"Chama chetu [CHADEMA] kitajenga Chuo cha Kumbukumbu ya Edwin Mtei pale kwenye viwanja vyetu Dar es Salaam, eneo la Soga ili kiwe kinafundisha vijana wetu uadilifu, uongozi, namna ya kupinga rushwa, uchumi, mambo yale [marehemu Edwin Mtei] aliyotaka kuyaona yanatokea." - John Heche, Makamu...