Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Amani Golugwa, leo Jumatano, Julai 8, 2026, walifika nyumbani kwa marehemu Suez Dani Maradufu kumjulia hali mke wa marehemu, muda mfupi kabla ya Mheshimiwa Golugwa kuanza safari ya kuondoka Tarime, mkoani Mara, alikokwenda kuhudhuria mazishi ya marehemu Suez yaliyofanyika Jumapili iliyopita.
Pia waliambatana na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Mheshimiwa Deogratias Mahinyila, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Magharibi, Mheshimiwa Dickson Matata pamoja na viongozi wengine.
Soma pia TANZIA - Dereva wa John Heche akutwa amefariki chumbani Kigoma
Pia waliambatana na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Mheshimiwa Deogratias Mahinyila, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Magharibi, Mheshimiwa Dickson Matata pamoja na viongozi wengine.
Soma pia TANZIA - Dereva wa John Heche akutwa amefariki chumbani Kigoma