john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Heche: Sauti za wananchi kutaka mabadiliko zilipuuzwa kabla ya uchaguzi

    "Ni ubatili na dharau kubwa kwa Watanzania kuyaita maridhiano sasa katika mazingira ambapo serikali iliamua kwa makusudi kuwapuuza wananchi, vyama vya siasa na wadau wa demokrasia juu ya hitaji la nchi kuhusu mabadiliko (reforms) ya mifumo ya uchaguzi nchini." "Hiki kinachoitwa maridhiano...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Heche: Tundu Lissu ni tunu ya taifa aachiwe bila masharti

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo @chadematzofficial Bara John Heche @hechejohn amesema Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu ni tunu ya taifa huku akishinikiza kuachiwa kwa kiongozi huyo bila masharti. Heche ameyasema hayo leo Januari 3, 2026 katika hotuba yake kwa taifa...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Heche: Mradi wa SGR wenye thamani ya Tsh. Trilioni 14 wasimama kutokana na mvua, nani abebe hasara?

    Makamu mwenyekiti CHADEMA bara John Heche anandika kupitia ukurasa wake wa Instagram kuhusu TRC Kusimamisha safari za SGR kutoka Morogoro -Dodoma kutokana na athari za mvua. "Mradi wa reli ya Tazara uliojengwa mwaka 1970 unapata shida kwasababu ya mvua.. Mradi wa SGR ambao umejengwa hata...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania John Heche: Nawatakia heri ya mwaka mpya 2026 watanzania wote, Mwaka Mpya, Taifa Jipya la Haki, Ukweli na Ujasiri wa Kubadilika

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mheshimiwa John Heche, anawatakia Watanzania wote heri ya mwaka mpya wa 2026. Tunapoingia mwaka mpya, tunatambua maumivu, hofu na uchovu uliowagusa wananchi wengi. Tunawatakia uponyaji wa mioyo, faraja kwa waliopoteza wapendwa wao, na matumaini mapya kwa kila...
  5. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania John Heche hutubia taifa uwambie wanachadema Sasa mnaelekea wapi 2026 baada uchafuzi KUISHA na uwambie wategemee Nini 2026?

    Huu ni WITO kwa kiongozi mkubwa wa chama Cha upinzani nchini Tanzania. TAFADHALI zungumza na WENZAKO kitaifa.uwape ramani mnaelekea wapi? For 2026?
  6. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Mpango wa sasa wa ccm ni kutumia ofisi ya msajili kuifuta CHADEMA

    Anaandika John Heche "Chama chetu kimeshambuliwa pakubwa mno, viongozi na wanachama wetu kwa maelfu wametekwa, kuumizwa, kuwekwa mahabusu za polisi kwa mda mrefu bila sababu.. Wengine kina Mdude, Soka , Kipanya na wengine wengi hajulikani walipo Mpaka sasa. Chama chetu kimefungiwa kufanya kazi...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Tunakoelekea, Chadema na John Heche watalaumiwa kukausha vyanzo vya maji na kuleta ukame nchini

    Hellow! Ndugu John Heche na Chadema kwa ujumla, huu ni muda wa kukaa kimya kusubiri matokeo. Kama ushauri mlishatoa wa kutosha na hamkusikilizwa, hivi sasa muda wa kuonyesha mapungufu na udhaifu wa Serikali batili umepita. Ushauri: Mkiendelea kuwashauri, watawatuhumu kuleta tatizo la maji...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Heche: Watu hawana maji Dar miaka 64 baada ya uhuru, Taifa la tatu kuwa na vyanzo vingi vya maji

    " Watu hawana maji Dar miaka 64 baada ya uhuru, Taifa la tatu kuwa na vyanzo vingi vya maji ni vizuri tukawaambia hawa watu kuwa watanzania si wajinga watanzania wanajua nyie ndio mmeingiza taifa kwenye matatizo haya kwa kuteka watu na kuiba rasilimali za nchi, kuiba uchaguzi na kuumiza watu"...
  9. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Odero: Pamoja na Lissu kuwa gerezani hayawezi kumzuia John Heche kukutana, kupeana mkono na Rais Samia

