John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, amekuwa mstari wa mbele katika mijadala ya kisiasa kwa njia ya mtandao, akizungumza kwa uwazi kuhusu masuala ya demokrasia, haki za binadamu, na mustakabali wa vyama vya upinzani nchini Tanzania.
Akizungumza kwa njia ya mtandao leo Septemba 19...
Kwa matukio ambayo wanayoyafanya polisi hakika wananchi wameishiwa pawa ya kuwaamini tena na wameshatengeneza uadui mkubwa katika siku za usoni, mahakama nayo dalili zote zinaonyesha wanafanya mambo yao kwa maagizo!
===================
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche akiznungumza nje ya Ukumbi wa Mahakama Kuu baada ya kusikilizwa Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu amesema; "Hii Kesi haisitahili kuwepo Mahakamani kwa sababu ni Kesi ya Uongo".
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelalamikia kile ilichodai kuwa uwepo wa askari wanaovaa kiraia wanaojazana kwenye chumba cha Mahakama huku wananchi (makada wa CHADEMA) waliojitokeza kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche amesema Chama hicho hakitokubali kuona Mwenyekiti wao Tundu Lissu anahukumiwa kwa kesi za kutengenezwa.
Heche ameyasema hayo leo Septemba 8 baada ya kuahirishwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili Lissu ambaye tayari leo...
Huyu ni makamu mwenyekiti akiandika ktk X Twitter page yake
"........Nimepata taarifa na siwezi kuzipuuza. Kwamba hawa jamaa wanaandaa mbinu ikiwemo kushambulia viongozi wetu kwa mbinu za kijambazi. Kwahiyo kuna genge litavamia watu kwenye makazi yao, au hata barabarani. Halafu itasemekana ni...
Amejiandalia wapinzani wake, ambao ni vibaraka wake.
Amewapa ufadhili mpaka na magari ya kuzunguka.
Amewapa na script nini cha kusema kuhusu yeye na serikali yake!!!
What a shame kwenye uongozi wa Nchi yetu.
Hawa hawawezi kukupa uhalali. No legitimacy kwenu.
Watanzania hawatakubali...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ametaja maazimio matano ya chama hicho, akisema wataandika barua kwa jumuiya za kimataifa wakiziomba zitume waangalizi kuja kukagua mifumo ya uchaguzi inayolalamikiwa kuunganishwa na CCM ili kukipa ushindi.
Madai ya mifumo ya Tume Huru ya Taifa ya...
Watanzania mnatumika na mtaendelea kutumika Sana.
Hawa wote sijui Heche , Sijui Lissu, Sijui Polepole , sijui Ccm .
Ni kupoteza Muda .
John Heche Kaka yake wa Damu ni Mwanasheria ambaye yupo Ikulu , hiyo Pekee inaonesha wazi kuwa hawa watu hawapo kwa ajili yenu.
“Kuna watu wengi jana na leo wamenipigia kuhusu yanayoendelea kwenye teuzi za CCM na wengi wanasema kutokana na vurugu, kuumizana, migogoro na chuki ambazo ziko ndani ya CCM kwamba hii ni fursa kwetu kupata wabunge wengi kama CHADEMA,” amesema John Heche Makamu mwenyekiti Chadema.
Hata hivyo...
Wakuu,
Leo John Heche kaamua kutoboa siri. Anasema kuna vyama vimeingia kwenye Uchaguzi lakini kumbe havina wagombea.
Wanachofanya wanapiga simu kwa baadhi ya wanaCHADEMA wanaahidi mahela ili waondoke CHADEMA wajiunge na vyama vyao ili wakagombee.
Hayo ameyasema akiwa kwenye kipindi...
Mahojiano yaliyofanywa na Jambo TV na Heche, kwa kweli majibu aliyoyatoa Heche kwa kila swali yalikuwa ya kiwango cha juu hasa. Huko CCM huwezi kumpata kiongozi wa namna hiyo.
Heche anasema udikteta wa Samia ni wa kiwango ambacho hakijaaahi kushuhudiwa, japo hapo mwanzo aliwadanganya.
Heche...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche na wanachama wa chama hicho, wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya kesi inayomkabili Tundu Lissu kuahirishwa.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amvaa vikali mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Rais Samia Suluhu kwa madai kwamba anamuogopa Mwenyekiti wao wa CHADEMA, Tundu Lissu, "hatukati tamaa" Heche amewashangaa Mawakili wa Jamhuri kwa kutaka kesi ya Lissu isirushe moja kwa moja kwa kile...
Wakuu
Akiwa anazungumza leo kwenye mahojiano aliyoyafanya wakiwa kwenye mkutano mkuu wa CHAUMMA, Lembrus Mchome amesema kuwa amejaribu sana kumshauri Heche lakini kiongozi huyo hashauriki
Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche amesema Kesi zinazo wakabili ni Kesi za Kisiasa baada ya kushindwa kudhiti hoja ya 'No Reforms No Election', "Alikamatwa Lissu wakasema ooh! Chama kita-'Paralysis', tukaendeleza Moto ule, sasa ndio wameibuka na hayo mambo. Zuia wasitambue Uongozi, kwamba...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokatwa kwenye mchakato wa uteuzi wamekuwa wakimpigia simu wakilalamikia mwenendo wa chama hicho na kueleza matumaini yao kwa CHADEMA.
Akizungumza nje ya Mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.