kariakoo

Kariakoo is a ward in the Ilala District of Dar es Salaam, Tanzania. It has a population of 9,405 (2002). The name derives from a corruption of the British "Carrier Corps", that used to be based in this area. Today, Kariakoo is mainly known for its extensive market, that spans several city blocks.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Jani hiloo jani la muwaaaa weweee watu wote wachepukaa lakini wewe uuuumezidiii

    eeeh anaumwaaa kijipu...anaumwaaa eheeeheeee mashallah Leo niko mambo ya pwanii karibun sanaa Forodhannii
  2. M

    JamiiForums Tanzania Fujo za Kariakoo

    Ndugu wasomaji Kama mnavyojua soko letu la kariakoo inavyopiga kazi kwa biashara lakini kwa saivi fujo zimezidi sana maana machinga wapo kila kona inakuwa usumbufu kwa sisi wafanyabiashara tunaolipa kodi na tumepanga duka maana wateja hawafiki madukani zetu kwa shida kama za parking salama ya...
  3. Mike Moe

    JamiiForums Tanzania Kwa wenyeji wa machimbo ya nguo kali kariakoo

    Kwa wenyeji wa machimbo ya nguo kariakoo msaada tujuzane wapi ntapata suruali hizi kwa bei nafuu maana huku ni 38 tunaambiwa
  4. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Siri wanazotumia matajiri wakubwa wa kariakoo kuendelea kuwa matajiri na kutoshikika

    SIRI WANAZOTUMIA MATAJIRI WAKUBWA WA KARIAKOO KUENDELEA KUWA MATAJIRI NA KUTOSHIKIKA Usipozijua utaendelea kuwashangaa Ukitaka kujua Tanzania kuna matajiri, Nenda kariakoo. Hizi ni baadhi ya siri tu wanatumia kuendelea kukuza utajiri wao... 1. Group Buying ya Nguvu wanaungana makundi na...
  5. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Kwa Kariakoo, wapi naweza pata VR Box? Maana naona imeanza kuwa maarufu

    Hii kifaa inaitwa VR BOX, Nimeitafuta kwa mda mrefu sasa bila mafanikio. Leo nipo darasalama tena nipo mjini kabisa. Mwenye dukani kwake anauza anipe taarifa.
  6. Kibenje KK

    JamiiForums Tanzania Mbinu wanazotumia Matajiri wakubwa wa Kariakoo kuendelea kuwa matajiri na kutoshikika

    SIRI WANAZOTUMIA MATAJIRI WAKUBWA WA KARIAKOO KUENDELEA KUWA MATAJIRI NA KUTOSHIKIKA Usipozijua utaendelea kuwashangaa Ukitaka kujua Tanzania kuna matajiri, Nenda kariakoo. Hizi ni baadhi ya siri tu wanatumia kuendelea kukuza utajiri wao... 1. Group Buying ya Nguvu wanaungana makundi na...
  7. Amba Samedi

    JamiiForums Tanzania 📌 Kariakoo GPT na Pinduoduo – Hebu Tuchimbe Zaidi

    Jana tuligusa wazo la Kariakoo GPT 🤖🛍️ – Post yenyewe ipo hapa. Ahsanteni sana kwa jinsi mlivyonipa support kali 💯 na mawazo ya nguvu! Miongoni mwa ideas mlizotoa ni hizi hapa: ✅ Kushirikiana badala ya kushindana – Mawinga wawe wabia, si washindani ✅ Group buying ya nguvu – Wafanyabiashara na...
  8. Ashampoo burning

    JamiiForums Tanzania Uwinga wa Kariakoo: Kazi Inayodharauiwa Lakini Inawalipa Zaidi ya Madaktari(elimu ya uwinga)

    1. UTANGULIZI Udalali "Winga" ni Nini?Udalali "Winga" ni aina ya udalali unaofanyika Kariakoo ambapo mtu anapata wateja wa bidhaa mbalimbali bila kuwa na duka au ghala la kuhifadhi mzigo.Dalali wa aina hii hutafuta wateja kupitia simu na mitandao ya kijamii kishakuwaunganisha na wauzaji wa...
  9. fact only

    JamiiForums Tanzania Fremu ya kuuza viatu kariakoo

    Habari wakuu . Kama unahitaji kufanya biashara ya viatu kariakoo Kuna fremu inaachiwa Kwa sh 500,000 Kwa mwezi imebaki miezi Saba. Mwenyewe anahamia Dodoma hakuna kilemba. Ni kariakoo Mtaa wa muhonda (Msimbazi na muhundo opposite jengo la DDC) karibu.
  10. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Yawezekana kujifunza pikipiki siku moja ya kesho ili Jumatatu nianze nayo harakati Kariakoo?

