The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Kuna usemi unasema mwenzio akinyolewa zako tia maji.
Kutokana na mwenendo wa kesi za kimataifa kuhusiana na mipaka inaonyesha mahakama na hata jumuiya ya kimataifa haina nguvu sana ya kulazimisha uamuzi wa mahakama.
Nilichojifunza ni kwamba kwenye mivutano yetu ya mipaka kinachoweza kukusaidia ni nguvu ulizo nazo.
Tukitegemea sana suluhisho la kidiplomasia tutalipoteza ziwa nyasa.
Kutokana na mwenendo wa kesi za kimataifa kuhusiana na mipaka inaonyesha mahakama na hata jumuiya ya kimataifa haina nguvu sana ya kulazimisha uamuzi wa mahakama.
Nilichojifunza ni kwamba kwenye mivutano yetu ya mipaka kinachoweza kukusaidia ni nguvu ulizo nazo.
Tukitegemea sana suluhisho la kidiplomasia tutalipoteza ziwa nyasa.