Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Habari wanaJamiiForums,
Siasa nzuri pale mmoja wao akiwahi kusoma akama za nyakati halisi. Na hili nimesisitiza sana huko nyuma Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kama atasoma nyakati vyema apumzike kugombea uraisi
Else atakutana na aibu kubwa kilichofanyika ni sawa na kusema CHADEMA mmeifuata TLP kuruhusu Mgombea wetu Dr. John Pombe Magufuli ndie chaguo la Wananchi
Nakutakia kila la kheri mzee wangu huko Jimbo la Hai
Siasa nzuri pale mmoja wao akiwahi kusoma akama za nyakati halisi. Na hili nimesisitiza sana huko nyuma Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kama atasoma nyakati vyema apumzike kugombea uraisi
Else atakutana na aibu kubwa kilichofanyika ni sawa na kusema CHADEMA mmeifuata TLP kuruhusu Mgombea wetu Dr. John Pombe Magufuli ndie chaguo la Wananchi
Nakutakia kila la kheri mzee wangu huko Jimbo la Hai