Wataalamu wawili wa masuala ya uongozi, Profesa Ronald Raggio na Dkt. Sherylle Tan wa chuo cha Claremont McKenna nchini Marekani, walipata kuhariri kitabu kiitwacho “Leader Interpersonal and Influence Skills: The soft skills of leadership”, wakielezea stadi anazopaswa kuwa nazo kiongozi, hususan...