    Nimeamua kujiongeza baada ya tabu ya usafiri Mbezi to Gerezani nimeamua kumvua mtu chuma sasa changamoto ni kubalance moto na gear ndio inanipa shida kesho nataka asubuhi niende eneo la wazi ili nipate experience ili jtatu nitinge nayo kwenye harakati zangu inawezekana au ndio safari ya kwenda...
  11. La gioconda

    JamiiForums Tanzania Niwapi nina weza pata

    Niwapi nina weza pata HISSOP_HISOPO FRANKINCENSE-UBANI MYRRH_MANEMANE na mafuta ya mzeituni
  12. BigTall

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Soko la Kariakoo linafunguliwa lini? Naona wana kazi ya kuwasha taa na kuzima tu!

    Soko Kuu la Kariakoo lililoungua Mwaka 2021 kisha kujengwa lote limekamilika, pamoja na kwamba kumekuwa na ahadi nyingi za viongozi wetu lakini kwa ufupi hakuna kinachoendelea cha maana mpaka sasa. Kinachofanyika ni kuwasha taa usiku na kulinda, sasa wanasubiri nini? Maana mpango wa kufungua...
  13. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya barabara Kariakoo Dar

    Kama hali ya barabara katika eneo lenye soko la kimataifa la Kariakoo ndio hii, basi ni hatari. Hali ikoje maeneo mengine ya ndani ndani Dar es Salaam na mikoani?
  14. Mike Moe

    JamiiForums Tanzania Wauzaji suruali aina ya boss kariakoo

    Habari wana jamii kama kichwa cha uzi kinavyojieleza kama kuna wafanyabiashara wa kariakoo mnaouza suruali za vitambaa aina ya boss naomba tufahamiane kwa lengo la kufanya biashara pm yangu iko wazi wakuu muda wowote
  15. Kasri Homes Tz

    JamiiForums Tanzania House4Rent Kariakoo: 4th Floor 3 Bedrooms Apartment For Rent - Dar

    . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  16. Kasri Homes Tz

    JamiiForums Tanzania House4Rent Kariakoo: 1st Floor 2 Bedrooms Apartment For Rent - Dar

    . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Dulla makabila ameanza kuhofia Udiwani wa Haji Manara kata ya Kariakoo

    Baada ya Haji Manara kutangaza nia ya kutaka kuwa Diwani Kariakoo na kuchukua Fomu kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dulla Makabila, amemua kutoa ya moyoni kuhusu maamuzi hayo ya Haji Manara “Kama pale tu ulikuwa hauna mamlaka yeyote na ukaninyoosha ndugu yangu safari hii ntasikia tu...
  18. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Kwenye Dabi tano za Kariakoo kuanzia 2025 hadi 2030 Utaratibu uwe huu

    Mwaka huu Simba walipoanza kama wenyeji kwenye raundi ya kwanza ambapo watani zao Yanga waliwapa sapoti yote ya promosheni, wao waliamua kutukana nafasi hiyo kwa kuhujumu raundi ya pili ambapo Yanga ndiye aliyekuwa mwenyeji. Kwa hali hiyo Derby tano zifutazo Yanga ndiye awe ni mwenyezi kwenye...
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Simba haijatuma wawakilishi kwenye mkutano wa Waandishi wa Habari kuelekea Kariakoo Dabi

    Klabu ya Simba haijatuma wawakilishi kwenye mkutano wa Waandishi wa Habari kwaajili ya kuzungumzia maandalizi yake ya mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga Sc, mchezo unaotarajiwa kupigwa Kesho Juni 25, 2020 saa 11:00 jioni kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Ni utaratibu siku moja kabla ya...
  20. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Sikiliza maoni ya huyu mwamba kuhusu derby ya kariakoo na siasa zetu halafu utoe maoni yako

    Unajua watanzania pamoja na kupenda kwetu hizi timu za kurithi, tuamue nini hasa ni muhimu kwa taifa hili na katika maisha yetu. Embu msikilize huyu mwamba anachosema kuhusiana na derby ya Kariakoo. Inakuwaje hadi bungeni eti wanajibizana kuhusu mpira tena katika misingi ya kishabiki, yaani...
Back
Top Bottom