habari za wakati huu wakuu, kama kichwa cha maada kinavyojieleza nina jamaa yangu jinsia kiume,umri 29 years ana certificate ya tourism and hotel management anaexperience ya kufanya kazi sehemu mbalimbali tanzania bara na visiwani, kwa bara kafanya kazi ARUSHA,MBEYA,BAGAMOYO,NJOMBE na DODOMA...