john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    John Heche: Nawatakia heri ya mwaka mpya 2026 watanzania wote, Mwaka Mpya, Taifa Jipya la Haki, Ukweli na Ujasiri wa Kubadilika

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mheshimiwa John Heche, anawatakia Watanzania wote heri ya mwaka mpya wa 2026. Tunapoingia mwaka mpya, tunatambua maumivu, hofu na uchovu uliowagusa wananchi wengi. Tunawatakia uponyaji wa mioyo, faraja kwa waliopoteza wapendwa wao, na matumaini mapya kwa kila...
  2. Sifi Leo

    John Heche hutubia taifa uwambie wanachadema Sasa mnaelekea wapi 2026 baada uchafuzi KUISHA na uwambie wategemee Nini 2026?

    Huu ni WITO kwa kiongozi mkubwa wa chama Cha upinzani nchini Tanzania. TAFADHALI zungumza na WENZAKO kitaifa.uwape ramani mnaelekea wapi? For 2026?
  3. thegreat1510

    PostGE2025 John Heche: Mpango wa sasa wa ccm ni kutumia ofisi ya msajili kuifuta CHADEMA

    Anaandika John Heche "Chama chetu kimeshambuliwa pakubwa mno, viongozi na wanachama wetu kwa maelfu wametekwa, kuumizwa, kuwekwa mahabusu za polisi kwa mda mrefu bila sababu.. Wengine kina Mdude, Soka , Kipanya na wengine wengi hajulikani walipo Mpaka sasa. Chama chetu kimefungiwa kufanya kazi...
  4. R

    Tunakoelekea, Chadema na John Heche watalaumiwa kukausha vyanzo vya maji na kuleta ukame nchini

    Hellow! Ndugu John Heche na Chadema kwa ujumla, huu ni muda wa kukaa kimya kusubiri matokeo. Kama ushauri mlishatoa wa kutosha na hamkusikilizwa, hivi sasa muda wa kuonyesha mapungufu na udhaifu wa Serikali batili umepita. Ushauri: Mkiendelea kuwashauri, watawatuhumu kuleta tatizo la maji...
  5. DuaZaMama

    Heche: Watu hawana maji Dar miaka 64 baada ya uhuru, Taifa la tatu kuwa na vyanzo vingi vya maji

    " Watu hawana maji Dar miaka 64 baada ya uhuru, Taifa la tatu kuwa na vyanzo vingi vya maji ni vizuri tukawaambia hawa watu kuwa watanzania si wajinga watanzania wanajua nyie ndio mmeingiza taifa kwenye matatizo haya kwa kuteka watu na kuiba rasilimali za nchi, kuiba uchaguzi na kuumiza watu"...
  6. Mafyangula

    PostGE2025 Odero: Pamoja na Lissu kuwa gerezani hayawezi kumzuia John Heche kukutana, kupeana mkono na Rais Samia

    Haaaa! Odera kwahiyo Heche akishikana mikono na Samia, maumivu yote yataisha? ============= Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kamati ya Kusukuma Maridhiano Tanzania, Charles Odero, amesema ni muhimu kwa vyama vya siasa pamoja na Serikali kukaa meza moja ya...
  7. DuaZaMama

    PostGE2025 CHADEMA: CDF, TISS, IGP na aliyekuwa Waziri wa Habari wawajibishwe

    "CHADEMA tunataka Wakuu wa vyombo vya ulinzi na aliyekuwa waziri wa habari wawajibishwe" John Heche
  8. Genius Man

    Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli

    Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli
  9. Waufukweni

    PostGE2025 Heche awatembelea Niffer na Chavala gerezani Segerea kuwatia Moyo. Aishutumu Serikali ya CCM kwa kubambikizia watu kesi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Bara, John Heche amewatembelea jana Novemba 29, 2025 kijana Mika Chavala na Niffer gerezani Segerea. Lengo la ziara hiyo, amesema, lilikuwa kuwapa moyo na kuwahakikishia kwamba hawako peke yao katika vita wanavyopitia. Heche pia aliwatumia ujumbe wa matumaini...
  10. Nipe Maji

    SI KWELI Heche amesema yale hayakuwa maandamano bali uharibifu uliojificha kwenye maandamano

