John Heche nakuomba sana jilinde popote ulipo

John Heche nakuomba sana jilinde popote ulipo

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
18,046
Reaction score
46,525
Sipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!

Naomba usipuuze hii!

Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay

Britanicca
 
Sipo hapa kumtisha ila Nipo Hapa kumpa Alert kujilinda zaidi,
Anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makin sana!

Naomba usipuuze hii!

Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay

Britanicca
amewindwa ni muda mrefu sasa. Pamoja na kujilinda Mungu Yuko pamoja naye! wenye haki wote na hao wenye kuzisimamia haki watalindwa na nguvu za Mungu.

MUNGU WA KWELI YUKO UPANDE WA WATETEA HAKI.

maccm yanafadhiliwa na masheitwani. shetani ni adui aliyeshindwa tayari
 
Ila Heche naye huwa hakamatwi sana pamoja na kutema sumu lakini jamaa huwa hapatagi hekaheka au naye nikitengo nini? Pia huwa haogopi kipindi kile wengi walikimbia nje ya nchi ila yeye alibaki
Mkurya ukimgusa umegusa kitunda nzima

Wamasaai na wakurya ndo watu pekee ambao hawajali sheria inasema nini likija suala la kudai haki yao! Hata Ikulu inaweza chomwa hawana mchezo wale !! Uliona ya Loliondo?

Achana na watu ambao wako united
 
Sipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!

Naomba usipuuze hii!

Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay

Britanicca
Mwenye kuwatambua hawa aongeze tahadhari
 

Attachments

  • img_1_1781505160190.jpg
    img_1_1781505160190.jpg
    102.4 KB · Views: 12
Sipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!

Naomba usipuuze hii!

Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay

Britanicca
Watu wa kule wana maisha tofauti na sie, au waona raha tu kuwataabisha wengine au wanalipwa 25 million kwa mwezi
 
Ila Heche naye huwa hakamatwi sana pamoja na kutema sumu lakini jamaa huwa hapatagi hekaheka au naye nikitengo nini? Pia huwa haogopi kipindi kile wengi walikimbia nje ya nchi ila yeye alibaki
Alijaribu kukimbia akakamatwa mpakani akawekwa ndani hadi ilipoisha vurugu ya 29/10.
Kuwazuia Lissu na Heche siyo suluhisho.
Waliwazuia few individuals kama hao wakaacha wengi uraiani ambao waliendeleza harakati wakaandamana.

Humphrey Polepole was abducted too.

Wanazima moto bila kumtafuta mtoto anaye cheza na kiberiti porini.

Don't look for the fire, but look for the boy who is playing with the matches around the bush.
 
Back
Top Bottom