john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: Unakuta kijana wa Chuo Kikuu anajivunia kuwa CCM, eti kisa anahofu ya kukosa ajira

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche akizungumza na Vijana wa CHASO Mkoani Iringa Juni 13, 2026 amesema; "Chuo Kikuu, university, unakuta kijana anajihusisha na CCM and he is proud. Sasa ukimuuliza, it's not bad, sio tatizo kujisoshiaiti na CCM. Lakini anajihusisha na CCM kwa lipi? Kwa...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tuna matatizo mengi nchini, na asilimia 100 yanasababishwa na uongozi usio na uwezo

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche akizungumza na Vijana wa CHASO Mkoani Iringa Juni 13, 2026 amesema; "Tuna matatizo nchi hii, mambo mengi sana kama nchi na wote tunajua. Nasema uongo? Na asilimia 100 ya matatizo tuliyonayo inasababishwa na matatizo ya kiuongozi. Tuna watu ambao...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania John Heche: Peter Msigwa atajitetea mwenyewe kwa wananchi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, amesema mwanasiasa Peter Msigwa, ambaye amerejea hivi karibuni ndani ya chama hicho atajitetea mwenyewe kwa wananchi kuhusu sababu na mazingira ya maamuzi yake ya kisiasa ya kuhama na kurejea CHADEMA. Akizungumza leo Juni 13, 2026, katika kipindi...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Said Issa si Mtu maalum, ametumika kudhoofisha kampeni ya Free Lissu, hoja ya Fair election na katiba mpya

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche, amesema; Saidi Issa Mohamed ni mwanachama tu. Sisi tuna wanachama milioni nane. He is not special. Ni mwanachama wa kawaida tu. He is not special! Hata mimi nikitoka kwenye umakamu nitakuwa mwanachama wa kawaida...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Nchi imekuwa 'Police state', Polisi wako Mtaani na Vimulimuli. Amani hailindwin a Mtutu wa Bunduki

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026. "Hii nchi haina amani bwana. Nchi ambayo ina amani polisi wako hapo mtaani na vimulimuli? Amani inalindwa na mtutu wa bunduki? Amani inajilinda yenyewe kwa...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Kenani Kihongosi anaweza kufanya mdahalo na watoto wa shule ya Msingi na CHASO. Hawezi kujibu hoja

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche, akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026, amejibu kauli ya Mwenezi wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi kusema Heche amekuwa akikimbia anapoomba mdahalo naye Soma pia Kihongosi: Heche, Lema, Sugu na Boniyai...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Saada: Wazanzibari wanaoishi Tanganyika nao wanyimwe matibabu?

    Mambo yanazidi kuwa mengi.... Wazanzibari ni wabaguzi sana. Hawataki tumiliki ardhi Zanzibar, hawataki tufanyekazi Zanzibar, hawataki tutibiwe Zanzibar na mengine yanakuja soon. Anaandika John Heche Makamu Mkiti Chadema. ============== Huyu Saada Mkuya Salum amekua mbunge na waziri wa fedha...
  8. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Nakubaliana na John Heche hayati JPM alikuwa serious kudhibiti uzembe na ufisadi. Na ninaongezea asingethubutu kutembea na mtoto kama tunavyoshuhudia

    Naona wanaChadema wameanza kukubaliana na mimi juu namna hayati Magufuli alivyokuwa shujaa na mpambanaji kuzuia uzembe na ufisadi. Kwanza asingeweza kwenda Urusi na na mtoto wake au delegation kubwa namna ile na kuharibu pesa za Watanganyika.
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Magufuli alikuwa bora kusimamia rasilimali na kurekebisha ujinga

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche, ametoa uchambuzi wake kuhusu jinsi viongozi waliopita walivyoshughulikia rasilimali za nchi. Heche akiwa Kilwa mkoani Lindi, Juni 3, 2026 alikiri kuwa ingawa walikuwa na tofauti kubwa ya kimtazamo kuhusu masuala ya demokrasia na haki za kisiasa...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: Sauti ya CHADEMA ikifutwa, watawauzeni, tupeni nchi na nyie mnufaike na keki