    Wakuu naomba kupata ukweli, hii kauli imetolewa na Heche?
  11. R

    PostGE2025 Heche: Tume iliyoundwa na Rais Samia kufanya uchunguzi ni wanachama wa CCM haki haiwezi kupatikana

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokradsi na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizunguma leo Novemba 19, 2025 amesema Tume ya kufanya uchunguzi wa uvunjifu wa amani wa vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025 iliyoundwa na Rais Samia siyo chombo huru kwani wajumbe wengi wa Tume hiyo waliwahi kuwa...
  12. DuaZaMama

    PostGE2025 John Heche atazungumza na waandishi wa Habari leo Novemba 19, 2025 saa 6 Mchana

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, anatarajiwa kuzungumza na waandishi wa habari leo majira ya saa 6 mchana.Hadi sasa, taarifa rasmi hazijaeleza agenda au kilichokusudiwa kuzungumzwa katika mkutano huo, na hivyo kuacha nafasi kwa wadau wa siasa na waandishi wa habari kusubiri kwa...
  13. britanicca

    Namba za watu 6 zimekuwa targeted na Polisi ili kusikiliza Mawasiliano yao. Ya Heche ipo pia

    Mnaofanya kazi kwenye mitandao ya simu ama TTCL, Airtel , Yass, Vodacom mnaelewa nachosema Wanafanya switching codes namba Yako inakuwa hewan Lakin simu unashangaa hupigiwi kumbe frequent calble ziko barged into another receiver ! Wote wanaokupigia zinapita Ila wewe hufikiwi wanapokea...
  14. Mafyangula

    PostGE2025 John Heche: Nimetoka Ukonga kumuona Mwenyekiti Tundu Lissu, yuko imara na anawasalimia wote

    Nimetoka Ukonga kumuona Mwenyekiti, Yuko imara na anawasalimia wote. Anatoa pole kwa Watanzania wote waliopoteza maisha, familia ndugu na marafiki. Anatambua watu waliopoteza viungo na kubaki na ulemavu. Ametoa pole kwa wote waliopoteza mali pia. Damu ya wenzetu haijamwagika bure na hakuna...
  15. Heparin

    PostGE2025 John Heche: Hauwezi kufanya uhalifu kisha ukajichunguza mwenyewe, kufunika jambo hili na Uongo haitawezekana

    Ameandika Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche; Huwezi kufanya uhalifu alafu ukajichunguza wewe mwenyewe… Uchunguzi wa Kimataifa kutoka chombo huru ndio unaweza kuaminika na Watanzania. Tunataka kujua wakina nani wamehusika, kuua , kuteka na kuacha Watanzania na ulemavu wa kudumu. Hili sio...
  16. Waufukweni

    PostGE2025 Heche: Nimesikitika hajatamka Watu wangapi wamekufa, idadi ya majeruhi. Waliohusika kufanya mauaji wachukuliwe

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amezungumza kupitia BBC baada ya hotuba ya Rais Samia akifungua Bunge la 13.
  17. DuaZaMama

    PostGE2025 Heche: Kuhusu Rais kuhutubia bunge kesho ajibu 'Hakukua na uchaguzi nchi hii'

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amemjibu mtangazaji aliyeuliza kuhusu matarajio yake kwa hotuba ya Rais atakayefungua Bunge kesho. Akijibu kwa kifupi, Heche alisema, “Hakukuwa na uchaguzi nchi hii,” kauli iliyozua mijadala mitandaoni huku ikionekana...
  18. R

    PostGE2025 Heche: Kuhusu watu wetu waliouawa halitafichwa chini ya uvungu hata mawe yatazungumza

    Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasiia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Novemba 12, 2025 baada ya kuisha kusikilizwa kwa kesi ya Uhaini ya mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu, amesema kuwa Kuhusu jambo la watanzania kuuawa Oktoba 29 haitafichwa bali litazungumziwa Pia...
  19. DuaZaMama

    PostGE2025 Heche: Vyombo vya kimataifa vifanye uchunguzi kilichotokea Oktoba 29

    Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) John Heche ametaka uchunguzi ufanyike na vyombo vya kimataifa kuhusu kilichotokea nchini tarehe 29 Oktoba 2025 siku ya uchaguzi Mkuu na sio vyombo kutoka ndani ya nchi kwa kuwa ndivyo vinavyotuhumiwa. Heche ameyasema hayo hii...
Back
Top Bottom