jastertz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 392
- 743
Habari wana JF Afya!
Jana katika soko fulani nikakutana na jamaa anauza powerbank, mchanganyiko wa nazi, karanga, na muhogo kwa ajili ya mambo yetu yale.
hizi ukila zinakua ni za muda mrefu au unajibust kwa muda tu...???
vipi ukila alafu usikutane na mwenza wako madhara yake ni yapi..?
Jana katika soko fulani nikakutana na jamaa anauza powerbank, mchanganyiko wa nazi, karanga, na muhogo kwa ajili ya mambo yetu yale.
hizi ukila zinakua ni za muda mrefu au unajibust kwa muda tu...???
vipi ukila alafu usikutane na mwenza wako madhara yake ni yapi..?