kelele

  1. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Makonda, Mambosasa huku Ubungo Msewe hakuna serikali?

    Kuna bar ipo makazi ya watu hapa Kanisa la Katoliki la Mtakatifu Paulo inapiga muziki mkubwa sana watoto hawalali, wagonjwa wanateseka. Bar ipo makazi ya watu inapiga muziki mkubwa sanaa na hakuna sound proof, juu ya yote sidhani kama wana leseni ya night club maana wangefuata mashariti ya...
Back
Top Bottom