karanga

A karanga (call out, summon) is an element of cultural protocol of the Māori people of Aotearoa New Zealand. It is an exchange of calls that forms part of the powhiri, a Māori welcoming ceremony. It takes place as a visiting group moves onto the marae or into the formal meeting area. Karanga are carried out almost exclusively by women and in Māori language, and are initiated by the tangata whenua or hosts, and responded to by the visitors.
Karanga follow a particular format in keeping with protocol. This includes exchanging greetings, paying tribute to the dead (especially those who have most recently died), and referring to the reason for the groups' coming together. It has an important function in building connections between tangata whenua and manuhiri (guests), and setting the agenda for the gathering.

View More On Wikipedia.org
  1. Richard

    JamiiForums Tanzania Filamu ya Spy X wengi wamejiuliza kwanini mchezaji wake wa kike Anya hupenda sana kula karanga. Na Anya akiri kupenda karanga zaidi kuliko karoti

    https://www.youtube.com/watch?v=wuuDdOeI--k "X Spy Family" ni filamu nzuri ya watoto na ina mhusika mkuu mmoja aitwae Anya ambae katika vyakula vyote avipendavo huwa hakosi Karanga. Haijulikani hadi leo sababu kubwa ya Anya kupenda mno kitafunwa hicho maarufu cha karanga. Jana nilimwona mmoja...
  2. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Paroko wangu wa KANISA la Karanga umenikosea Leo ibadani, Mimi sikuwa tayari kuwaombea wanahabari na viongozi wa serikali

    Baba paroko Tumsifu Yessu Kristo! Paroko wangu wa KANISA KATOLIKI karanga hapa Moshi vijijini Leo umenikosea ulipo niambia niwaombee viongozi wa serikali Ili watimize wajibu wao wa kutenda haki Pili umenilazimisha kuwaombea wanahabari Hawa washenzi wasio jua walifanyaro Hawa vikaragosi wa...
  3. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasanii sijui watumie njia gani kujirudi kwa wananchi. Wanajikuta wanaua tasnia kwa karanga za kuonjeshwa

    Wakuu! Wasanii tuwasamee au tuendelee kushikilia hapohapo mpaka kieleweke?
  4. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tanzania mmenifurahisha, Samia aondoke la sivyo akikamatwa atatafunwa kama karanga. Tumechoka na hawa CCM

    Tumechoka na huyu Samia na wapumbavu wenzake, Huyo hana hata ile elimu ndogo ya form IV, amefeli kama walivyofeli police wake wauaji, wafiraji na wabakaji. Leo mmetutambua kuwa enough is enough, ameshaharibu na hatutaishia hapo, serikali ya CCM imetunyanyasa sana.....tumechoka. Niwatahadharisha...
  5. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Polepole angeokotwa kabla Octoba 29 akiwa na kimfuko chake cha karanga na taulo akiwa dhaifu mwenye depression tungefurahi

    Maombi kwa awaye yote. Mwenye nguvu. Yangetokea maajabu kwa ndugu Polepole mfano wa yanayo watokea makasisi sijui mapadre wa Katoliki ya kupotea kisha kuokotwa siku kadhaa wakiwa hai huku wana msongo wa mawazo (depression) taifa lingepona. Chuki na hasira zingepoa. Visasi visingetarajiwa siku...
  6. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kukaanga Karanga na Chumvi

    Hello Kwanza zioshe vizuri sana karanga zako kisha weka chumvi ya kutosha, then una ziaacha kwa muda fulani ndio una weka jikoni kwa moto mdogo kama hivi Endelea kukologa pole pole mpka zibadirike kama hivi Uku una zio onja ili zisije ungua zikiwa teyari ziache zipoe Baada ya hapo mm...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wana simba wenzangu kuleni kwa wingi karanga mbichi, mihogo na kupaka mkongo ili tukampe kichwa Ally Kamwe

    Mm kila cku asbh lazima nile karanga mbichi na tena nimehamasika mno baada ya semaji la Yanga kutaka kichwa, nakula karanga mbichi atar kWa ajili ya kusafisha kichwa, tena Magori ndio mwenyekiti wa bodi aaaah na vumbi la mkongo napaka ili kichwa kimeremete.
  8. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mmeona video ya Mtanzania muuza karanga akifanyiwa unyasasaji nchini Kenya? SASA HII IMEKUWA TOO MUCH!

