Kwanini John heche hajatoa pole kifo cha dereva wake?

Kwanini John heche hajatoa pole kifo cha dereva wake?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
9,215
Reaction score
14,079
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
 
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
Screenshot_20260117-171041~2.png
 
Afiwe na atoe pole! Kama ni ndugu wa karibu wa marehemu nina uhakika atawafata ana kwa ana hamna haja ya kupost mtandaoni
 
CCM NI WAPUMBAVU SANA LAKINI NITAKUJIBU KWA KIFUPI ANAEVUNJA UTULIVU/AMANI NA KUSABABISHA MAUAJI NI......

1. Anayeteka watanzania Wenzetu akina Soka, Polepole, Mdude, Chaula nk.

2. Anayepiga watu Risasi Akina TUNDU LISSU, SATIVA AKWILINA MAWAZO NK

3. Anayezuia haki ya Kikatiba ya Mikitano ya Vyama vya siasa.
(Kushiriki mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani.

4. Anayezuia Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba ya Tanzania.

5. Anayezuia na Kupora Haki ya watanganyika ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka.

6.Anayeficha Kila aina ya mikataba, Bandari, Ardhi, Dhahabu, Gesi nk.

7. Anayekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari
Kuzuia mitandao ya kijamii.
Kuzima Mtandao nk

CCM WAMETUONA WATANGANYIKA NI MALOFA SANA


AMKENI WATANGANYIKA.
 
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
Je pole yako iko wapi kabla ya kuuziliza za wenzio?
 
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
Hizi pole Za kwenye mitandao huwa Zina Maana kubwa Kwa watu baki kuliko mfiwa, nilikuwa Naona group la WhatsApp taasisi Moja, MTU akiugua wote wanaenda kutoa pole kwenye group wakati Wana namba ya muhusika, nikawa najiuliza hivi Kwa Nini wasimpigie muhusika!? Humu wanapost kuteka mioyo ya wanagroup Na kuepuka kuonekana vibaya Kwa wengine au wanamaanisha kumfariji muhusika Moja Kwa Moja, kikubwa nilichokiona Ni Kwamba pole ya kwenye mitandao target waga si muhusika Ila Ni nyie mnaosoma,


Sasa wewe unajuaje kama Heche hajawapa pole wazazi wa dereva Na mkewe, akitoa nyingine Labda ya watanzania

Binafsi kumfariji MTU napenda nimface Moja Kwa Moja siyo hizo drama Za Facebook Na Instagram
 
Sababu yeye ndo anatakiwa apewe pole. Ulitakiwa uulize kwanini Samia hajatoa pole kwa Heche
 
Back
Top Bottom