John Heche: Sema Meritocracy society. Sema Nepotism

John Heche: Sema Meritocracy society. Sema Nepotism

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,559
Reaction score
62,122
Meritocracy society ni mfumo ambao watu hupata nafasi, madaraka, ajira, au mafanikio kutokana na uwezo, juhudi na vipaji, badala ya kutokana na familia wanayotoka, utajiri, ukabila, dini, au uhusiano wa kisiasa.

Nepotism ni tabia ya kumpa ndugu, jamaa, au marafiki wa karibu upendeleo katika ajira, vyeo, mikataba, au fursa nyingine, bila kuzingatia kama wao ndio wenye sifa au uwezo unaohitajika.

Kwa mfano:
Samia Suluhu alimteua Mchengerwa ambaye ni Mkwe wake kuwa Waziri. Vilevile akamteua Mtoto wake kuwa Waziri.

Tuseme watanzania wote zaidi ya Milioni 63, Familia ya Samia tu ndo yenye watu wenye akili?

Tunataka Katiba mpya ili tutengeneze Nchi yetu upya.

 
Heche anapiga spana Jamani.
Yule Mkurya ni kiboko.
MA CCM yanaona bora lissu angekuwa Nje kuliko Heche.

Heche anahutubia Ardhi inatikisika.
 
Heche anapiga spana Jamani.
Yule Mkurya ni kiboko.
MA CCM yanaona bora lissu angekuwa Nje kuliko Heche.

Heche anahutubia Ardhi inatikisika.
Ni Mwalimu kwa fani, hivyo anajua jinsi ya kuongea na hadhara kwa mpangilio.
 
Back
Top Bottom