    Haaaa! Odera kwahiyo Heche akishikana mikono na Samia, maumivu yote yataisha? ============= Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kamati ya Kusukuma Maridhiano Tanzania, Charles Odero, amesema ni muhimu kwa vyama vya siasa pamoja na Serikali kukaa meza moja ya...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CHADEMA: CDF, TISS, IGP na aliyekuwa Waziri wa Habari wawajibishwe

    "CHADEMA tunataka Wakuu wa vyombo vya ulinzi na aliyekuwa waziri wa habari wawajibishwe" John Heche
  11. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli

    Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Heche awatembelea Niffer na Chavala gerezani Segerea kuwatia Moyo. Aishutumu Serikali ya CCM kwa kubambikizia watu kesi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Bara, John Heche amewatembelea jana Novemba 29, 2025 kijana Mika Chavala na Niffer gerezani Segerea. Lengo la ziara hiyo, amesema, lilikuwa kuwapa moyo na kuwahakikishia kwamba hawako peke yao katika vita wanavyopitia. Heche pia aliwatumia ujumbe wa matumaini...
  13. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Heche amesema 'Haki haijawahi kupatikana kwa kuiba mali za wengine'

  14. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Heche amesema yale hayakuwa maandamano bali uharibifu uliojificha kwenye maandamano

    Wakuu naomba kupata ukweli, hii kauli imetolewa na Heche?
  15. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Heche: Tume iliyoundwa na Rais Samia kufanya uchunguzi ni wanachama wa CCM haki haiwezi kupatikana

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokradsi na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizunguma leo Novemba 19, 2025 amesema Tume ya kufanya uchunguzi wa uvunjifu wa amani wa vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025 iliyoundwa na Rais Samia siyo chombo huru kwani wajumbe wengi wa Tume hiyo waliwahi kuwa...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche atazungumza na waandishi wa Habari leo Novemba 19, 2025 saa 6 Mchana

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, anatarajiwa kuzungumza na waandishi wa habari leo majira ya saa 6 mchana.Hadi sasa, taarifa rasmi hazijaeleza agenda au kilichokusudiwa kuzungumzwa katika mkutano huo, na hivyo kuacha nafasi kwa wadau wa siasa na waandishi wa habari kusubiri kwa...
  17. britanicca

    JamiiForums Tanzania Namba za watu 6 zimekuwa targeted na Polisi ili kusikiliza Mawasiliano yao. Ya Heche ipo pia

    Mnaofanya kazi kwenye mitandao ya simu ama TTCL, Airtel , Yass, Vodacom mnaelewa nachosema Wanafanya switching codes namba Yako inakuwa hewan Lakin simu unashangaa hupigiwi kumbe frequent calble ziko barged into another receiver ! Wote wanaokupigia zinapita Ila wewe hufikiwi wanapokea...
  18. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Nimetoka Ukonga kumuona Mwenyekiti Tundu Lissu, yuko imara na anawasalimia wote

    Nimetoka Ukonga kumuona Mwenyekiti, Yuko imara na anawasalimia wote. Anatoa pole kwa Watanzania wote waliopoteza maisha, familia ndugu na marafiki. Anatambua watu waliopoteza viungo na kubaki na ulemavu. Ametoa pole kwa wote waliopoteza mali pia. Damu ya wenzetu haijamwagika bure na hakuna...
  19. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Hauwezi kufanya uhalifu kisha ukajichunguza mwenyewe, kufunika jambo hili na Uongo haitawezekana

    Ameandika Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche; Huwezi kufanya uhalifu alafu ukajichunguza wewe mwenyewe… Uchunguzi wa Kimataifa kutoka chombo huru ndio unaweza kuaminika na Watanzania. Tunataka kujua wakina nani wamehusika, kuua , kuteka na kuacha Watanzania na ulemavu wa kudumu. Hili sio...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Heche: Nimesikitika hajatamka Watu wangapi wamekufa, idadi ya majeruhi. Waliohusika kufanya mauaji wachukuliwe

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amezungumza kupitia BBC baada ya hotuba ya Rais Samia akifungua Bunge la 13.
Back
Top Bottom