ulole

    Kenya betrays Tanzania again at UNESCO's delisting campaign on Selous GR!

    MY TAKE Kama kawaida snitches kutoka Kunyaland wametu-backstab!
  17. MK254

    Tanzania na Kenya zabadilishana wafungwa, kila mtu akafungiwe kwao. Tunaendelea vizuri ila sijui kama Watanzania wanamsoma Rais Samia

    Mpaka hapo shughuli inakwenda vizuri, uhusiano unazidi kuboreka, mama kaonyesha mfano mwema badala ya kulia lia kuhusu Kenya na Wakenya, atafute namna ya kuwekana sawa. Japo namuelewa, yeye ana asili ya Zanzibar, Wazenji na Wakenya hatujawahi kuzinguana, hutupokea vizuri kwenye visiwa vyao vile...
  18. L

    Reli ya Kisasa ya SGR yaleta mabadiliko katika sekta ya uchukuzi wa shehena na abiria nchini Kenya

    Ikiwa ni zaidi ya miaka minne sasa tangu reli ya kisasa ya Mombasa-Nairobi nchini Kenya kuanza kutumika, sekta ya uchukuzi wa shehena na abiria imepata mabadiliko makubwa na kusaidia ukuaji wa uchumi na ajira. Kufikia sasa, zaidi ya abiria milioni tano wamefaidika na uchukuzi wa bei nafuu...
  19. Kafrican

    Hii ni kwa Wakenya wote humu JF: Tazama huyu jamaa akizunguka Kenya yote

    Kwa siku 29 jamaa amezunguka kila kona ya Nchi, Mi nimeangalia hadi nusu bado naendelea, lakini imenitia motisha sana, pia mimi nataka kufanya hivi one of these days, Hua napenda sana kutembea kuona maeneo tofauti ya Kenya. Lengo langu kuu hata si mbuga za Wanyama, mi nataka kuona tu maendeleo...
  20. BAK

    Kenya passport holders banned in 54 countries

    Summary Henley Passport Index report indicates the number of countries that Kenyans can visit without visa has also dropped from 79 in December, 64 in quarter two of this year to 59. The score measures the number of countries that a person holding Kenya’s passport can visit without having a...
Back
Top Bottom