karanga

A karanga (call out, summon) is an element of cultural protocol of the Māori people of Aotearoa New Zealand. It is an exchange of calls that forms part of the powhiri, a Māori welcoming ceremony. It takes place as a visiting group moves onto the marae or into the formal meeting area. Karanga are carried out almost exclusively by women and in Māori language, and are initiated by the tangata whenua or hosts, and responded to by the visitors.
Karanga follow a particular format in keeping with protocol. This includes exchanging greetings, paying tribute to the dead (especially those who have most recently died), and referring to the reason for the groups' coming together. It has an important function in building connections between tangata whenua and manuhiri (guests), and setting the agenda for the gathering.

View More On Wikipedia.org
  1. JOHNGERVAS

    Kuna nini kimejificha nyuma ya hawa warembo wanaouza karanga mtaani?

    AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA. Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko. Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni...
  2. F

    Kwanini biashara ya kutembeza karanga zilizokaangwa imekufa?

    Hii biashara ilikuwa ikifanywa na vijana wengi miaka ya nyuma. Imekufa kibudu. Shida nini? Ni biashara ipi tena ya zamani imepotea au kufa?
  3. Stephano Mgendanyi

    Fursa ya Kuanzisha Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Karanga, Ufuta na Alizeti - Kata ya Likokona, Nanyumbu

    Fursa ya Kuanzisha Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Karanga, Ufuta na Alizeti - Kata ya Likokona, Nanyumbu Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji (TIC) inaendelea kutangaza fursa za uanzishwaji wa viwanda vya kuchakata mazao ikiwemo mazao ya karanga, ufuta na alizeti. Haya yamebainishwa bungeni...
  4. lord atkin

    Kesi ya diamond karanga, Wasafi na Kusaga ilivyofika mwisho mahakamani

    DIAMOND PLATNUMZ NA DIAMOND KARANGA ILIVYOGEUKA TALAKA YA CHOZI Na Luqman MALOTO INGEWEZEKANA, yaliyowezekana kwenye movie ya Superman mwaka 1978, yangewezeshwa katika ulimwengu halisi. Superman alipaa nje ya dunia, akailazimisha sayari kurudi kinyumenyume. Kwa sayari kurudi reverse, muda nao...
  5. M

    Nahitaji Karanga kavu zenye maganda

    Nahitaji karanga kavu zenye maganda. Nipo Dar. Kwa mwenye nazo au mwenye kujuana na mwenye nazo popote alipo ani PM
  6. Li ngunda ngali

    Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

    Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo. Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col! Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga...
  7. Kilimbatzz

    CAF CL 2023/2023 Yanga anaazimia kwenda kufyeka kichaka pekee cha karanga Simba alichobaki nacho CAF CL

    Kwa sasa Simba amebaki kujificha nyuma ya Wydad, AlAhyl na "wakubwa" wengine kulingana na kamusi yake binafsi Ukimbana kidogo kwenye kanyampasira, utasikia "mpaka mcheze siuji na Wydad, sijui Al Ahyl sijui Raja...." Utafikiri Hawa hawafungiki Sasa Yanga ashaonja damu na hatoacha, Waarabu...
  8. jastertz

    Combination ya Nazi, karanga na muhogo.

    Habari wana JF Afya! Jana katika soko fulani nikakutana na jamaa anauza powerbank, mchanganyiko wa nazi, karanga, na muhogo kwa ajili ya mambo yetu yale. hizi ukila zinakua ni za muda mrefu au unajibust kwa muda tu...??? vipi ukila alafu usikutane na mwenza wako madhara yake ni yapi..?
  9. N

    Kilimo cha Karanga

    Wajuvi wa mambo heshima kwenu wote! Nimejikuta natamani Sana kilimo cha karanga baada ya kuona soko lake liko juu, pia nahisi ni kilimo chake ni rahisi. Karibuni wazoefu mnipe mchanganuo ya mbegu nzuri, mapato kwa heka moja! Ahsanteni.
  10. Kaka Ibrah

    Bei ya karanga mbichi

    Naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla katika mkoa wa Songwe na Mtwara katika ujazo wa kilo, debe au gunia zikiwa tayari zimesha menywa
  11. Kaka Ibrah

    Naomba kujuzwa bei ya karanga mbichi Mtwara na Songwe

    Naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla katika mkoa wa mtwara na songwe, ktk ujazo wa kilo, debe au gunia zikiwa zimeshamenywa
  12. Kaka Ibrah

    Bei ya karanga mbichi ni shilingi ngapi?

    kwema wadau? Samahani nilikuwa naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla jumla ni sh ngap hapo ulipo, hasa kwa mkoa wa songwe kuwa ni shilingi ngapi?
  13. M

    Mchanganyiko wa Pepsi na karanga

    Eti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
  14. Kamanda Asiyechoka

    Kama Seal za vizibo vya chupa za maji zinachafua mazingira. Je, karanga na pipi hazichafui?

    Ukubwa wa seal za vizibo vya chupa za maji hauna tofauti na ukubwa wa vifungashio vya karanga na pipi. Seal za vizibo vya chupa za maji zilikuwa ni uhakika kwa mtumiaji kuwa maji hayajachakachuliwa Unapozuia maji kuwekewa seal una maana gani? Maji fake yaingie mitaani?
  15. Jitume Biashara

    INAUZWA Tunauza Mashine aina mbalimbali, tupo Dar es salaam

    MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI BEI: 450,000/= Je, huna cha kufanya? Unatafuta kazi hupati? Sisi ni wasambazaji wa mashine tofauti kutoka china, mashine zipo kwa oda malipo ukikabidhiwa mzigo wako kwa wa dar, wamikoani kuna utaratibu wengine MNAKARIBISHWA! KWA Mashine hii unaweza kutumia kwa...
  16. Kipenzi Changu

    Gazeti Mwananchi lamchambua Samia kama karanga

    Ukimwelewa mwandishi anaonyesha Rais alikuwa anaenda chaka. Hakukata kabisa kiu ya wadau
  17. J

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) imeanza rasmi kutoa mafunzo kupitia Mradi wa Kitaifa wa Kudhibiti Sumukuvu "Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination -...
  18. Sky Eclat

    Kibonzo: Kipanya anaelezea jinsi ya kummenyea kipofu karanga

  19. U

    Orodha ya baadhi ya vyakula vinavyotajwa kuwa bora (super foods)

    Tunaambiwa kuwa kuishi vizuri ni pamoja na kula chakula bora na sahihi. Pia, mtu anayeishi vizuri ni yule ambaye hasumbuliwi na maradhi hatari na njia pekee ya kuulinda mwili dhidi ya maradhi hatari ni kujua ipasavyo na kuvitumia vyakula bora pamoja na kufanya mazoezi. Katika makala yafuatayo...
  20. T

    Je, ni sehemu gani hapa kwetu Tanzania ambapo kunaliwa karanga pori (macadamia nuts)?

    Natarajia wakuu mko salama kabisa, Je ni sehemu gani hapa kwetu Tanzania ambapo kunaliwa karanga pori kwa wingi au wapi panaweza limwa macadamia nuts kwa wingi, yaani karanga pori, natangulia shukrani.
Back
Top Bottom