Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,925
Muogope baba asiesafiri asietoka kujichanganya na wenzake anajifungia tu ndani na kukaa jikoni na mama kuota Moto baba huyo lazima awe mkali na katili kwa watoto
Baba unatakiwa usikae sana home familia inakukinahi inakuchoka haiwi na hamu na wewe Sasa wewe utadhani haikupendi kumbe ni kwasababu wewe ni mchujo kwao
Umechuja kila siku upo home unawakaripia watoto wasiwashe tv mama asitumie gesi apikie kuni yani we 24/7 unapigishana kelele na watoto na mkeo. Baba wa hivi lazima watoto wakuombee ugonjwa au kifo ili wapumue waachane na upolisi wako
Wababa tusikae sana nyumbani kutawa kwa baba hakuna afya kwa familia jiulize je baba yako ANATAWA nyumbani? Mimi baba yangu alikuwa anasafiri Sana na tulimpenda Sana ila bahati mbaya Mungu alimchukua tarehe 18/8/2019
Mungu mlaze pema peponi baba yangu mzazi kila nikimkumbuka baba nalia Sana
Amina .
Baba unatakiwa usikae sana home familia inakukinahi inakuchoka haiwi na hamu na wewe Sasa wewe utadhani haikupendi kumbe ni kwasababu wewe ni mchujo kwao
Umechuja kila siku upo home unawakaripia watoto wasiwashe tv mama asitumie gesi apikie kuni yani we 24/7 unapigishana kelele na watoto na mkeo. Baba wa hivi lazima watoto wakuombee ugonjwa au kifo ili wapumue waachane na upolisi wako
Wababa tusikae sana nyumbani kutawa kwa baba hakuna afya kwa familia jiulize je baba yako ANATAWA nyumbani? Mimi baba yangu alikuwa anasafiri Sana na tulimpenda Sana ila bahati mbaya Mungu alimchukua tarehe 18/8/2019
Mungu mlaze pema peponi baba yangu mzazi kila nikimkumbuka baba nalia Sana
Amina .