    Inasikitisha sana ni namna gani siasa zinaweza kutenganisha watu
  9. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Ina maana huyu jamaa muuza karanga usmart wake unamponza

    Anakuja mara kwa mara bar ila hata za kuonja tumezikataa kwa sasa mwaka wa tatu tumezikataa.Anapita kavaa miwani watu hatumuamini
  10. Mumlii

    JamiiForums Tanzania Natafuta karanga,

    Kwa bei ya wakulima nitazipata maeneo gani? Nko ushirombo
  11. KISUNZU YP

    JamiiForums Tanzania MASHINE YA UMEME YA KUSAGA KARANGA

    Jipatie mashine ya kupukuchua na kusaga karanga inayotumia umeme kidogo. Ni kwa wajasiriamali wanaopenda kupanua fursa zao , hii mashine inauwezo wa kukupukuchulia karanga zilizokaangwa na kusaga karanga laini sana. Piga 0744200166
  12. KISUNZU YP

    JamiiForums Tanzania Fursa fursa fursa ni mashine ya kupukuchua na kusaga karanga

    Jipatie mashine ya kupukuchua na kusaga karanga inayotumia umeme kidogo. Ni kwa wajasiriamali wanaopenda kupanua fursa zao , hii mashine inauwezo wa kukupukuchulia karanga zilizokaangwa na kusaga karanga laini sana. Piga 0744200166
  13. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Fursa kwa wafanyabiashara za karanga

    Kwa watumiaji na wafanyabiashara wa karanga Tunawakaribisha Segese, Kahama, kwa Adam Piniel Posho Mill. Tunapokea karanga kutoka kwa wakulima na kuuza kwa bei za jumla zikiwa safi na kavu. Fursa kwa vijana na wafanyabiashara Tunayo mashine ya kisasa ya kukoboa karanga kulingana na mahitaji ya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Mbolea katika kilimo cha karanga

    Naomba kupata uzoefu wa matumizi ya Mbolea za kukuzia katika kilimo cha mbegu zinazozalia chini...mfano karanga. Nimejaribu ku google lakini maelezo hayajitoshelezi Aidha nimeongea na wa kulima wengi wanadai karanga hazifai kuwekwa mbolea. Nimeamua nifanye majaribio ya kulima nusu heka...
  15. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Kwa nini bado wafanyabiashara wa rejareja wanauza mchele na karanga ambazo hazijachambuliwa?

    Hili swali nimejiuliza kwa muda mrefu sana na sijawahi kupata jibu. Inakuwaje unaenda dukani unakuta muuzaji anauza mchele au karanga ambazo hazijachambuliwa? Inafikirisha sana karne hii na zama hizi bado tunanunua mchele wenye mawe, na kwa kuwa unapimwa ule uchafu nao pia unalipia. Hivi...
  16. P

    JamiiForums Tanzania Karanga kubwa kutoka Mawali

    KARANGA KUBWA KUTOKA MALAWI Bei 25kg 105,000/= Maongezi yapo kidogo zipo tani 300 Location Moshi Kilimanjaro Namba 0682 761740. Karibuni wateja.
  17. Metronidazole 400mg

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

    Nilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa. Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili (...
  18. USSR

    JamiiForums Tanzania Nani anazifahamu hizi karanga na zinakopatikana

    Kama unazo njoo inbox USSR
  19. P

    JamiiForums Tanzania Mashudu ya Karanga nauza nipo Dodoma

    Mashudu mazuri ya karanga nauza nipo Dodoma bei maelewano nicheki kwa namba zangu +255682761740 tufanye biashara iliyonyooka ipo Tani 30 kilo sh.800
  20. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Napata wap Sealer / vifungio vya karanga kwa mwanza??

    Wakuu natafuta ivi vibanio vya kufungia karanga
Back
Top Bottom