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche, ametoa wito kwa wananchi kuunga mkono chama chake ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kijamii nchini. Katika hotuba yake akiwa Lindi Juni 3, 2026, Heche alikosoa vikali usimamizi wa rasilimali za nchi, akibainisha kuwa ingawa Tanzania ina utajiri...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutakwenda Kila Wilaya, Wasipotusikiliza Tutaitisha Maandamano nchi nzima hadi mtoto atatoka na tutakiwasha vibaya sana

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema amesema watafanya mikutano kila Wilaya nchi nzima na kama serikali isipowasikiliza wataitisha maandamano nchi nzima na watakiwasha sana siku hiyo. Tulisema no reforms na tulisimama hapo na sasa hivi tunawaambia tunataka katiba mpya, tunataka katiba mpya. Tunazunguka...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Heche: Kuna mambo mengine Tanzania bora usiyajue maana ukiyajua unaweza kupata ugonjwa wa moyo

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche akizungumza kwenye mkutano wa hadhara huko Kilwa amesema kuna mambo ambayo yanaendelea kwenye nchii hii ya Tanzania ukiyajuwa unaweza kupata ugonjwa wa moyo. Watu wa Kilwa wakati mwingine bora usiyajue mambo ya nchi hii kwa sababu ukijua unaweza kupata...
  13. Nyendo

    JamiiForums Tanzania John Heche:Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa inafanya kazi ya kuchochea machafuko

    Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa inafanya kazi ya kuchochea machafuko. Sisty Nyahoza aliekwenda kwa marehemu mama Komu na kumshawishi kusaini karatasi ya kufungua kesi ambayo ilifungia chama chetu kufanya kazi siku 309.. Madhara mengi walitaka kukifuta chama kupitia kesi hiyo ya Said Issa...
  14. Heparin

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kesi ya Mgawanyo wa mali za Chama iliratibiwa na Sisty Nyahoza na Salehe Bohora aliyetumwa na Rais Samia

    Kesi ya uongo ya mgogoro fake wa mali, ni kesi ya Msajili wa vyama.. Kesi husika ipo hapa>> Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA Marehemu mama Komu alituelezea namna ambavyo Sisty Nyahoza, Msajili msaidizi akiwa na mtu anaitwa Salehe Bohora, walivyomfuata nyumbani kwake na kuomba...
  15. K

    JamiiForums Tanzania John Heche Anaweza: Kikwazo Chake ni Lissu

    Umofia wakuu... Katika ulimwengu tangu kale,jamii zote hupitia vipindi tofauti mara zote,Msosholojia Auguste Comte aliwahi kuzitaja kuwa ni metaphysical,religious na positive science. Hali hizo pia kwa wataalamu wa siasa na utawala tunakubaliana kuwa chadema imepitia vipindi hivyo tangu...
  16. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, John Heche amesema pesa za tonetone zitajenga nyumba ya Lissu na kuzigawa kwa viongozi?

  17. L

    JamiiForums Tanzania John Heche inatakiwa akamatwe na kuunganishwa kwenye kesi za Lissu kwa kauli zake zilizochochea vurugu za uchaguzi

    Ndugu zangu Watanzania, John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu mashitaka ya kauli zake za kuchochea vurugu wakati wa uchaguzi,anapaswa kuunganishwa katika kesi...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Dangote aipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji

    #HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini. Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
  19. Idugunde

    JamiiForums Tanzania John Heche nakusihi itisha maandamano Tanzania na Duniani kote ili Tundu Lissu aachiwe

    Kwanza maandamano ni haki ya kikatiba hapa nchini. Hii ni kwa mujibu wa ibara ya 20 ya katiba ya JMT Dunia nzima ilipambana kwa njia ya maandamano ili Mandela afunguliwe. Najua Watawala wote dhalimu huwa wanaogopa maandamano.
  20. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Jinsi Tundu Lissu na John Heche walivyokizika chama Chadema kwa mihemko na chuki

    Malengo ya waasisi wa CHADEMA yalikuwa ni kukijenga chama kwenye misingi imara ya kisiasa nchini kikisimama kama taasisi kuu ya upinzani iliyokusudiwa kutoa ushindani wa kisera na kuwa mbadala wa fikra baada ya CCM. Hata hivyo mwelekeo huo wa kimaono ulianza kupotea na kuyumba pale chama...
Back
Top Bottom