Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Hii biashara ilikuwa ikifanywa na vijana wengi miaka ya nyuma. Imekufa kibudu. Shida nini?
Ni biashara ipi tena ya zamani imepotea au kufa?
Ni biashara ipi tena ya zamani imepotea au kufa?
... jamaa anataka wampigie hodi ofisini kwake ghorofa ya kumi kumtembezea ujugu!Bado wapo, sema hauzululi kama zaman so huwezi kukutana nao tena😂
Mbn mie naina sana mitaani..mpk huwa najiuliza kwann za moto muda woteHii biashara ilikuwa ikifanywa na vijana wengi miaka ya nyuma. Imekufa kibudu. Shida nini?
Ni biashara ipi tena ya zamani imepotea au kufa?
Mie najiulizaga mbn za moto zile karanga muda wote na hawatembei na moto ..au ni ile mifuko inahifadhi joto?Bado wapo, sema hauzululi kama zaman so huwezi kukutana nao tena😂
Mifuko ile iko mingi inatengeneza insulation. Kuna dogo kila siku lazima apite kijiweni kwetu atuuzie karanga zake nzuri sana.Mie najiulizaga mbn za moto zile karanga muda wote na hawatembei na moto ..au ni ile mifuko inahifadhi joto?
Duuuhh, kumbe bado wapoKaka njoo Tabora hadi kero, Wanazi tembeza sana, ikatokea umekaa zako sehemu utaona kero kwa kuulizwa kila mara na wanao zitembeza. Ziko mbichi, zaku kaanga, kuchemsha na maganda yake
Nachojua wanauza dawa na Shanga au sendozHujawahi ona wamasai